Madaktari watatu kutoka china ujerumani na tanzania wakijadili mafanikio

Shine

JF-Expert Member
Feb 5, 2011
11,483
1,364
Palitokea madaktari bingwa kutoka nchi 3, CHINA, UJERUMANI na TANZANIA. Wakawa wanajadili mafanikio yaliyofanywa katika nchi zao.<br />
MCHINA Akaanza, kwetu alizaliwa mtoto hana mkono tukamwekea wa bandia na sasa ni mpiganaji wa karate.<br />
<br />
MJERUMANI Akasema hiyo kidogo kwetu alizaliwa msichana hana miguu yote miwili tukamwekea ya bandia na sasa ni mkimbiaji olimpiki na ana medali 3 za dhahabu.<br />
<br />
MTANZANIA Akacheka sana akasema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu, sisi hapo BAGAMOYO alizaliwa mvulana hana kichwa tukamwekea nazi na sasa ni RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA ......
 
Palitokea madaktari bingwa kutoka nchi 3, CHINA, UJERUMANI na TANZANIA. Wakawa wanajadili mafanikio yaliyofanywa katika nchi zao.
MCHINA Akaanza, kwetu alizaliwa mtoto hana mkono tukamwekea wa bandia na sasa ni mpiganaji wa karate.

MJERUMANI Akasema hiyo kidogo kwetu alizaliwa msichana hana miguu yote miwili tukamwekea ya bandia na sasa ni mkimbiaji olimpiki na ana medali 3 za dhahabu.

MTANZANIA Akacheka sana akasema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu, sisi hapo BAGAMOYO alizaliwa mvulana hana kichwa tukamwekea nazi na sasa ni RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA

asee mbona hukuwasikiliza vizuri wale madokta manake yule mtanzania alikuja kugundua kua alikosea akarekebisha kua nazi ile ilikua ni KOROMA... yaani nazi mbovu...!
 
kweli Doct wa kibongo alichemka, bora angemuacha afe kuliko kuweka koroma sasa linawatesa Waangania. Pole yetu:sad::sad:
 
Na kwahaya mambo anavyoendesha kweli tumeumia
 
Nimecheka sana kweli korona maana nazi inanafuu tatizo sasa ameozesha na ndugu zake wote alionao kwenye serikali yake
 
Duuuuuuuuuuuuuuuuuu................................ kwa hilo ,mchango ni mgumu!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
Kama ni Bagamoyo atakuwa kabila lake ni Mkw3re.
Na wasiwasi Kama atakuwa anawatoto ukichagua hukosi Mbata

Na huwa wanagemwa
 
Palitokea madaktari bingwa kutoka nchi 3, CHINA, UJERUMANI na TANZANIA. Wakawa wanajadili mafanikio yaliyofanywa katika nchi zao.&lt;br /&gt;<br />
MCHINA Akaanza, kwetu alizaliwa mtoto hana mkono tukamwekea wa bandia na sasa ni mpiganaji wa karate.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
MJERUMANI Akasema hiyo kidogo kwetu alizaliwa msichana hana miguu yote miwili tukamwekea ya bandia na sasa ni mkimbiaji olimpiki na ana medali 3 za dhahabu.&lt;br /&gt;<br />
&lt;br /&gt;<br />
MTANZANIA Akacheka sana akasema kwenu bado hamjafikia rekodi yetu, sisi hapo BAGAMOYO alizaliwa mvulana hana kichwa tukamwekea nazi na sasa ni RAISI WA JAMHURI YA MUUNGANO WA ......
<br />
<br />
 
Akili ni nywele kila mtu ana zake, kuhusu yeye kutokuwa na uadirifu/kipaji/elimu ya uongozi ktk serikali yake usilaumu Kabila lake - yy ni kama yy na udhaifu wake wa kuongoza tusiharibu mada, maana ndani ya serikali kuna makabila mchanganyiko kama yeye anaharibu kwa nini wengine wasijiuzulu wamuache na Ukoroma wake? Ili tuone kweli wanakerwa naye.
 
2 Reactions
Reply
Back
Top Bottom