Sibonike
JF-Expert Member
- Dec 23, 2010
- 17,276
- 17,983
Juzi hapa tumemsikia Rais Pombe akiamuru kama ilivyo siku hizi, serikali iajiri madaktari wapya 1,000.
Laweza kuwa wazo zuri. Lakini najiuliza kipi bora? Kuwalipa stahiki zao hawa waliopo wanaodai hela za kujikimu, nyongeza za madaraja, hela za likizo, uhamisho nk. au kuajiri wapya wakati waliopo wana matatizo lukuki.
Halafu tutegemee waliopo wawape muongozo wageni. Kupanga ni kuchagua. Miaka mitano hakuna ajira lakini hospital mpya zinajenjwa kila uchao. Madaktari wanatoka wapi?
Laweza kuwa wazo zuri. Lakini najiuliza kipi bora? Kuwalipa stahiki zao hawa waliopo wanaodai hela za kujikimu, nyongeza za madaraja, hela za likizo, uhamisho nk. au kuajiri wapya wakati waliopo wana matatizo lukuki.
Halafu tutegemee waliopo wawape muongozo wageni. Kupanga ni kuchagua. Miaka mitano hakuna ajira lakini hospital mpya zinajenjwa kila uchao. Madaktari wanatoka wapi?