Shine
JF-Expert Member
- Feb 5, 2011
- 11,481
- 1,364
Madaktari wengi wa Tanzania wako kimaslahi zaidi wala si huruma kwa mgonjwa; ukiwaacha wachache sana ambao wanahangaika na mgonjwa na kufanya diagnosis vizuri na hata kuwa watafiti na wenye kujiendeleza wengi wao wanafanya mazao tuuuuuuuuuu.. unaweza kwenda kwa daktari akakupa the same diagnosis na dawa hata ugonjwa haujapona wakati umeenda kwake mara nyingi..
Naomba madaktari wawe na tabia nzuri, wajisomee, wafanye uchunguzi wa maradhi vema, riziki yao itakuwa juu kupita maelezo..
Lakini sasa hivi wengi wao ni malaya, walevi na hufanya kazi kwa mazoea tu hakuna uchunguzi wa kina na maelezo ya maana roho mbaya kama huna pesa etc...
Bado sijawa support mdrs
Hapo kwenye umalaya na ulevi si kwa madaktari tu bali hili linamhusu kila mmoja wakiwemo wanasiasa mwananchi wa kawaida na hata baadhi ya vigozi wa dini so in general binadamu wote are concern