Madaktari wamjibu Antony Lusekelo...

Je watanzania wengine ambao mishahara yao ni midogo tena kuliko ya madaktari hawana watoto, hawasafiri na daladala, hawana njaa, etc
mbona sikuelewi unataka kumaanisha nini?rudi kwenye "logic" za sinkala hapo juu halafu upangilie maelezo yako.
 
Mbona hatuwalaumu hawa madaktari? Tusiwe fuata upepo, tuangalie nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuokoa maafa kati ya serikali na madaktari. Ukitaka kujua kosa la madaktari, tafakari hili:

1. Serikali isitimize wajibu wake na madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
2. Serikali isitimize wajibu wake ila madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa
3. Serikali itimize wajibu wake ila madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
4. Serikali itimize wajibu wake na madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa

Nilitamani kama kila mtu angekuwa na knowledge ya truth tables za logic circuit humu, ningeyachorea table maelezo yangu. Utaona kwamba maafa yatatokea pale ambapo madaktari hawajatimiza wajibu wao regardless uwajibikaji wa serikali. Kwa hiyo madaktari ndio waliokuwa na uwezo wa kuepusha vifo visivyo vya lazima, na si serikali. Mimi nitaendelea kuwalaumu madaktari

Mkuu Sinkala, hongera kwa hizo mathematical theories ulizotuletea hapa JF.
Yaonekana unapenda sana logical matters, vizuri sana.

Lakini umesahau nadhani, kwamba huo wajibu unaouzungumzia hapa unatakiwa uendane na haki.
Na haki inayozungumziwa hapa ni ujira stahiki baada ya kutimiza wajibu unaotakiwa kutimizwa.

Sasa, Next time if you wish to draw your logic circuit diagram, please never forget about that.
 
serikali iache mzahamzaha kwa madaktari au wauguzi wanapodai maslahi yao,kuna wabunge wanalala asubuhi mpaka jioni halafu wanapewa haki yao
haya ni sehemu ya maneno ya mtoto Ally aliyelazwa pale muhimbili,inasemekana ni mgonjwa anayehudhurua muhimbili kwa muda mrefu sasa kwa hiyo anajua umuhimu wa madaktari na wauguzi.alitoa ujumbe huu kupitia ITV jana.
 
sinkala, asante sana. Watu waoga kuwaambia madaktari ukweli kama alivyowaambia lusekelo. Nadhani umesoma maoni yangu hapo juu. madaktari wameua. Sisi tunaoamini katika uwepo wa mungu na hukumu ya haki, watahukumiwa kwa kuua tu. Kama ulivyosema, pamoja na kunyimwa ????(sijui kama kweli walinyimwa ujira-bali walikuwa wanadai nyongeza), wajibu wao unabaki pale pale kuokoa maisha ya watu at any cost. Nawasihi siku ingine tafuteni mubadala wa kudai haki bila kuuua wagonjwa. Nawasihi sana.

you guys mna upungufu wa fikra vichwani (ufv) jaribu kushirikisha bongo zenu japo kidogo tu
daktari ataweza kumponya mgonjwa bila ya nyenzo muhimu
au mnawafananisha madaktari na akina babu , lusekelo,maji marefu na wengineo kama hao wagonjwa wengine hupoteza maisha kwa ukosefu wa vitendea kazi kila siku la kama serikali yenu imeshindwa basi changing na nyie kama kweli mnauchungu na maisha ya wananchi madaktari wanachangia siku kwani hawana jinsi
changieni acheni kubwabwaja bila actions
 
you guys mna upungufu wa fikra vichwani (ufv) jaribu kushirikisha bongo zenu japo kidogo tu
daktari ataweza kumponya mgonjwa bila ya nyenzo muhimu
au mnawafananisha madaktari na akina babu , lusekelo,maji marefu na wengineo kama hao wagonjwa wengine hupoteza maisha kwa ukosefu wa vitendea kazi kila siku la kama serikali yenu imeshindwa basi changing na nyie kama kweli mnauchungu na maisha ya wananchi madaktari wanachangia siku kwani hawana jinsi
changieni acheni kubwabwaja bila actions

We tukana tu, sisi hatutakutukana. Tutaeleza ukweli kuwa madaktari kwa kugoma, wamesababisha vifo vya watu wasio na hatia. Hilo halitabadilika litadumu milele. Sasa wamerudi kazini, vitendea kazi vimepatikana baada ya Pinda kuongea nao!!!!! Kwa mantiki hiyo sio vitendea kazi vilivyosababisha wagome, maana mpaka leo tunapoongea/andika havijaletwa
 
Kutokana na maneno machafu yalitolewa na mchungaji huyo madaktari wamjibu na kumfundisha anthony lusekelo kuisoma biblia vizuri, kifungu cha maandiko matakatifu kinachompa daktari mamlaka ya juu.
hiki hapa

Kitabu: Biblia takatifu: Yoshua Bin Sira 38:1-15
Baadhi ya mistari inasomeka hivi:
38:1 [FONT=comic sans ms,sans-serif]Umheshimu daktari(tabibu), kwa kadiri ulivyo na haja nae, [FONT=comic sans ms,sans-serif]na kwa heshima iliyo haki yake[/FONT][/FONT]
38:2 Kwa maana ni kutoka kwake aliye juu, daktari(tabibu) alivyoupata ufundi wake, [FONT=comic sans ms,sans-serif]hata na kwa mfalme atapokea ada (consultation fee)[/FONT]
38:3 Maarifa yake daktari(tabibu) yatamwinua kichwa chake,[FONT=comic sans ms,sans-serif]naye atasimama ni mkuu katika wakuu[/FONT]
38:6 Nae(Mungu) amewapa wanadamu maarifa, ili atukuzwe mwenyewe kwa ajili ya miujiza yake

Pia Kile Kiapo cha udaktari kinasomeka hivi:

[FONT=comic sans ms,sans-serif]"Wakati nikikishika kiapo hiki, na ijaliwe kwangu kuyafurahia maisha na kazi yangu. Jamii (serikali) iniheshimu na kunikumbuka(kunitukuza) , nikiwa hai au nimekufa" Mwisho wa kunukuu[/FONT]

Hivyo tuangalie fani hii imelindwa katika nyanja zote. Asije mtu akatudhulumu kwa namna yoyote ile hasa kwa kutumia kiapo chetu kama wafanyavyo sasa.
cleardot.gif


Mbona BIblia niliyonayo hapa Kitabu cha YOSHUA kinaishia sura ya 24 na hakuna 38?
 
We tukana tu, sisi hatutakutukana. Tutaeleza ukweli kuwa madaktari kwa kugoma, wamesababisha vifo vya watu wasio na hatia. Hilo halitabadilika litadumu milele. Sasa wamerudi kazini, vitendea kazi vimepatikana baada ya Pinda kuongea nao!!!!! Kwa mantiki hiyo sio vitendea kazi vilivyosababisha wagome, maana mpaka leo tunapoongea/andika havijaletwa
Hujatukanwa, umeambiwa una upungufu wa fikra.............and i second that.

Do you know how many people die just because a very simple medicine is not available in the hospitals and health centres across the country?
Do you know that MSD disposed off tons and tons of medicine last year because they were expired??

Cut this **** off!!!
 
Mbona BIblia niliyonayo hapa Kitabu cha YOSHUA kinaishia sura ya 24 na hakuna 38?
Bible yako ya kichina hiyo!!!

Sirah 38: 1 - 3: Hold the physician in honour, for he is essential to you, and God it was who established his profession, From God the doctor has his wisdom, and the king provides for his sustenance
His knowledge makes the doctor distinguished, give him access to those in authority.
 
Hujatukanwa, umeambiwa una upungufu wa fikra.............and i second that.

Do you know how many people die just because a very simple medicine is not available in the hospitals and health centres across the country?
Do you know that MSD disposed off tons and tons of medicine last year because they were expired??

Cut this **** off!!!
Mkuu, hebu jaribu kuendana na thread. Kwa hiyo una maana effect za MSD kudispose tons and tons of medicine last year zimekuja kujitokeza immediately mara baada ya madaktari kugoma? Na una maana hizo effects za MSD zimeisha ghafla baada ya madaktari kurudi kazini?
 
We tukana tu, sisi hatutakutukana. Tutaeleza ukweli kuwa madaktari kwa kugoma, wamesababisha vifo vya watu wasio na hatia. Hilo halitabadilika litadumu milele. Sasa wamerudi kazini, vitendea kazi vimepatikana baada ya Pinda kuongea nao!!!!! Kwa mantiki hiyo sio vitendea kazi vilivyosababisha wagome, maana mpaka leo tunapoongea/andika havijaletwa
mkuu pale muhimbili gauze,gloves na dawa mbalimbali zimepelekwa(zimetoka MSD kwa mkopo)halafu hazina wameambiwa wapeleke fedha zote zilizobaki za OC.kwa hiyo hakuna aliyerudi hivihivi mkuu.
 
Mbona hatuwalaumu hawa madaktari? Tusiwe fuata upepo, tuangalie nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuokoa maafa kati ya serikali na madaktari. Ukitaka kujua kosa la madaktari, tafakari hili:
1. Serikali isitimize wajibu wake na madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
2. Serikali isitimize wajibu wake ila madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa
3. Serikali itimize wajibu wake ila madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
4. Serikali itimize wajibu wake na madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa
Nadhani wewe huna logical thinking kama unavyojinyumbulisha hasa ukiangalia hiyo point yako namba mbili kwamba Serikali isitimize wajibu wake (mfano kutopeleka dawa na vitendea kazi) ila madaktari wakatimiza wajibu wao (kwa kufanya kazi) - kwako wewe waona HAKUNA MAAFA. Unataka daktari abebe dawa na vitendanishi vingine toka kwake? Daktari anachofanya ni kutumia akili (ambayo imechoshwa na hali ngumu ya umasikini) na nguvu, hawezi peleka damu, reagents, dawa n.k. Serikali na daktari hawatenganishwi. Fikiria tena kaka!!!
 
mkuu pale muhimbili gauze,gloves na dawa mbalimbali zimepelekwa(zimetoka MSD kwa mkopo)halafu hazina wameambiwa wapeleke fedha zote zilizobaki za OC.kwa hiyo hakuna aliyerudi hivihivi mkuu.

Ijumaa waliporudi nina uhakika vitendea kazi vilikuwa havijafika Muhimbili. Ni sawa mgomo wao utaleta mabadiriko, lakini not at the expense ya wagonjwa kufa. Other means could have been used. Think if it were your child dying would you applause the striking doctors?
 
Mkuu, hebu jaribu kuendana na thread. Kwa hiyo una maana effect za MSD kudispose tons and tons of medicine last year zimekuja kujitokeza immediately mara baada ya madaktari kugoma? Na una maana hizo effects za MSD zimeisha ghafla baada ya madaktari kurudi kazini?
Kinachopiganiwa hapa ni a fair compasation.............Everybody needs that.

It is a right of any human being.........they have been working, giving the the government a benefit of doubt, get the government collect itself and prioritize them for almost 10 years.

But because this government is never proactive, htey decide to give it a tease so that they, the government, can wake up and react. And it did.
 
Nadhani wewe huna logical thinking kama unavyojinyumbulisha hasa ukiangalia hiyo point yako namba mbili kwamba Serikali isitimize wajibu wake (mfano kutopeleka dawa na vitendea kazi) ila madaktari wakatimiza wajibu wao (kwa kufanya kazi) - kwako wewe waona HAKUNA MAAFA. Unataka daktari abebe dawa na vitendanishi vingine toka kwake? Daktari anachofanya ni kutumia akili (ambayo imechoshwa na hali ngumu ya umasikini) na nguvu, hawezi peleka damu, reagents, dawa n.k. Serikali na daktari hawatenganishwi. Fikiria tena kaka!!!
Wajibu wa serikali ninaouzungumzia hapa ni KUONGEZA mafao, kwa kuwa ni ukweli usiopingika kwamba madaktari waligoma kudai nyongeza ya mafao, na wala hawakugoma kudai vitendea kazi! Tuende taratibu tu, wala hakuna ugomvi hapa! Na hiyo logic (truth) table ninayoizungumzia, sitaki kuingia kwa undani sana kwani nitakuwa nawakosea haki wasomaji ambao sio so mathematical oriented, ila nikilazimika nitaiweka.
 
Ijumaa waliporudi nina uhakika vitendea kazi vilikuwa havijafika Muhimbili. Ni sawa mgomo wao utaleta mabadiriko, lakini not at the expense ya wagonjwa kufa. Other means could have been used. Think if it were your child dying would you applause the striking doctors?
Wewe unasemaje?
pamoja na kutopewa stahili yao, pamoja na kufuata utaratibu ambao serikali wanautaka, na stahili zao kutopewa kipaumbele kwa miaka kadhaa.

Wewe ulikuwa unataka madaktari wafanyeje? wafanye kazi tu!!!!
Toka usingizini, this government never listen with the ears!!!......the see actions better.

Serikali ilishapewa tips mara nyingi kuhusu Blandina Nyoni, na madudu anayofanya. Procurement ya vitendanishi fake vya HIV rapid Test, viliwekwa wazi, hata kwenye magazeti, lakini kwasababu serikali hii haisikii, hawakulifualitia. Sasa serikali imeingia aibu baada ya US government through USAID and CDC kwenda kufanya quality test za vitendanishi hivyo na kugundulika ni fake, wakawashtua WHO, WHO wakavipiga ban.

Now, do you think this is a game of ''waoneeni huruma wagonjwa''??

Mkiambiwa serikali hii ni dhalimu hamsikii, mnataka watu wajitolee kuwahudumia wakati hamtaki kuiondoa madarakani.

Next time, the doctors will go on strike indefinitely!!!!.........and it will be very very soon.
 
Nadhani wewe huna logical thinking kama unavyojinyumbulisha hasa ukiangalia hiyo point yako namba mbili kwamba Serikali isitimize wajibu wake (mfano kutopeleka dawa na vitendea kazi) ila madaktari wakatimiza wajibu wao (kwa kufanya kazi) - kwako wewe waona HAKUNA MAAFA. Unataka daktari abebe dawa na vitendanishi vingine toka kwake? Daktari anachofanya ni kutumia akili (ambayo imechoshwa na hali ngumu ya umasikini) na nguvu, hawezi peleka damu, reagents, dawa n.k. Serikali na daktari hawatenganishwi. Fikiria tena kaka!!!

Usim-attack, sentensi yako ya kwanza sio nzuri. kama vile mna ugomvi. Sio hivyo
 
Ebwana Chauakachara na Sankala mmeongea kitu, me pia nlitegemea madaktari wasinge opt kugoma maana wanajua athari za mgomo kuwa kwa vyovyote vile waathirika ni wananchi na sio serikali, meanwhile kodi za wananchi hao hao 'WANAOWAUA' ndiyo wanazolipiwa mshahara. Kifupi wanawaua MABOSI wao.

Tuheshimiane ndugu,unajua makato tunayokatwa na siye au unafikiri siye atulipi kodi?
 
Back
Top Bottom