Madaktari wamjibu Antony Lusekelo...

KIBOGOYO2010

Member
Jan 25, 2012
5
12
Kutokana na maneno machafu yalitolewa na mchungaji huyo madaktari wamjibu na kumfundisha anthony lusekelo kuisoma biblia vizuri, kifungu cha maandiko matakatifu kinachompa daktari mamlaka ya juu.
hiki hapa

Kitabu: Biblia takatifu: Yoshua Bin Sira 38:1-15
Baadhi ya mistari inasomeka hivi:
38:1 [FONT=comic sans ms,sans-serif]Umheshimu daktari(tabibu), kwa kadiri ulivyo na haja nae, [FONT=comic sans ms,sans-serif]na kwa heshima iliyo haki yake[/FONT][/FONT]
38:2 Kwa maana ni kutoka kwake aliye juu, daktari(tabibu) alivyoupata ufundi wake, [FONT=comic sans ms,sans-serif]hata na kwa mfalme atapokea ada (consultation fee)[/FONT]
38:3 Maarifa yake daktari(tabibu) yatamwinua kichwa chake,[FONT=comic sans ms,sans-serif]naye atasimama ni mkuu katika wakuu[/FONT]
38:6 Nae(Mungu) amewapa wanadamu maarifa, ili atukuzwe mwenyewe kwa ajili ya miujiza yake

Pia Kile Kiapo cha udaktari kinasomeka hivi:

[FONT=comic sans ms,sans-serif]"Wakati nikikishika kiapo hiki, na ijaliwe kwangu kuyafurahia maisha na kazi yangu. Jamii (serikali) iniheshimu na kunikumbuka(kunitukuza) , nikiwa hai au nimekufa" Mwisho wa kunukuu[/FONT]

Hivyo tuangalie fani hii imelindwa katika nyanja zote. Asije mtu akatudhulumu kwa namna yoyote ile hasa kwa kutumia kiapo chetu kama wafanyavyo sasa.
cleardot.gif

 
hivyo ndivyo inavyotakiwa tena kwa vithibitisho haswa nafikiri Lusekelo aliona yeye yuko sahihi sasa wamemwonyesha kwamba na wao wako dip zaidi hiyo ndo tunaita no data, no research, no right to speak!
 
Kutokana na maneno machafu yalitolewa na mchungaji huyo madaktari wamjibu na kumfundisha anthony lusekelo kuisoma biblia vizuri, kifungu cha maandiko matakatifu kinachompa daktari mamlaka ya juu.
hiki hapa

Kitabu: Biblia takatifu: Yoshua Bin Sira 38:1-15
Baadhi ya mistari inasomeka hivi:
38:1 Umheshimu daktari(tabibu), kwa kadiri ulivyo na haja nae, na kwa heshima iliyo haki yake
38:2 Kwa maana ni kutoka kwake aliye juu, daktari(tabibu) alivyoupata ufundi wake, hata na kwa mfalme atapokea ada (consultation fee)
38:3 Maarifa yake daktari(tabibu) yatamwinua kichwa chake,naye atasimama ni mkuu katika wakuu
38:6 Nae(Mungu) amewapa wanadamu maarifa, ili atukuzwe mwenyewe kwa ajili ya miujiza yake

Pia Kile Kiapo cha udaktari kinasomeka hivi:

"Wakati nikikishika kiapo hiki, na ijaliwe kwangu kuyafurahia maisha na kazi yangu. Jamii (serikali) iniheshimu na kunikumbuka(kunitukuza) , nikiwa hai au nimekufa" Mwisho wa kunukuu

Hivyo tuangalie fani hii imelindwa katika nyanja zote. Asije mtu akatudhulumu kwa namna yoyote ile hasa kwa kutumia kiapo chetu kama wafanyavyo sasa.
cleardot.gif


Pamoja na uzuri wa quotations hizo zinazowapa utukufu na kweli mnastahiri kuheshimiwa kwa kazi yenu, hakuna kifungu ambacho kinasema unaponyimwa ujira wako ufanye nini. Sidhani utatuonyesha kuwa ukinyimwa ujira UGOME na UUE kwa kutowatibu wagonjwa. Hapo kuna tatizo, kweli mnastahili kulipwa ujira mzuri, kazi yenu ni ngumu na inahitaji umakini mkubwa. Nadhani wapendwa kuanzia sasa mpange kama msipopewa ujira mfanye nini, but at the same time your major concern should be to preserve life. Then you will win muder case siku ya hukumu
 
hivi lusekelo alienda muhimbili kuona wagonjwa wanaoteseka kabla na wakati wa mgomo???
 
Kutokana na maneno machafu yalitolewa na mchungaji huyo madaktari wamjibu na kumfundisha anthony lusekelo kuisoma biblia vizuri, kifungu cha maandiko matakatifu kinachompa daktari mamlaka ya juu.
hiki hapa

Kitabu: Biblia takatifu: Yoshua Bin Sira 38:1-15
Baadhi ya mistari inasomeka hivi:
38:1 [FONT=comic sans ms,sans-serif]Umheshimu daktari(tabibu), kwa kadiri ulivyo na haja nae, [FONT=comic sans ms,sans-serif]na kwa heshima iliyo haki yake[/FONT][/FONT]
38:2 Kwa maana ni kutoka kwake aliye juu, daktari(tabibu) alivyoupata ufundi wake, [FONT=comic sans ms,sans-serif]hata na kwa mfalme atapokea ada (consultation fee)[/FONT]
38:3 Maarifa yake daktari(tabibu) yatamwinua kichwa chake,[FONT=comic sans ms,sans-serif]naye atasimama ni mkuu katika wakuu[/FONT]
38:6 Nae(Mungu) amewapa wanadamu maarifa, ili atukuzwe mwenyewe kwa ajili ya miujiza yake

Pia Kile Kiapo cha udaktari kinasomeka hivi:

[FONT=comic sans ms,sans-serif]"Wakati nikikishika kiapo hiki, na ijaliwe kwangu kuyafurahia maisha na kazi yangu. Jamii (serikali) iniheshimu na kunikumbuka(kunitukuza) , nikiwa hai au nimekufa" Mwisho wa kunukuu[/FONT]

Hivyo tuangalie fani hii imelindwa katika nyanja zote. Asije mtu akatudhulumu kwa namna yoyote ile hasa kwa kutumia kiapo chetu kama wafanyavyo sasa.
cleardot.gif




Sema hayo ni mawazo yako au wewe ndio unamjibu ila hakuna Dr hata
mmoja aliyemjibu Anthony Lusekelo.
 
Mbona hatuwalaumu hawa madaktari? Tusiwe fuata upepo, tuangalie nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuokoa maafa kati ya serikali na madaktari. Ukitaka kujua kosa la madaktari, tafakari hili:

1. Serikali isitimize wajibu wake na madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
2. Serikali isitimize wajibu wake ila madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa
3. Serikali itimize wajibu wake ila madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
4. Serikali itimize wajibu wake na madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa

Nilitamani kama kila mtu angekuwa na knowledge ya truth tables za logic circuit humu, ningeyachorea table maelezo yangu. Utaona kwamba maafa yatatokea pale ambapo madaktari hawajatimiza wajibu wao regardless uwajibikaji wa serikali. Kwa hiyo madaktari ndio waliokuwa na uwezo wa kuepusha vifo visivyo vya lazima, na si serikali. Mimi nitaendelea kuwalaumu madaktari
 
Mbona hatuwalaumu hawa madaktari? Tusiwe fuata upepo, tuangalie nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuokoa maafa kati ya serikali na madaktari. Ukitaka kujua kosa la madaktari, tafakari hili:

1. Serikali isitimize wajibu wake na madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
2. Serikali isitimize wajibu wake ila madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa
3. Serikali itimize wajibu wake ila madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
4. Serikali itimize wajibu wake na madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa

Nilitamani kama kila mtu angekuwa na knowledge ya truth tables za logic circuit humu, ningeyachorea table maelezo yangu. Utaona kwamba maafa yatatokea pale ambapo madaktari hawajatimiza wajibu wao regardless uwajibikaji wa serikali. Kwa hiyo madaktari ndio waliokuwa na uwezo wa kuepusha vifo visivyo vya lazima, na si serikali. Mimi nitaendelea kuwalaumu madaktari

Sinkala, asante sana. watu waoga kuwaambia madaktari ukweli kama alivyowaambia Lusekelo. Nadhani umesoma maoni yangu hapo juu. Madaktari wameua. Sisi tunaoamini katika uwepo wa Mungu na hukumu ya haki, watahukumiwa kwa kuua tu. Kama ulivyosema, pamoja na kunyimwa ????(sijui kama kweli walinyimwa ujira-bali walikuwa wanadai nyongeza), wajibu wao unabaki pale pale kuokoa maisha ya watu at any cost. Nawasihi siku ingine tafuteni mubadala wa kudai haki bila kuuua wagonjwa. Nawasihi sana.
 
LUSEKELO siku zake zinahesabika anachokifanya nyuma ya giza tunaanza kufunuliwa na malaika(watoto) wa mungu....So atapiga makelele km kubwa jinga by the way ata waumini wake wamemshtukia wanamkacha...yuwapi MWINGIRA na kasha ya kubaka mke wa kondoo wake.....njaa always hua ina ruin brain
 
Mbona hatuwalaumu hawa madaktari? Tusiwe fuata upepo, tuangalie nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuokoa maafa kati ya serikali na madaktari. Ukitaka kujua kosa la madaktari, tafakari hili:

1. Serikali isitimize wajibu wake na madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
2. Serikali isitimize wajibu wake ila madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa
3. Serikali itimize wajibu wake ila madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
4. Serikali itimize wajibu wake na madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa

Nilitamani kama kila mtu angekuwa na knowledge ya truth tables za logic circuit humu, ningeyachorea table maelezo yangu. Utaona kwamba maafa yatatokea pale ambapo madaktari hawajatimiza wajibu wao regardless uwajibikaji wa serikali. Kwa hiyo madaktari ndio waliokuwa na uwezo wa kuepusha vifo visivyo vya lazima, na si serikali. Mimi nitaendelea kuwalaumu madaktari
mkuu hapo namba mbili natofautiana na wewe kwa kiwango kikubwa sana.labda nikuulize hivi unadhani daktari mwenye njaa,mwenye uchovu wa kusimama kwenye daladala,mwenye mawazo juu ya afya yake,mwenye kufikiria watoto wake watasoma vipi na anayefanya kazi katika mazingira magumu yasio na dawa au vifaa tiba ............ataweza kuzuia maafa?common sense au logic huwa haziapply kwenye mambo ya afya mkuu.

pia naweza kusema madaktari walitimiza wajibu wao kwa kusema hakuna kufanya kazi tukiwa na hali au mazingira mabovu!!!yet watu wamepoteza maisha.
 
Ebwana Chauakachara na Sankala mmeongea kitu, me pia nlitegemea madaktari wasinge opt kugoma maana wanajua athari za mgomo kuwa kwa vyovyote vile waathirika ni wananchi na sio serikali, meanwhile kodi za wananchi hao hao 'WANAOWAUA' ndiyo wanazolipiwa mshahara. Kifupi wanawaua MABOSI wao.
 
Mzee wa upako ni Tapeli mkubwa. Hata kama maDr wana makosa lakini Lusekelo na Babu wa loliondo ni sawa
 
Pamoja na uzuri wa quotations hizo zinazowapa utukufu na kweli mnastahiri kuheshimiwa kwa kazi yenu, hakuna kifungu ambacho kinasema unaponyimwa ujira wako ufanye nini. Sidhani utatuonyesha kuwa ukinyimwa ujira UGOME na UUE kwa kutowatibu wagonjwa. Hapo kuna tatizo, kweli mnastahili kulipwa ujira mzuri, kazi yenu ni ngumu na inahitaji umakini mkubwa. Nadhani wapendwa kuanzia sasa mpange kama msipopewa ujira mfanye nini, but at the same time your major concern should be to preserve life. Then you will win muder case siku ya hukumu


quotation hizo pia hazitoki kwenye biblia takatifu anayoisoma Lusekolo bali ni maneno ya apocripha yaani yaliyoandikwa without inspiration of the Holy spirit during intertestamental period.
 
...mnamzungumzia LUSEKELO yupi? Au mnamzungumzia yule Anthony Lusekelo mwenye pete ya ki-Freemasons atumiayo kudanganya kufanya miujiza ya kudondosha watu?
 
mkuu hapo namba mbili natofautiana na wewe kwa kiwango kikubwa sana.labda nikuulize hivi unadhani daktari mwenye njaa,mwenye uchovu wa kusimama kwenye daladala,mwenye mawazo juu ya afya yake,mwenye kufikiria watoto wake watasoma vipi na anayefanya kazi katika mazingira magumu yasio na dawa au vifaa tiba ............ataweza kuzuia maisha?common sense au logic huwa haziapply kwenye mambo ya afya mkuu.

pia naweza kusema madaktari walitimiza wajibu wao kwa kusema hakuna kufanya kazi tukiwa na hali au mazingira mabovu!!!yet watu wamepoteza maisha.

Je watanzania wengine ambao mishahara yao ni midogo tena kuliko ya madaktari hawana watoto, hawasafiri na daladala, hawana njaa, etc
 
Mbona hatuwalaumu hawa madaktari? Tusiwe fuata upepo, tuangalie nani alikuwa na nafasi nzuri ya kuokoa maafa kati ya serikali na madaktari. Ukitaka kujua kosa la madaktari, tafakari hili:

1. Serikali isitimize wajibu wake na madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
2. Serikali isitimize wajibu wake ila madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa
3. Serikali itimize wajibu wake ila madaktari wasitimize wajibu wao - kuna maafa
4. Serikali itimize wajibu wake na madaktari wakatimiza wajibu wao - hakuna maafa

Nilitamani kama kila mtu angekuwa na knowledge ya truth tables za logic circuit humu, ningeyachorea table maelezo yangu. Utaona kwamba maafa yatatokea pale ambapo madaktari hawajatimiza wajibu wao regardless uwajibikaji wa serikali. Kwa hiyo madaktari ndio waliokuwa na uwezo wa kuepusha vifo visivyo vya lazima, na si serikali. Mimi nitaendelea kuwalaumu madaktari

Mkuu umeelezea kisomo zaidi,ila swala la kujiuliza,je kwanin madktari waligoma? Na jiulize kwanin pinda alivyoongea nao tar9 mambo yamekuwa swafi? Mbona kama week nyuma hiv j2 pinda alitoa onyo na mgomo ndo ulizidi zaidi,uoni kama pinda(serikali) ndio ilichochea mgomo? Tafadhalia add column ya kauli za serikali,iwe inasomeka hv madatkari wasipogoma na serikali isipogomo+kauli mbovu za viongozi=maafa
 
Sinkala,lusekelo nawapa kubwa!!!! Biblia iliyonukuliwa nina shaka nayo!!! Madaktari mmekosea kutuulia ndugu zetu ilhali wagomvi wenu ni serikali TRUTH TABLE iliyonukuliwab imeonyesha ukweli upo wapi
 
Back
Top Bottom