Kwani chanjo ya watanzania tu? mbona tunapenda kujitoa ufahamu utasema sisi USA kila mtu anatuonea wivu nchi yenyewe tunajaza wamachinga tu, Kuna watu hawaijui hata Tanzania iko wapi lakini ukisikia watu humu utadhani donors kumbe tunapigia hesabu pesa za misaada tu na tozo za miamala."Chanjo hazifai, msifikiri mnapendwa Sana ndugu zangu watanzania".
Anaweza kuwa sahihi na anaweza kuwa hayupo sahihi.Kwani chanjo ya watanzania tu? mbona tunapenda kujitoa ufahamu utasema sisi USA kila mtu anatuonea wivu nchi yenyewe tunajaza wamachinga tu, Kuna watu hawaijui hata Tanzania iko wapi lakini ukisikia watu humu utadhani donors kumbe tunapigia hesabu pesa za misaada tu na tozo za miamala.
Swali la kujiuliza, madaktari wao wamechanjwa, sasa kama wamechanjwa wanakufaje wakati wamechanjwa na tuliambiwa ukichwanjwa haufi hata ukiugua na wala haulazwi?Inasikitisha. Kuna watu wengi wamekufa kutokana na chanjo. Ushahidi upo mwingi mno, kila mtu anajua. Waache kujipendekeza, hakuna mtanzania atakaye jipeleka kwenye kifo.
KWA NINI WASIJICHANJE MADAKTARI ILI TUSIWAAMBUKIZE, IKAISHIA HAPO TU..Jana waganga wa vituo vya afya vyote waliitwa Dar kwenye kikao na viongozi wa wizara ya afya, viongozi wa serikali na wafadhili. Katika maazimio yao walipendekeza serikali itangaze chanjo iwe ni lazima kwa kila mtu atake asitake.
Sababu ya kutaka chanjo iwe lazima ni kwamba madaktari wengi wanafariki kwa covid kutokana na kuambukizwa na wagonjwa pale wanapowapa huduma.
Swali la kujiuliza, wafadhili waliitwa kwenye hicho kikao ili iweje?
View attachment 1941596
Wachanjwe wote watumishi wa afya kwa lazima si wanaamini hawataugua na Corona?People have a right to their own body, hii ni moja ya kanuni kuu za haki za binadamu. Ndo maana hata wagonjwa wanakuwa na haki ya kukataa tiba.
Huwezi kulazimisha watu kuchanja, watumie akili kushawishi watu, na sio kwenda kinguvu nguvu.
Kama serikali haiwezi ikawalinda watumishi wa afya na kuwapa nyenzo muhimu za kujikinga na maambukizi, waibane serikali kwa kushindwa kuwajali.
Wametumwa hawa si bure.
Naunga mkono wachanje wao madactari na wauguzi wote na wote katka nyanja ya Afya.Inasikitisha. Kuna watu wengi wamekufa kutokana na chanjo. Ushahidi upo mwingi mno, kila mtu anajua. Waache kujipendekeza, hakuna mtanzania atakaye jipeleka kwenye kifo.
Hasira za nini mkuu, ukisema tuanze kubaguana au kupiga kura nani kafiri na nani siyo kafiriri, mtapata rais hata maramoja kweli? Acha matusi kabisa, pia wewe ni kafri tuu maana hizi dini wote tumeletewa, soma historia kama babu yako hakuwa manamba basi alikuwa mtumwa.Kumbe kelele zote za kulisifia lile liuwaji kwa vile ni kafiri mwenzako, yaani huna sababu ila basi tu kwa vile ni kafiri mwenzako!
Anza kumuonya yule mbwa kwanza kwa kuita gaidi,mnafiki mkubwa.Hasira za nini mkuu, ukisema tuanze kubaguana au kupiga kura nani kafiri na nani siyo kafiriri, mtapata rais hata maramoja kweli? Acha matusi kabisa, pia wewe ni kafri tuu maana hizi dini wote tumeletewa, soma historia kama babu yako hakuwa manamba basi alikuwa mtumwa.
Tena muache kabisa masuala ya Dini zenu kuyaingiza ktk siasa. Na mkome kabisa tunavumiliana na kupeana nafasi tu. Mkristo au Muislam wote tuanjenga Tanzania moja. Udini na Ukabila Ni Upumbavu na ujinga. Ndo maana Muislam anachinja Mkristo tunakula Mkristo akichinja Muislam hali, lakn Wakristo hawahoji, kwa nia yako mkuu unataka sasa tuwe na mabucha ya waislam na wakristo? Hatutaki kwenda huko.
Hao niInasikitisha. Kuna watu wengi wamekufa kutokana na chanjo. Ushahidi upo mwingi mno, kila mtu anajua. Waache kujipendekeza, hakuna mtanzania atakaye jipeleka kwenye kifo.
Kama hawa madaktari ni wataalam kweli.Watuambue kwanini watu wengi wanakufa baada ya chanjo tu.Kuna mama mmoja alijanjwa hapa DSM,na kwa msisitizo hakapiga marufuku ndugu zake na marafiki wasiochanjwa kufika kwake.Lakini huyu mama ametangulia mbele ya haki baada ya kuchanjwa.Nina Daktari rafiki yangu amechanjwa na kufariki baada ya siku chache.Je, hawa madaktari wanataka tuchanjwe ili tufe?Au wanataka waongezewe mishahara tu ,kwa kuwa wamesikia pesa za uviko zipo?Madaktari wameishauri Serikali chanjo ya Corona iwe lazima. Si jambo baya na wapo sahihi kwa kuwa wao ni wataalamu.
Serikali haipaswi kukataa ushauri wowote wa wataalamu kwa maana mambo yakienda ndivyo sivyo watakuwa hawana wa kumwajibisha. Hivyo ushauri uzingatiwe pia.
Na mimi binafsi Sina shaka na huu ushauri wa hawa madaktari nguli kabisa, Hoja kubwa ni wataalamu wa afya kufariki wakiwa wanaendelea kupambana na ugonjwa wa corona, ila kuna mambo lazima waweke bayana.
Nimejaribu kujiuliza hivyo pia si kwa ubaya, ila vyovyote vile bado Kuna nafasi ya kupambana na huu ugonjwa na kuutokomeza.
- wataalamu wa afya wanaendelea kufa, Ina maana hawa wataalamu wa afya walikuwa hawajapata chanjo? Ikiwa hawajapata, kwanini? Na wao ndio sisi tunategemea wawe mfano kwenye kutumia sayansi kukabili huu ugonjwa, hapa pana wasiwasi.
- Ikiwa walipata chanjo, maswali yatabaki kwanini wanakufa kwa Corona ikiwa tayari walipata chanjo. Ina maana tutarudi kuwaambia watu kuwa chanjo haizuii kufa kwa corona?