Baba Swalehe
JF-Expert Member
- Jun 6, 2017
- 19,526
- 37,943
so unanitishaWewe cheza na Mungu tu. Siku utakapokutana naye utajua yeye ni nani!!! Ndo maana hajaruhusu umuone ukiwa mzima.
Hahahhaha we jamaaa
so unanitishaWewe cheza na Mungu tu. Siku utakapokutana naye utajua yeye ni nani!!! Ndo maana hajaruhusu umuone ukiwa mzima.
Samahan, hivi kuungua moto kwa asilimia wanapimaje wakuu?
Sikutishi mzee. Ndo ukweli huo. Yaani Mungu akitaka umuone ukiwa hai utajuta maana hutatamani utakachokipata. Usiombe mzee. Heri usubiri ufe maana hata ukionana naye huna la kufanya. Kuna watu walitamani kumuona wakiwa hai, alifanya introduction tu kabla hawajamuona. Walisema heri asije. Hahahahahahahso unanitisha
Hahahhaha we jamaaa
Sikutishi mzee. Ndo ukweli huo. Yaani Mungu akitaka umuone ukiwa hai utajuta maana hutatamani utakachokipata. Usiombe mzee. Heri usubiri ufe maana hata ukionana naye huna la kufanya. Kuna watu walitamani kumuona wakiwa hai, alifanya introduction tu kabla hawajamuona. Walisema heri asije. Hahahahahahah
kwa hiyo kuna uwezekano wa 15 -13Ila dah, kati ya 47 waliopelekwa Muhimbili 32 wamefariki wamebaki 15, kati ya waliobaki 13 wako kwenye critical point IC wawili tu ndio wako wodi za kawaida, Mungu awaponye.