Madaktari wa Muhimbili poleni kwa kazi na asanteni kwa kusema ukweli ila ni wakati wa kuomba kuimaimarishwa kwa tiba ya watu walioungua moto

Hata kama Muhimbili wangekuwa na Burn Center kubwa namna gani wale wagonjwa wasingepona bali wengi wao wangekufa tu, Tanzania tumebarikiwa kuwa na maaskofu na manabii pamoja na akina Gwajima, Mzee wa upako, Mtume Mwingira, Askofo Fernandez, Kakobe etc ambao wangeweza kufanya maombezi yao kwa Mungu hata wakiwa watupu bila majoho ili tuone miujiza yao wanayoitangaza kila siku bado wasingeweza kupindua meza ya matokeo na bahati nzuri hapa walijua hawatapata kitu na matokeo yake wakawaachia Madaktari watumie ujuzi wao huku wao wakisubiri lini kuna munuso pale gate kali, Mkuu hizo nyama unazosema zilikuwa zinadondoka ndani ya Ambulance maana yake tayari zilikuwa zimeiva yaani laini kabisa basi unapashwa kuelewa kuwa ndivyo hivyohivyo athari ilivyokuwa ndani ya mapafu yaliyounguzwa na moto uliomezwa na waathirika wengi ambao walifanikiwa kutoka katikati ya wingu zito la moto huo, Mleta hoja anajaribu kutueleimisha elimu ya kuungua na matibabu yake na ni kweli lakini hajasema ni wapi duniani wagonjwa wa namna hiyo waliwahi kupona pamoja na kuwa na vifaa vyote muhimu? hata hivyo isiwe sababu madaktari wetu wanapaswa kuwa wakweli kweli na waanze upya kuangalia Medical ethics zao na practice of Euthanasia ili twende na wakhati
Sasa watenda miujiza wakina buldoza mwamposa si ndo ulkua muda wao huu sijaona hata mmoja akienda hospitalini

Yesu alkua anafanya huduma on that way

Cc Kiranga

Mzee nmefundishwa philosophy ya bible tangu nikiwa mdogo sana tena nimekua kwenye mafundisho ya dini

Kusali hata mara tano kwa siku

Kuamka kila siku saa tisa usiku kufanya maombi

Kufunga ndo usiseme
 
"Quinine- unahakika? Mie sikuona sababu; najaribu kuangalia utayari wa Muhimbili kutibu majeruhi wa kuungua moto na ambao huwa wamevuta moshi
Kwa hiyo unajaribu kuwaelimisha madaktari kwa kutumia ggle !?? Hujui kwamba hayo maandishi ya ggle yameandikwa na madaktari?
 
Kuna mtu amenambia hapo juu ni funzo anatufundisha

Pia amenionya kwamba naelekea kukufuru

Sasa kwa nini alipa ubongo wa kufikiri yaani nisihoji akati naona mambo si sawa

Kiranga hebu fikiri mimi mfano mimi ni mmoja waliopoteza ndugu kwenye ile ajali yaani nimepoteza baba mama na kaka hebu fikiri hali yangu ni mfano maana wapo waliokumbwa na hilo

Kwa nini aruhusu ?

Mimi bado namwamini nahitaji anijibu

Kwa nini wote muda wa kufa

Tusingekua tunalala au tunadondoka tu chini puuuu then kimya

Sasa kwa nini wengine wafe kwa mateso mzee na hawana kosa lolote

Sasa kwa mfano mmama amembeba mtoto anauza vitumbua akamwaga vitumbua kwenye ndoo ile ndoo akaenda kubebea mafuta

Moto ukalipuka wote wakafa

Mtoto alikosea nini hapo ? !

Nijibuni haya maswali sihitaji vitisho vya kukufuru

Bado namwamini Mungu sasa mnavyonitisha ndo mnaniweka kwenye wakati Mgumu sana wa kumwamini !
Kwani Mungu muweza yote, mwenye ujuzi wote na upendo wote kashindwa kuwafunza watu bila kuwaunguza kwa moto?
 
Sasa watenda miujiza wakina buldoza mwamposa si ndo ulkua muda wao huu sijaona hata mmoja akienda hospitalini

Yesu alkua anafanya huduma on that way

Cc Kiranga

Mzee nmefundishwa philosophy ya bible tangu nikiwa mdogo sana tena nimekua kwenye mafundisho ya dini

Kusali hata mara tano kwa siku

Kuamka kila siku saa tisa usiku kufanya maombi

Kufunga ndo usiseme
Ukisoma dini na kuangalia falsafa unagundua dini ni siasa ya kale iliyovishwa joho la utakatifu wa Mungu asiyethibitishika.
 
Mkuu,mbona sijakutisha kwa lolote?
Ila nimejaribu kugusia kuwa
Hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni kama Upumbavu (Mujibu wa maandiko (Biblia) )

Lakini.pia
Akili ya mwanadamu inapofika.mwisho hapo ndipo Mungu uanzia (Mujibu wa Maandiko (Biblia) )

Maana yangu ni nini?
1)Tumepewa ufahamu na akili.lakini tumepewa ukomo wa kufikiri na kujua mengineyo
Pale wanadamu wanapofikiri na uwezo wa kufikiri unapogota hapo ndipo Mungu ana anzia kuendelezea..

2)Pale ambapo tunaona tunatumia busara na hekima kuu,ndipo ambapo tunaonekana ni wapumbavu kwa Mungu..

Binadamu tumepewa akili na nia na uwezo na utashi lakini,Tume pewa Limit katika vyote hivyo!!

Tunaweza ku,hoji ikiwa Mungu ni muweza wa yote ama ikiwa Mungu ana upendo wa kweli mbona inakuwa hivi na vile..
Hapo tupo sahihi na wala siyo makufuru
Lakini shida ni kwamba uwezo wetu ume limitiwa katika kumuelewa na kumjua Mungu+mambo mengineyo

Ni sawa na wewe,Utengeneze roboti na kulitumia lazima utalipa limit ya kufanya kazi na mambo yake...

Mimi na wewe ni kama ma robots yaliyotengenezwa na Mungu kwa ajili ya kusudi maalumu ambalo aliweka ndani yetu..
Tumetengenezwa lakini,tumepewa limit katika uwezo wetu!!!!
Mimi sina akili we kijana hata kidogo ya kumzidi mungu

Hebu jibu maswali yangu usiniletee porojo hapa maana naziskia toka miaka ya 80

Hivyo vitisho nmevisikia kutoka kwa watu mbali mbalj na mimi pia nmetisha watu mbali mbali

So discuss mada kwa kutumia akili na usilete vitisho hapa
Ni kweli inafikia kipindi kuna mambo yanatokea hadi Mtu unajiuliza hivi huyu kweli Mungu yupo au inakuaje?!
Hapo hata kina Gabriel na Michael nao ilifika kipindi wakaanza ku blame kwa Mungu hivi na vile lakini tambua tumepewa Ukomo wa fikra!!..

Nakusindikiza na hizo shotes za kitabu cha Enoch
 

Attachments

  • Screenshot_20190810-093721.jpeg
    Screenshot_20190810-093721.jpeg
    47 KB · Views: 9
  • Screenshot_20190810-093721.jpeg
    Screenshot_20190810-093721.jpeg
    47 KB · Views: 11
Moto ulivyotokea tukasema tumwachie Mungu sio
Na hawa wanaokufa tumwachie Mungu tena sio

Cc Kiranga

Kwa nini aruhusu mateso kwa anaowapenda

Why kwa nini ani ili agundue nini kwa mfano bafo na maswali mengi sana kwa Mungu kikubwa uzima nifike mbinguni anijibu haya maswali yangu

Kama hataki kuulizwa maswali atakua kama mjinga sasa alitupa ubongo wa kufikiri wa nini

Mimi na maswali nae mengi sana
Mungu anakupa maisha na akili ya kufikiri... kila maamuzi unayofanya katika maisha yako na matokeo yake ts 100% on you (Hakuna cha fate wala destiny), ur in control of your life.
 
Mkuu,mbona sijakutisha kwa lolote?
Ila nimejaribu kugusia kuwa
Hekima ya mwanadamu kwa Mungu ni kama Upumbavu (Mujibu wa maandiko (Biblia) )

Lakini.pia
Akili ya mwanadamu inapofika.mwisho hapo ndipo Mungu uanzia (Mujibu wa Maandiko (Biblia) )

Maana yangu ni nini?
1)Tumepewa ufahamu na akili.lakini tumepewa ukomo wa kufikiri na kujua mengineyo
Pale wanadamu wanapofikiri na uwezo wa kufikiri unapogota hapo ndipo Mungu ana anzia kuendelezea..

2)Pale ambapo tunaona tunatumia busara na hekima kuu,ndipo ambapo tunaonekana ni wapumbavu kwa Mungu..

Binadamu tumepewa akili na nia na uwezo na utashi lakini,Tume pewa Limit katika vyote hivyo!!

Tunaweza ku,hoji ikiwa Mungu ni muweza wa yote ama ikiwa Mungu ana upendo wa kweli mbona inakuwa hivi na vile..
Hapo tupo sahihi na wala siyo makufuru
Lakini shida ni kwamba uwezo wetu ume limitiwa katika kumuelewa na kumjua Mungu+mambo mengineyo

Ni sawa na wewe,Utengeneze roboti na kulitumia lazima utalipa limit ya kufanya kazi na mambo yake...

Mimi na wewe ni kama ma robots yaliyotengenezwa na Mungu kwa ajili ya kusudi maalumu ambalo aliweka ndani yetu..
Tumetengenezwa lakini,tumepewa limit katika uwezo wetu!!!!Ni kweli inafikia kipindi kuna mambo yanatokea hadi Mtu unajiuliza hivi huyu kweli Mungu yupo au inakuaje?!
Hapo hata kina Gabriel na Michael nao ilifika kipindi wakaanza ku blame kwa Mungu hivi na vile lakini tambua tumepewa Ukomo wa fikra!!..

Nakusindikiza na hizo shotes za kitabu cha Enoch
View attachment 1187270View attachment 1187271
Umejibu vizuri sana

Atleast now nmeanza kuelewa kwamba sisi ni maroboti

Hapo sawa
 
Umejibu vizuri sana

Atleast now nmeanza kuelewa kwamba sisi ni maroboti

Hapo sawa
Kama tunaelewana hapo safi sana!
Nimekusindikiza na hizo
Screenshot za kitabu cha Enoch
Baada ya Fallen angel kushuka na kuleta uharibifu duniani!!
Ikafikia kipindi hata
Baadhi ya Archangel wakaanza kupaza sauti na kusema
Hiki na kile..
Lakini yote haikumuondolea Uweza na Ukuu Mungu!!

So Upo sahihi kabisa,!!
Screenshot_20190810-093721.jpeg
Screenshot_20190810-094941.jpeg
 
wengi wameongolea swala la vitendea kazi na utayari wa "madaktari"na rushwa ya hela aliotoa DAKTARI JOHN POMBE MAGUFULI .......kuna uwezekano mkubwa kwamba "rushwa"iliotolewa haikukidhi mahitaji ya watoa huduma....na kwamba "madaktari" wanahitaji "posho"kubwa ili waweze kuwahudumia majeruhi wetu
 
Kama tunaelewana hapo safi sana!
Nimekusindikiza na hizo
Screenshot za kitabu cha Enoch
Baada ya Fallen angel kushuka na kuleta uharibifu duniani!!
Ikafikia kipindi hata
Baadhi ya Archangel wakaanza kupaza sauti na kusema
Hiki na kile..
Lakini yote haikumuondolea Uweza na Ukuu Mungu!!

So Upo sahihi kabisa,!!View attachment 1187273View attachment 1187274
Ila mkuu ntakutafuta na maswali mengi sana kuhusu Huyu Mungu nayemwamini mengi sana ani
 
Mungu angekuwepo, moto usingeweza kuunguza mtu.Ungepika chakula na kuchemsha maji ya kuoga tu.

Mungu angetengeneza sheria ya asili moto ukitaka kumuunguza mtu tu, uzime wenyewe.

Kwanini hakuumba hivyo ikiwa uwezo wote anao, ujuzi wote anao na upendo wote anao?
Maswali ya kwanini Mungu, hakuna mwanadamu anayeweza kuyajibu, Mungu ni Mungu atangazaye mwisho Tangu mwanzo, na akli yake hazichunguziki, jinsi anavyofikri ni tofaut na Sisi tunavyofikilia, kuna watu wanaomba Mungu jua liendelee kuwaka, kuna wengine wanaomba mvua inyeshe na Mungu anawajibika wote Kwa wakat, Mimi na wewe tutapita but still watakaokuja watamwabudu na kuendelea kumsifu...cha msingi ni kuendelea kumtumaini Kwa sababu miisho yetu hatuijui
 
Maswali ya kwanini Mungu, hakuna mwanadamu anayeweza kuyajibu, Mungu ni Mungu atangazaye mwisho Tangu mwanzo, Mimi na wewe tutapita but still watakaokuja watamwabudu na kuendelea kumsifu...cha msingi ni kuendelea kumtumaini Kwa sababu miisho yetu hatuijui
Mungu ni Mungu atangazaye mwisho Tangu mwanzo
 
Maswali ya kwanini Mungu, hakuna mwanadamu anayeweza kuyajibu, Mungu ni Mungu atangazaye mwisho Tangu mwanzo, na akli yake hazichunguziki, jinsi anavyofikri ni tofaut na Sisi tunavyofikilia, kuna watu wanaomba Mungu jua liendelee kuwaka, kuna wengine wanaomba mvua inyeshe na Mungu anawajibika wote Kwa wakat, Mimi na wewe tutapita but still watakaokuja watamwabudu na kuendelea kumsifu...cha msingi ni kuendelea kumtumaini Kwa sababu miisho yetu hatuijui
Unaanza kwa kuandika kwamba maswali ya kwa nini Mungu hakuna mwanadamu anayeweza kuyajibu, halafu unayajibu.

Unajichanganya mwenyewe.

Huelewi hata unachoandika wewe mwenyewe.
 
"mazojms, maisha ni maigizo kwa kutumia script iliyoandikwa na Mungu
Hahaha hii sio kweli..
-If that is the case, unafikiri Mungu ni mwonevu hata amwadhibu mtu kwa kitu ambacho kampangia mwenyewe.?

- The only thing thats God's plan is doing good, for we were created from good. Kufuata mapenzi ya Mungu au kutofuata mapenzi ya Mungu thats a person's decision, life is controled by decisions and God has nothing to do with such decisions.

- Mpango wa Mungu kwa mwanadamu ni kuishi katika mapenzi yake na mwishoe kufa akiwa katika mapenzi yake. How we live/die is in our control.
 
Ukiona mgonjwa wako amewekewa oksigen Anza kusali Sana..huwa hawarudi kwa experience yangu
 
Back
Top Bottom