BoManganese
JF-Expert Member
- Jun 10, 2017
- 979
- 2,669
Siku hizi kuna ganzi na bado watu wanalia lia
Wewe walikutoaje hilo jino?Enzi zile, kutibu meno ilikuwa ni vita aiseeee
Huyu Dr kanichekesha, Dogo kaanguka na kiti bado kamkomalia..Siku hizi kuna ganzi na bado watu wanalia lia View attachment 1238627View attachment 1238628View attachment 1238629
😂😂😁😁😁😁😁Huko ni kutoa jino ama roho.
Ilikuwa ni vita mkuu....tehWewe walikutoaje hilo jino?
Dah! Nimebaki mdomo wazi aisee🤣🤣🤣Ilikuwa ni vita mkuu....teh