Madaktari mkisalimu amri sasa mmekwisha; mtawahukumu wanaokuja nyuma yenu

Mzee Mwanakijiji,

Unahaha na ufataani, wamekwisha rudi kazini fitna na majungu yako hayajafanya kazi.

Kwa maandiko yako inaonesha ulikuwa unaona raha wale wagonjwa wanavyoendelea kuteseka.
 
Last edited by a moderator:
Mzee Mwanakijiji,

Unahaha na ufataani, wamekwisha rudi kazini fitna na majungu yako hayajafanya kazi.

Kwa maandiko yako inaonesha ulikuwa unaona raha wale wagonjwa wanavyoendelea kuteseka.
Tatizo ma dr wangeweka na kokamaa kwenye kuboresha huduma za afya na madai yao yangejikita huko kweli watanzania wangewaa elewa. ndio maana serikali ikatumia madai yao 11 kuwamaliza, na wao wamebaki na dai moja tu ambalo ndio mwanakijiji anaona ndio nguzo pekee iliobaki.
 
"wanaokuja nyuma yenu" ni Kiswahili kibovu. "wanaokuja" ni "present tense".

Tathmini ujipange kuandika vizuri.
 
Any body can easily be a cop in Tanzania.
After all, you need to fail most of your classes in O level in order to qualify to be a cop.
As far as you don't arrest real criminals! Your job is safe.

Who can not be a Police in Tanzania?

We Jamaa unafikiria sana! Yaani kwa kifupi wewe ni mkali
 
Mzee Mwanakijiji!Kwanza Heshima yako mkuu wangu.
Mimi nadhani huu siyo muda wa kuchochea pande yoyote kati ya madaktari au Serikali maana kati yao hakuna anaye athirika bali ni mwananchi mimi nisiye na hatia.Kuendelea kuvimbishiana kifua na Serikali hakutawasaidia lolote hasa ukizingatia kuwa mkuu wa nchi ameshatoa msimamo wa serikali juu ya hili.
Ningependa tuwe kimya au kuwasihi madaktari warudi kazini wakati majadiliano yao yakiwa bado yanaendelea kama Rais alivyosema.Jamani kuandika tunaandika tu lakini hatujui impact inayoweza kutokana na maandiko yetu.Vifo vikiongezeka madaktari watajiongezea adui wa tatu ambaye ni mwananchi wanayeishi naye mtaani na pakifikia hapo sijui mtandika kitu gani tena humu jamvini.
Kwa hili Mzee Mwanakijiji sikuungi mkono hoja hata kidogo unless uwe una hidden agenda yako.
 



Ni kweli kabisa unalosema mkuu,lakini hiyo ya wabunge inatoka wapi? Kinacholeta matfaruku hapa ni ule uwezekano wa wengine kupata na wengine kukosa katika serikali moja.
 
MTOA MADA IF SO UNATAKA TUINGIE LIBYA sema mzee tutakusaport but baada ya mda mchache kutakuwa hakuna mjanja, kwani sisi tunao lala nje ya majumba yetu kila siku kwa ajili ya maisha yenu na mali zenu hatuna haki, je hatuna elimu kama mnavyodai, na kama hauamini kama tuna shule za kufa mtu let do a research. NASHAURI selikali inajali watumishi wake wote maana wanategemeana, kukiwa na vita askari ni bora kuliko mtu yeyote, ukiwa huji kusoma mwalimu wa a,e,i,o,u ni muhimu sana kwa wakati huo kuliko soldier, ukiwa umekwama na usafiri konda ni muhimu sana kuliko mtu yeyote so tuvumliane wakuu. ikifika 2015 mtaamua mtu gani wa kumpa huu mtaa wa tanzania
 

According to them, wanasema Rais angetakiwa kusikiliza pande zote mbili, na kamwe madai yaliyosomwa na Mheshimiwa hayakuwa yao. Tangu wameanza mgomo huu wa mara ya pili hawajahi kukaa na serikali kuongea nao, hivyo nadhani ingekuwa vizuri kama yeye kama kiongozi wa nchi ambayo sekta ngumu na very delicate kama hii imekumbwa na matatizo kama haya angewaita na kuzungumza nao kabla hajasema hotuba ambayo imechangiwa na waliokuwa chini yake.
 

Hii naikubali sana, ni rahisi kufahamika na mtu atakayeipinga au kushindwa kuifahamu hoja hii fupi akapimwe akili.
 
maana kauli ya jk ni sawa na kuwaambia wapiga kura {WAGONJWA}Kuwa “anayeona haridhishwi na huduma mbovu za hospitali za serikali basi aende hospitali binafsi huko kwenye huduma bora na madaktari wenye furaha na ari!!!!
shame on u mr dhaifu.
 
Nasikia bajeti ya Tanzania na Rwanda zinzfanana hilo ni tatizo jamani
 

Umenena vizuri sana. Pichanayoipata hapa Serikali haikupewa maelezo vizuriau tuseme imepotoshwa! Bado serikali kama ina nia ya kweli ya kumaliza mgomo huu inaweza na si kuishi kwa hisia kuwa kuna chama fulani eti kina mkono nyuma yake. Ebu waboreshe huduma za afya, vitendea kazi, miundombinu, maslahi na dawa kama mgomo utakuwepo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…