hivi polisi na madaktari nani ana mshahara mzuri mazingira bora ya kazi??je polisi wakigoma??..ninyi dr's ubinafsi umewazidi kati ya madia 12, 11 ni madai yenu binafsi ya posho na mishahara... moja tu ndo uboreshaji wa huduma za afya.. hivi mnafikiri uboreshaji wa afya ni wa siku moja?? kwa hiyo mtaendelea kugoma hadi wodi za wazazi,watoto zijengwe ndo mrudi kazini???? hivi ninyi wasome kweli au wanasiasa?????.... KAMA HAMJUI KWA SASA TUMEWASHATOA THAMANI KWANI MNAAJENDA YENU NYUMA KATIKA MGOMO HUU.