Madaktari kuuza damu kwa wagonjwa mahututi ni ubinadamu?

Damu ya kuongeza wagonjwa mahututi inauzwa ingawa kanuni ya tiba inakataza kufanya hivyo kwani hata wanaojitolea damu hawauzi damu yao kwa hospitali husika. Benki ya damu ni kwa ajili ya dharura lakini ukifika na mgonjwa madaktari watakuambia lipa mathalan elfu 50,000 ili mgonjwa wako aongezewe damu kama huna fedha unatakiwa kwenda kutafuta ndugu na jamaa wa kujitolea damu hata kama ipo lakini wakati huo mgonjwa kabakiza muda wa nusu saa damu itakwisha mwilini na asipopata damu daktari anakuambia atakufa. Ukitoa fedha damu inaletwa mara moja.


My take: - mazingira ya kugoma kwa maelezo kwamba serikali iboreshe mazingira ya kazi ni kweli?

- Kama wanaojitolea damu bure wangekuwa wanauza bei yake ingekuwa ya juu kupita kiasi
tusingeiweza wengi na tungekufa.

- Je mazingira bora ya kazi ni tiketi ya pekee ya mgonjwa kupata huduma bora?
Je huduma bora ni vifaa vya kazi pekee au inaambatana na roho ya daktari na muuguzi?

PROPAGAN"D SIO NJIA SAHIHI YA KUTATUA MGOMO WA MADAKTARI, TUNAJUA UMETUMWA.. NA MIMI NAKUTUMA NENDA KAMWAMBIE BOSI WAKO ALIYEKUTUMA KUWA ATAFUTE SULUHU YA matatizo ya nchi hii na sio propaganda.WATANZANIA WA SASA WANAELEWA sio misukule. WAKATI WOTE MLIKUWA WAPI KULETA MIJADALA KAMA HII HADI MSUBIRI MGOMO NDO MJIFANYE kuzungumza...

HAUNA BUSARA HATA KIDOGO.
USIONGEE KWA KUTUMIA ******, LETA USHAHIDI WA DAKTARI ALIYEUZA DAMU.
 
Damu ya kuongeza wagonjwa mahututi inauzwa ingawa kanuni ya tiba inakataza kufanya hivyo kwani hata wanaojitolea damu hawauzi damu yao kwa hospitali husika. Benki ya damu ni kwa ajili ya dharura lakini ukifika na mgonjwa madaktari watakuambia lipa mathalan elfu 50,000 ili mgonjwa wako aongezewe damu kama huna fedha unatakiwa kwenda kutafuta ndugu na jamaa wa kujitolea damu hata kama ipo lakini wakati huo mgonjwa kabakiza muda wa nusu saa damu itakwisha mwilini na asipopata damu daktari anakuambia atakufa. Ukitoa fedha damu inaletwa mara moja.


My take: - mazingira ya kugoma kwa maelezo kwamba serikali iboreshe mazingira ya kazi ni kweli?

- Kama wanaojitolea damu bure wangekuwa wanauza bei yake ingekuwa ya juu kupita kiasi
tusingeiweza wengi na tungekufa.

- Je mazingira bora ya kazi ni tiketi ya pekee ya mgonjwa kupata huduma bora?
Je huduma bora ni vifaa vya kazi pekee au inaambatana na roho ya daktari na muuguzi?
mama porojo,unazungumzia hospitali ya serikali au binafsi? nina hakika unajua ktk hospitali za umma hutakiwi kulipia damu,ndio maana unanung'unika. kwanini usikatae kulipia naukatoa taarifa polisi wachukuliwe hatua zinazopaswa? sheria inasema mtoa rushwa na mpokea rushwa wote ni wakosaji. tuna baki kulalamika tu,hata kumtaja mhusika unashindwa,inaonekana kama ni umbea tu sababu haiwezekani madaktari wote wa muhimbili wakakuuzia damu,mhusika ni mmoja,kweli kama ilikuuma kwanini usitafute jina na kulipeleka katika vyombo husika? Hii ni sawa na kupiga stori za kuibadili kigoma kua kama London,kujenga fly over,hospitali ya rufaa kila jimbo, tuache kupiga soga,tuchukue hatua.........
 
Damu ya kuongeza wagonjwa mahututi inauzwa ingawa kanuni ya tiba inakataza kufanya hivyo kwani hata wanaojitolea damu hawauzi damu yao kwa hospitali husika. Benki ya damu ni kwa ajili ya dharura lakini ukifika na mgonjwa madaktari watakuambia lipa mathalan elfu 50,000 ili mgonjwa wako aongezewe damu kama huna fedha unatakiwa kwenda kutafuta ndugu na jamaa wa kujitolea damu hata kama ipo lakini wakati huo mgonjwa kabakiza muda wa nusu saa damu itakwisha mwilini na asipopata damu daktari anakuambia atakufa. Ukitoa fedha damu inaletwa mara moja.




My take: - mazingira ya kugoma kwa maelezo kwamba serikali iboreshe mazingira ya kazi ni kweli?

- Kama wanaojitolea damu bure wangekuwa wanauza bei yake ingekuwa ya juu kupita kiasi
tusingeiweza wengi na tungekufa.

- Je mazingira bora ya kazi ni tiketi ya pekee ya mgonjwa kupata huduma bora?
Je huduma bora ni vifaa vya kazi pekee au inaambatana na roho ya daktari na muuguzi?


Kulalamika tu kwa watanzania nao ni ufisadi kama ufisadi mwingine.Naona watanzania wengi ni yatima wa akili.Kama ulisha wahi kutoa damu popote pale hakuna ndugu yako yeyote atakaye lazimishwa kununua damu wala kumtolea mngonjwa damu,ukifika unaonesha kikadi chako mgonjwa wako anapatiwa damu bila longolongo.

Kama kuna rushwa wamekudai nenda sehemu husika kuwawajibisha na si kulalama nyuma ya keyboard bila kutimiza wajibu wako kama Raia.Ukilalamika bila kutimiza wajibu wako wewe ni janga kwa maendeleo ya taifa letu.
 
wakubali wasikubali ukweli unabaki kuwa udaktari ni wito!
kinachotusumbua kwa sasa ni kwamba madaktari wengi wameitikia au wamekubali kufanya kazi ya udaktari kama sehemu ya mshahara hawana mawazo ya msaada na roho za watu
mbaya zaidi kila sehemu wana siasa wameingia na kutuharibia mpango mzima wa maisha yetu
fikiria kinachowagomesha kwa sasa ni siasa na si maslahi tena. tunaelewa vizuri kuwa wanatumiwa ili yatokee lakini ipo siku anayetuchumia shida hizi mungu atamuumbua nafsi yangu inaumia mno sina uwezo ila tukaze buti
Wewe kazi yako ndio si ya wito?
 
Ndugu yangu alikufa kwa kukosa fedha ya kulipia damu Muhimbili sitasahau siku hiyo, tulimtuma ndugu mmoja kwenda kuchukua fedha akachelea lakini mgonjwa wetu alikufa tukimwangalia.
Nyie ndio huwa mnakimbia mkiambiwa ndugu waje kuchangia damu. Kama ulikutana na mtu akataka ununue damu lazima ulikuwa unasita kuchangia damu. Damu haiuzwi, ila najua kuna watu huwa wako radhi kuchangia damu kwa wagonjwa fulani iwapo watapata mshiko; hasahasa kwa wale wenye group nadra. Ulimuua ndugu yako kwa kuogopa kuchangia damu.
 
Damu ya kuongeza wagonjwa mahututi inauzwa ingawa kanuni ya tiba inakataza kufanya hivyo kwani hata wanaojitolea damu hawauzi damu yao kwa hospitali husika. Benki ya damu ni kwa ajili ya dharura lakini ukifika na mgonjwa madaktari watakuambia lipa mathalan elfu 50,000 ili mgonjwa wako aongezewe damu kama huna fedha unatakiwa kwenda kutafuta ndugu na jamaa wa kujitolea damu hata kama ipo lakini wakati huo mgonjwa kabakiza muda wa nusu saa damu itakwisha mwilini na asipopata damu daktari anakuambia atakufa. Ukitoa fedha damu inaletwa mara moja.


My take: - mazingira ya kugoma kwa maelezo kwamba serikali iboreshe mazingira ya kazi ni kweli?

- Kama wanaojitolea damu bure wangekuwa wanauza bei yake ingekuwa ya juu kupita kiasi
tusingeiweza wengi na tungekufa.

- Je mazingira bora ya kazi ni tiketi ya pekee ya mgonjwa kupata huduma bora?
Je huduma bora ni vifaa vya kazi pekee au inaambatana na roho ya daktari na muuguzi?
Nani kakwambia damu hulipiwa? Ukilaza wako wa kutotafiti mambo na kukurupuka kutenda au kusema kabla ya kufikiria ndio utaishiwa kutojua haki zako. Halafu kwa taarifa yako, benki ya damu ya kanda ya mashariki iliyoko Ilala; haiwezi kutoa damu ya kutosheleza kuhudumia wagonjwa wa mikoa husika kwa kuwa nyie mnaogopa kujitolea damu. Ndio maana ukienda Muhimbili na ndugu yako akawa anahitaji damu, utaambiwa uchangie damu, kwa kuwa wanapata just 40% ya kiasi cha damu wanachotaka kwa siku kutoka benki ya damu kanda ya mashariki. Lakini cha ajabu, nyie huwa mnaanza ndogo ndogo mkisikia kuchangia damu, wenye nguvu ndio huwa wanajifanya wanaweza kununua kwa bei yoyote ile, hapo ndipo hukumbwa na vijana wa mjini wanaoweza kuwakamua kisawasawa kwa kuwa mmejitengenezea mazingira ya kukamuliwa.
 
Kila mara nasema kuna vijana wenzangu wenye mawazo FINYU kabisa. Hivi wewe unawezaje kuandika kwamba daktari ndiye anayehusika na kunatoa damu na ndugu yako alikufa kwa kukosa damu??? Umefanya utafiti ukajua kazi za daktari akifika ofisini asubuhi mpaka anapoondoka jioni? Je kwenye utafiti wako umeona daktari anajihusisha moja kwa moja na benki ya damu??
Hivi kweli nyie majuha mnaweza kusimama mbele za watu kutetea serikali ambayo imeshindwa kuwajibisha watu wawili na kuwaona madaktari nchi nzima hawana akili?? Hivi huyo daktari angekuwa ni baba/mama/kaka/dada au ndugu yako anarudi nyumbani usiku, anaamka alfariji kuwahi daladala, anarudi nyumbani ananuka harufu ya wagonjwa na hata vifaa alivyovaa bado ni vile tunavyotegemea kuviona hospitali tu. Je ungekuwa unasimama ndani ya jukwaa hili kusema pumba kama hizi? Nina uhakika asilimia kubwa kwenye forum hii ni vijana kwahiyo nawahasa tu nyie ambao mnatumwa na kujitoa fahamu, basi badilikeni hata kwakutumia mawazo mazuri yanayotolewa humu na vijana wenzenu na ukizingatia mawazo haya yanatolewa bure.
 
wakubali wasikubali ukweli unabaki kuwa udaktari ni wito!
Kinachotusumbua kwa sasa ni kwamba madaktari wengi wameitikia au wamekubali kufanya kazi ya udaktari kama sehemu ya mshahara hawana mawazo ya msaada na roho za watu
mbaya zaidi kila sehemu wana siasa wameingia na kutuharibia mpango mzima wa maisha yetu
fikiria kinachowagomesha kwa sasa ni siasa na si maslahi tena. Tunaelewa vizuri kuwa wanatumiwa ili yatokee lakini ipo siku anayetuchumia shida hizi mungu atamuumbua nafsi yangu inaumia mno sina uwezo ila tukaze buti



mungu ibariki tanzania na watu wake inshallah
 
Swali dogo la kujiuliza: WHO RUNS THE BLOOD BANK? Yeyote anayejua hospitali yoyote Tanzania ambapo daktari ndio in-charge wa blood bank aseme hapa! Maana sio kila mfanyakazi hospitalini basi ni daktari! Wakati niko Muhimbili nimeshaona mara kibao watu wanakuja muulizia mfagia ward (sio hata nurse) wakiulizia dokta fulani! Sasa hu6yu mtu akifanya ujinga wowote ule, basi ni dokta kafanya...hata akifumaniwa mtaani huko kwenye uwazi wataandika daktari bingwa kafumaniwa!

Zote hizo ni chuki zinazotokana na ukweli kwamba...not everybody can be a doctor, hata tukilipwa hela ndogo, tukiwa maskini...still, not everybody can be a doctor! You will hate that fact for the rest of your miserable life!
Kweli mkuu bora umewaambia ukweli maana wanachonga sana. Kwani mara ngapi tumeshuhudia ma wodi atendati wakifanya circumcision, wao yeyote anayeonekana hospitali ni doctor hawa ambao siyo madaktari ndo wanaofanya hayo mambo wanayoyasema lakini kwa kuwa hawataki kujielekeza kwenye kutatua tatizo acha waendelee kulalama.
 
Kuku bwana wana nidhamu. Unajua hawa Madaktari sasa wamevua taaluma zao sasa sijui tuwape majina gani. Sijui wanapoulizwa wanafanyakazi wanadiriki kusema ni Madaktari. Wanaharakati wanatekeleza majukumu yao kupitia migongo yao , Wanasiasa halikadhalika, wao je nini jukumu lao?

PIPIJOJO SUGUU1, NA WENZAKO WENGI MLOTOA COMENT ZA KIPROPAGANDA na kuwalaumu madaktari,, IPO HIVI MKAMWAMBIE BOSI WENU HII SIO NJIA SAHIHI YA KUTATUA CHANGAMOTO ZA TAIF HILI.. LABDA MTUAMBIE,, MNATAKA KUACHIEVE NINI? MALA WANAKULA RUSWA, TENA WE ULOTOA 20000 MOI NDO UNGEKUWA WA KWANZA KUKAMATWA NA PCCB THO NAJUA NAO NI WALE WALE. OK DAKTARI KALA RUSHWA, KIKWETE KALA NGAPI? PROF MAHALU KAMUUMBUA HIVI MAJUZI KUHUSU ISSUE YA UNUNUZI WA MAJENGO YA UBALOZI ITALY NA MENGINE MENGI. MBONA MMEKAA KIMYA?


KITU WANACHODAI SASA MADAKTARI NI UTEKELEZAJI WA MAAZIMIO AMBAYO WALIKUBALIANA NA PM PALE MUHIMBILI UKUMB\ WA CPL NA AZIMIO LA KWANZA ILIKUWA NI KUWAWAJIBISHA WATENDAJI WA KISIASA WA WIZARA KWA KUSHINDWACHUKUA HATUA STAHIKI KUDHIBITI MGOMO WA KWANZA USITOKE ILI KUWEKA MAZINGIRA MAZURI KWA AJIL! YA MJADALA WA MADAI MENGINE IKIWEMO LA UBORESHAJI WA HUDUMA ZA AFYA............................ NAJUA HAYA YOTE MNAYAFAHAMU ILA NI KWA AJILI YA KUWAELIMISHA WATANZANIA WENGINE WA KAWAIDA

HAPO SIASA IMETOKA WAPI KAMA WAZIRI MKUU ANADANGANYA, ANAAHIDI ASICHOWEZA KUTEKELEZA KWA NINI ASIWAJIBIKE?

ACHENI UP*******UUZI HALAFU MKAMWAMBIE BOSI WENU HZO PROPAGANDA HAZITAZAA MATUNDA KAMA MNAVYODHANI

MUNGU IBARIKI TANZANIA
MUNGU WABARIKI MADAKTARI ILI HAWA MASHETANI ALIOKO MADARAKANI WAUONE MKONO WAKO KUPITIA KWA HAWA WATUMISHI WAKO WATIIFU MADAKTARI.

SOLIDARITY............. FOREVERRRRRRRR
 
Damu ya kuongeza wagonjwa mahututi inauzwa ingawa kanuni ya tiba inakataza kufanya hivyo kwani hata wanaojitolea damu hawauzi damu yao kwa hospitali husika. Benki ya damu ni kwa ajili ya dharura lakini ukifika na mgonjwa madaktari watakuambia lipa mathalan elfu 50,000 ili mgonjwa wako aongezewe damu kama huna fedha unatakiwa kwenda kutafuta ndugu na jamaa wa kujitolea damu hata kama ipo lakini wakati huo mgonjwa kabakiza muda wa nusu saa damu itakwisha mwilini na asipopata damu daktari anakuambia atakufa. Ukitoa fedha damu inaletwa mara moja.


My take: - mazingira ya kugoma kwa maelezo kwamba serikali iboreshe mazingira ya kazi ni kweli?

- Kama wanaojitolea damu bure wangekuwa wanauza bei yake ingekuwa ya juu kupita kiasi
tusingeiweza wengi na tungekufa.

- Je mazingira bora ya kazi ni tiketi ya pekee ya mgonjwa kupata huduma bora?
Je huduma bora ni vifaa vya kazi pekee au inaambatana na roho ya daktari na muuguzi?


Uelewa wako katika maswala ya afya unaonekana kuwa mdogo, sitaki kuamini eti ni kwa sababu umetumwa tu, hapana ni kwa sababu hujui, hii ndo kawaida ya majasusi wa kitanzania na watawala wake, mfano mzuri ni waziri wa afya MPONDA ambaye alishindwa kutofautisha kati ya INTERN DOCTOR na MWANAFUNZI.


NNAANZA KUKUELIMISHA WEWE POMPOMPO.. NA WENGINE WOTE WENYE UBONGO ULOKOSA OXYGEN WAKATI WA KUZALIWA (BIRTH ASPHYXIA)

BENKI YA DAAMU SIO KWA AJILI YA DHARURA ILA NDO YENYEWAJIBU WA KUHAKIKISHA DAMU INAPATIKANA KATIKA MAHOSPITALI YOTE AMBAYO IKO CHINI YA KITENGO CHA TAIFA CHA DAMU SALAMA NA NI KITENGO KINACHOJITEGEMEA NA IDARA CHINI YA WIZARA YA AFYA, KUSHINDWA KUPATIKANA KWA DAMU NI SURA YA UTENDAJI MBOVU WA WIZARA YA AFYA, KAMA NDUGU YAKO ALIKOSA DAMU UNGEENDA KUMDAI MPONDA NA NKYA NA SIO KULAUMU MADAKTARI..

TENA KATI YA MAPOMPOMPO WA KUTUPWA CHOONI WE WA KWANZA, UNATOA RUSHWA HALAFU BADALA YA KWENDA POLISI AU PCCB PAMOJA NA KUWA WOTE NI WELEWALE UNAKIMBILIA JF, UNAAKILI WEWE?


MUNGU WABARIKI MADAKTARI NA UWALAANI TISS NA WATAWALA WA NCHI HII AMBAO HAWANATOFAUTI NA MASHETANI
 
wakubali wasikubali ukweli unabaki kuwa udaktari ni wito!
Kinachotusumbua kwa sasa ni kwamba madaktari wengi wameitikia au wamekubali kufanya kazi ya udaktari kama sehemu ya mshahara hawana mawazo ya msaada na roho za watu
mbaya zaidi kila sehemu wana siasa wameingia na kutuharibia mpango mzima wa maisha yetu
fikiria kinachowagomesha kwa sasa ni siasa na si maslahi tena. Tunaelewa vizuri kuwa wanatumiwa ili yatokee lakini ipo siku anayetuchumia shida hizi mungu atamuumbua nafsi yangu inaumia mno sina uwezo ila tukaze buti

toa justification kuthibitisha kuwa kazi ya udaktari ni wito, ukishndwa basi utakuwa umetuthibitishia jinsi usivoweza kujenga hoja.

Na kama ni wito basi muwaandalie madaktari wito card ili wakiwa wanapita super4maert, petrol station, na kwingineko kunakohotaji malipo wawe wanaonyesha na kupata huduma kwa kuonyesha "wito card" tu.
 
Wewe ulifanya mawazo ya busara kwakuwa ulishajiona kwamba huna wito,motivation yako ilikuwa ni gain zako binafsi sio kusaidia wananchi wa nchi yako waliopigika. Mimi nina matatizo na hawa wenzako wanaojifanya kama wana interest za wananchi at heart halafu wanafanya vitu completelly opposite. Ni bora wangeondoka kama wewe wakabaki wale ambao kweli wapo tayari kufanya kazi kwa ajili ya wananchi kuliko kuwaomba kitu kidogo wananchi choka mbaya na kuwauzia dawa na huduma nyingine ambazo walistahili kupata bure.

Mkuu kwa viwango vyako, unadhani serikali hii ya JK na Pinda wana interest za wananchi at heart? au wao ndo wanakazi zinazotakiwa wagain kuliko interest za wananchi? Nimeshakupa mfano ambao haukugusia kiasi gani wanagain bali jinsi tuwasivyowajibika tu na ufisadi na wizi wa mabilioni ya pesa za wananchi kupitia DOWANS, EPA, Meremeta, deepgreen, Rada na, nk. kwa kutokuwajibika tu (ukiachia mbali gaining zao na maposho mbalimbali) unaona wana interest za wananchi at heart?
Nadhani ushauri wako ungewafaa zaidi akina JK na Pinda kwanza kabla hujawageukia maDr. Kwa sababu kama viongozi wetu serikalini wangekuwa fair katka priorities za kijamii na wakali katika ufujaji wa pesa na wizi, halafu maDr wakawa wanadai tu malipo zaidi na mazingira bora, ningekuwa wa kwanza kuwashambulia. Lakini si katikati ya uongozi unaochekacheka na mafisadi kama huu na uligubikwa ma priorities za ajabu katka matumizi ya pesa za wananchi.
 
kila mara nasema kuna vijana wenzangu wenye mawazo finyu kabisa. Hivi wewe unawezaje kuandika kwamba daktari ndiye anayehusika na kunatoa damu na ndugu yako alikufa kwa kukosa damu??? Umefanya utafiti ukajua kazi za daktari akifika ofisini asubuhi mpaka anapoondoka jioni? Je kwenye utafiti wako umeona daktari anajihusisha moja kwa moja na benki ya damu??
Hivi kweli nyie majuha mnaweza kusimama mbele za watu kutetea serikali ambayo imeshindwa kuwajibisha watu wawili na kuwaona madaktari nchi nzima hawana akili?? Hivi huyo daktari angekuwa ni baba/mama/kaka/dada au ndugu yako anarudi nyumbani usiku, anaamka alfariji kuwahi daladala, anarudi nyumbani ananuka harufu ya wagonjwa na hata vifaa alivyovaa bado ni vile tunavyotegemea kuviona hospitali tu. Je ungekuwa unasimama ndani ya jukwaa hili kusema pumba kama hizi? Nina uhakika asilimia kubwa kwenye forum hii ni vijana kwahiyo nawahasa tu nyie ambao mnatumwa na kujitoa fahamu, basi badilikeni hata kwakutumia mawazo mazuri yanayotolewa humu na vijana wenzenu na ukizingatia mawazo haya yanatolewa bure.
mkuu sio kama wanauelewa finyu wengi wao wametumwa kuja kupotosha umma wakidhani ndo suluhisho la matatizo mengi ya tanzan"a. Na sio kwa hili la nduguzetu madaktari tuu bali karibu sekta zote. Sijui kwa nini hawajifunzi.

Wambie ukweli yani badala damu ikikisekana mahospitalini wakaidai wizara ya afya analalamikiwa daktari.
 
blood bank Incharge sio Dr...wananchi wetu wana uelewa mdogo sana sana sana...wakiona mtu yuko hospital kavaa koti refu jeupe waadhani ni Dr.
nadhani elimu inahitajika....tusimlaumu aliye post hi I mada . tumpe elimu
Mkuu huyu jamaa sio kwamba haelewi ila anafanya makusudi. kuna uwezekano mkubwa katumwa kupotosha umma kama kawaida yao
 
Madaktari ni wasanii hali yao ni bora kuliko sekta nyingi serikalini lakini wengi wetu tunatawaliwa na ajenda za kisiasa katika kuunga au kupinga mgomo wao

Usanii wao ni nini? hebu toa ufafanuzi.. I think msanii ni Kikwete na Pinda wanaotoa ahadi hewa Public tena bila aibu.
Hebu toa Justification ya SIASA inayofanywa na madaktari.. kabla ya kuropoka. Jamani sio lazima thread uchangie kama huna la kuongea kaa kimya.
 
Rushwa ina channel anayepokea wagonjwa anaweza kuwa anaunganisha line na incharge wa blood bank. Kumbuka incharge wa blood bank haonani na wagonjwa moja kwa moja hivyo daktari au muuguzi ndio makamanda wa mbele kumwambia mgonjwa damu ipo benki lakini inahitajika fedha.

Inaonekana unauzoefu wa kutosha wa kutoa na kupokea rushwa.. inabidi tukutafute na kukuwajibisha. huna tofauti na Mashetani walopewa jina la mafisadi wa nchi hii.
 
Back
Top Bottom