Madaktari acheni upuuzi na kiburi...!!! Fanyeni kazi

Ingekuwa tatizo kusomea tu lile gono ulienda hospital kufanya nini
si ungeenda kwenu wakakupa dawa za kienyeji
 
Mmmih kumbe hata wakati huu ambapo upepo hakuna vichaa wapo. njoo ufanyiwe maombi.
 
haya ni majibu ya blandina kabla mgomo haujashika kasi,lakini leo kawafuata madaktari na kutaka kuongea nao.
mimi naona madaktari hawajaeleweka na kilichobaki ni kuanza mgomo wa kutokula(hunger strike)
ni bora wafe wakitetea huduma bora za afya kuliko................

Huyu Blandina mnamlaumu bure, watu wa kuwalaumu ni wale wanaopanga kipaumbele cha kutumia kodi zetu kuwaongezea posho wale wanaolala usingizi kule Dodoma na kumpa hela zetu Vasco Dagama aende Davos wakati waganga wetu hawajapata stahili yao!! Blandina hana uwezo wa kuongeza posho za wabunge na kuacha kutoa fedha za kuwalipa waganga; put the blame squarely where it is supposed to be and do not look for a scape goat!!
 
Ila alichoongea gango2 kina point kwa namna flan, iweje madaktari watake kupewa mil 3.5? Je wana umuhimu kuliko walimu? Maana walimu ndo wanawafundisha hao madaktar na manesi na wahudumu wengne wa afya, basi nao walipwe mil 7.
katika madai yao,sijasikia madaktari wakidai walipwe vizuri kuliko fani flani au fani zote. walichofanya wameji-value, wakaona huo ndio mshahara na marupurupu wanaotakiwa kupata wao. hawajazungumza wala kupinga fani nyingine nazo zisiongezewe. so ni kazi ya walimu na fani nyingine nao kuji thaminisha then walinganishe wanachopata na wanachostahili kupata.
 
Back
Top Bottom