gango2
JF-Expert Member
- Aug 31, 2011
- 1,941
- 2,251
Mi nashangaa hawa watu wanajifanya taaluma zao ndo muhimu saaaaana kuliko watu wengine!!!!
hakuna kitu kama hicho bana, kila mtu anaweza kusomea udaktari lakini tukifanya hivyo nani atakuwa mwalimu au muhasibu??
kwanza katika secta ya UMMA nyie ndo watu mmanoonga kwa mishahara mikubwa kuliko watu wafanyakazi wangine wote, lakini wengi wenu ni walevi tu!!!
mbona walimu wanapata karibu 1/7 ya mishahara yenu lakini wanafanya kazi kwa moyo??? hebu acheni hizo zenu, nchi masikini hii mkilipwa milion 3.5 hamuoni mtatengeneza gap na wafanyakazi wengine wa umma>>
kuweni wazalendo bana, mi mnanikera sana..!! mnajifanya ndo watu muhimu kuliko wote tanzania!! nyoooooooooo!!!
kama hujalizika na mshahara wa serikarini si uende private!! unajua kuna wajinga wajinga hapo wanawasonga hata wale wenyemoyo wagome,
nchi ya watu masikini hiii bwana lazima wote tusheee umasikini ,,, sio wengine waishi maisha ya juu wengine maisha mabovu, eti daktari apate 3,500,000 mwalimu apate 200,000.
hakuna kitu kama hicho bana, kila mtu anaweza kusomea udaktari lakini tukifanya hivyo nani atakuwa mwalimu au muhasibu??
kwanza katika secta ya UMMA nyie ndo watu mmanoonga kwa mishahara mikubwa kuliko watu wafanyakazi wangine wote, lakini wengi wenu ni walevi tu!!!
mbona walimu wanapata karibu 1/7 ya mishahara yenu lakini wanafanya kazi kwa moyo??? hebu acheni hizo zenu, nchi masikini hii mkilipwa milion 3.5 hamuoni mtatengeneza gap na wafanyakazi wengine wa umma>>
kuweni wazalendo bana, mi mnanikera sana..!! mnajifanya ndo watu muhimu kuliko wote tanzania!! nyoooooooooo!!!
kama hujalizika na mshahara wa serikarini si uende private!! unajua kuna wajinga wajinga hapo wanawasonga hata wale wenyemoyo wagome,
nchi ya watu masikini hiii bwana lazima wote tusheee umasikini ,,, sio wengine waishi maisha ya juu wengine maisha mabovu, eti daktari apate 3,500,000 mwalimu apate 200,000.