Mtanzania haswa
JF-Expert Member
- Oct 31, 2010
- 663
- 100
wana JF tokea mgomo utokee mpaka sasa Dr 37 wameondoka na nilikua naongea na dr mmoja nae passport kaikamata na kutimiza idadi ya 38.
Source: daktari niliyekua naongea nae hapa uhamiaji . Anasema tropical doctors wanahitajika na nchi za kitropical na wao wanapeana habari watazidi kuondoka wengi
Source: daktari niliyekua naongea nae hapa uhamiaji . Anasema tropical doctors wanahitajika na nchi za kitropical na wao wanapeana habari watazidi kuondoka wengi