Madaktari 38 waondoka nchini

Kiukweli katika hili, serikali haiwezi kukwepa lawama. Nafikiria ikiwa raia mmoja au wawili wa kizungu wanapokuwa hijacked, let's say, na pirates. Serikali zao hutumia resources nyingi sana ktk kuhakikisha kuwa mtu/watu wao wanakombolewa wakiwa salama. Sasa nimejaribu kufikiria watu ambao wamepoteza maisha tangu mgomo ulipoanza, hatimaye nimeridhika kuwa hakuna haki chini ya jua.
 
I hate huu msemo unaosema UDAKTARI NI WITO ama UWALIMU NI WITO naomba watu waelewe UDAKTARI NA UWALIMU NI KAZI KAMA KAZI NYINGINE sawa sawa na polisi ama askari magereza, huwo wito ni wa nini kwanini usiseme UNAHODHA/URUBANI WA NDEGE & MELI ni WITO kwani wao hawana roho, hawana familia wanaishi kwa wito ama wanaishi kwa kufanya kazi!!

Kazi nyingine zote ni wito isipokuwa uongozi hapa tz hasa hasa ubunge hapo wito hakuna kabisaaaaa
 
Doctor migration to developed nations costs sub-Saharan Africa billions of dollars

Research: The financial cost of doctors emigrating from sub-Saharan Africa: Human capital analysis

Sub-Saharan African countries that train and invest in their doctors end up losing billions of dollars as the clinicians leave to work in developed nations, finds research published on bmj.com today.
According to the study, South Africa and Zimbabwe have the greatest economic losses in doctors due to emigration, while Australia, Canada, the UK and the US benefit the most from the recruitment of physicians educated in other countries.

The authors, led by Edward Mills, Chair of Global Health at the University of Ottawa, are now calling for destination countries to invest in training and health systems in the source countries.
The migration of health workers from poor countries contributes to weak health systems in low-income countries and is considered a primary threat to achieving the health-related Millennium Development Goals, says the study.

In 2010, the World Health Assembly adopted the first "Code of Practice on the International Recruitment of Health Personnel" that recognises problems associated with doctor migration and calls on wealthy countries to provide financial assistance to source countries affected by health worker losses.

The Code of Practice is particularly important for sub-Saharan Africa as there is a critical shortage of doctors in the region and it has a high prevalence of diseases such as HIV/AIDS.

Mills and colleagues estimated the monetary cost of educating a doctor through primary, secondary and medical school in nine sub-Saharan countries with significant HIV-prevalence. These included Ethiopia, Kenya, Malawi, Nigeria, South Africa, Tanzania, Uganda, Zambia and Zimbabwe.

The research team added the figures together to estimate how much the origin countries paid to train doctors and how much the destination countries saved in employing them.

The authors used publicly available data to access the information including published reports on primary and secondary school spending from UNESCO.

The results show that governments spend between $21,000 (Uganda) to $59,000 (South Africa) to train doctors. The countries included in the study paid around $2 billion US dollars (USD) to train their doctors only to see them migrate to richer countries, say the authors. They add that the benefit to the UK was around $2.7 billion USD and for the United States around $846 million USD.

In an accompanying editorial, Professor James Buchan from Queen Margaret University in Edinburgh, says the study raises important issues about freedom of movement. He questions whether doctors and other health workers should have cost constraints placed on their mobility when other professionals such as engineers escape such restrictions.

Buchan says that while the WHO Code may help name and shame aggressive recruiters, the post recession labour market and changing health systems will also have an impact on doctors leaving developing countries. He says several destination countries are adjusting their projected need for new staff and "the UK, for one, has drastically reduced its level of active international recruitment for most types of health professionals."

Source
 
[h=1]Brain drain of African doctors costs sub-Saharan Africa billions, saved U.S. nearly $900 million[/h]
Mills and colleagues estimated the monetary cost of educating a doctor through primary, secondary and medical school in nine sub-Saharan countries with significant HIV-prevalence. These included Ethiopia, Kenya, Malawi, Nigeria, South Africa, Tanzania, Uganda, Zambia and Zimbabwe.
The results show governments spend between US $21,000 (Uganda) to $59,000 (South Africa) to train each doctor. The countries in the study collectively paid around US $2 billion to train their doctors, only to see them migrate to richer countries, say the authors. They add that the benefit to the United Kingdom was around US $2.7 billion and for the United States around US $846 million.
 
Hapo umenena "udaktari wa binadamu" si wito ni profession.Na kama ulikuwa ni wito tungewaweka kwenye ma-convent kama walivyo wamisionari, au wangekuwa monks waishi kwenye temples na iwe kazi yao ni kutibu kwa sadaka na sio kwa mshahara.
 
hii vita haina mshindi wanaoumia ni watu wengine kabisa kwani ma doctor watatibu watoto wao na viongozi watapeleka watoto INDIA
 
Mhe Pinda tukikimbiwa na madatari wetu hawa kwa madai ya nyongeza-kitumbua ndipo sasa mtakapoanza kuhha kutupeleka sote hadi WaTanzania akina kabwela sisi huku kwenda hospitali ya Appolo India kwenda kutibiwa kwa mamilioni?

Ama kweli mtu hujui thamani ya kitu mpaka siku unapoikosa katika maisha yako ya kila siku. Madaktari wanagombaniwa kila mahali duniani huku wakidai hela kiduchu tu ili kuendeleza uzalendo wa utumishi hapa nchini kwetu tu lakini sisi bado tunawarembulia????????

Hakika siamini kama mwajiri wa madaktari hapo wizarani huwa anachukua japo ka dakika moja tu kuoangania soko la madaktari ilivyochafuka ile mbaya kote duniani.

Laiti wakubw wangeju kwamba trend ya dunia haitupendelei hata kidogo hivi sasa kwa kuwa huko magonjwa yakiongezeka kwa kasi lakini idadi ya uzalishaji wa madaktari na manesi ikienda ikipiga tu dana dana tena ya kukatisha tamaa.

Mpaka hapa halafu eti ndio hata nchi yetu masikini bado inajidengulisha kwa madaktari kwa sababu tu viongozi wetu na familia zao madaktari wao wako nchini India na Afrika Kusini!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!!
 
wana JF tokea mgomo utokee mpaka sasa Dr 37 wameondoka na nilikua naongea na dr mmoja nae passport kaikamata na kutimiza idadi ya 38.

Source: daktari niliyekua naongea nae hapa uhamiaji . Anasema tropical doctors wanahitajika na nchi za kitropical na wao wanapeana habari watazidi kuondoka wengi

Tutegemee wengi zaidi watafuata wenzao kwenda kwenye nchi ambazo serikali zinawajari wataalamu wake. Serikli yetu imeridhika kwamba haihitaji kuona mazingira na vitendea kazi vya madaktari wetu vinarekebishwa kwa kuzingatia maombi ya Madaktari. Na kwa vile wafanya maamuzi wakiugua wanamahali pa kwenda kutibiwa hivyo serikali haioni umhimu wa hao madaktari kuwepo. Siamini na huenda sitakuja kuamini kwamba serikali yetu ipo kwa ajili wa kuwatumikia wananchi waliyoiweka ila ipo kwa sababu ipo. Kubwa linaloonekana na wengi wanalisema ni kwamba serikali yetu ni yakishikaji na hivyo na maamuzi yake ni ya kiushikaji.
 
Mtoto wangu alitaka PCB nikamwamuru PCM......Thanks God I did that

Mkuu ulifanya uchambuzi yakinifu kwanini mwanao alitaka kusoma PCB? Na wewe ulimpa sababu zipi za Kusoma PCM? Maoni yangu kwako mwache mtoto afanye kile kizuri kinachotoka moyoni mwake na atafanya kwa mafanikio ya juu zaidi!
 
Blandina Nyoni, ukatibu Mkuu si nafasi tu ya kujitutumua mbele ya jamii bali ni maamuzi maridhawa ya kuzingatia maslahi ya umma.

Hebu kajifikirie ki-undani zaidi kama bado huduma zako zitakua zinahitajika kwa WaTanzania kwa nafasi hii endapo tutaendelea kukimbiwa na madaktari zaidi kutokana na ubinafsi wenu wa kutojali maslahi ya wale wanaosota chini yenu.

Bure kabisa na wala hamna kitu pale wizarani - waziri wake ndio kabis yuko likizo katika kipindi hiki kigumu kwetu wenye hatari ya kukosa huduma za afya na tusiokua na uwezo kwenda nje ya nchi.
 
waJF jokes aside;

Mwaka jana alone, madaktari zaidi ya 30 waliondoka na cha kusikitisha zaidi wengine ni wale waliokua wamemaliza tu post graduates course muhimu kabisa kwa nchi, vijana na wenye vision... one time nilikutana na three doctors kwenye ndege moja na kila mmoja alisema hatarajii kiurudi hadi hali ibadilike, na nionavyo mimi hakuna changes... kibaya zaidi wanaoondoka ni wale wenye unique talents

we are losing doctors in high numbers and i am worried kama serikali haitachukua uamuzi wa haraka, nchi inaweza kupoteza hata 1000 drs in the next 12 months kwasababu kazi zao zipo kila kona na hasa kwenye hii dunia ya development funds

Wenyewe wanasema wataleta madokta kutoka JWTZ tena mabingwa kuliko waliogoma.
 
Ilani ya CCM imasemaje juu ya utoaji wa huduma za afya?
Na kuhusu masilahi ya watumishi wa Umma je?
 
Nilitoa onyo kami hii siku ya kwanza tu ya mgomo wa madaktari nchini lakini kwa kuwa viongazi wetu serikalini wao madaktari wao wote wako hospitali ya Appolo nchini India, wala tahadhari za sisi umma wa Tanzania kuwepo kwenye hatari ya kukimbiwa na madaktari wetu hawa wala haikuwagusa kitu.

... ama kweli ajizi nyumba ya njaa; daahh, viongozi viumbe vizito wenye kiburi cha kobe kama hawa akina Blandina Nyoni!!!! Hivi huyu KATIBU MKUU WA KWANZA NA WA MWISHO tanzania yetu hii anaondoka lini hapo wizarani?????

Mama kero na mikosi kuliko hata yule shetani wa Arusha Mary Chatanda!!! Hivi ana mume kweli huyu; keroooooooooooooooooooooo!!!!!!!!!!!

Kuna siku hawa wanasiasa wataenda India na kukuta surgeons kule ni wabongo... sijui watarudi nyumbani?? au watatulia kama hawajui
 

Wenyewe wanasema wataleta madokta kutoka JWTZ tena mabingwa kuliko waliogoma.

Mkuu unajua mpuuzi akiongea, dawa yake ni kumpuuza tu.... ina maana hao madokta hawana kazi huko jeshini?? au watafunga hospitali za jeshi ili huduma zitolewe uraiani?
 
Mkuu unajua mpuuzi akiongea, dawa yake ni kumpuuza tu.... ina maana hao madokta hawana kazi huko jeshini?? au watafunga hospitali za jeshi ili huduma zitolewe uraiani?

Wao hawajali, wanafikiri wanawakomoa madokta waliogoma kuwa mmegoma lakini huduma bado zinaendelea na mishahara haiongezeki. Hawajali kuwa sisi walalahoi ndio tunaoumia kuliko wao Mafisadi, hospital zao zipo India
 
Tusifanye mzaha hapa; THIS IS A NATIONAL CRISIS POINT - swala la kukimbiwa na madaktari bingwa hata zaidi ya kumi tu ni ISSUE kubwa mno na nyeti ajabu kwa watu wanaoona mbali.

Tupo katika Tropical Country ambapo magonjwa ni kila kona, kipato hafifu halafu tena lije hili la kukimbiwa na madaktari kwa uzembe wa serikali yetu???????????????????


A MOST URGENT national debate is needed now and today, in the streets if our Parliament remains adamant, on this most delicate issue that touches on the life of our nation.
 
Kama madai yao yakiridhiwa, Dr atapata 7m kwa mwezi ikiwa ni mshahara na allowance na hii itafanya 2/3 ya pesa yote kwa ajiri ya mishahara ya watumishi wa umma iende kwa madaktari. Hii kitu haiwezekani. NUKUU YA WAZIRI PINDA.
 
utashangaa serikali hii ya jakaya kwao ni bora kuajiri kwa mkataba madakari wa nje
kwa malipo makubwa kuliko kuwalipa stahiki zao madaktari wetu na kuwatimizia mahitaji yao
serikalii hii kwao kuingia garama kubwa kwa jambo ambalo lingeepukika.
madaktari wana hali ngumu iweje mtu wa TRA apokee milion sita wkt daktari anaetibu na kutumia mda mwingi alipwe kiduchu
huwezi amini TRA wengi na rushwa zao kwa mwezi wao take home ni milion kumi.wizi mtupu
 
hili jambo la mgomo limekuwa la muda mrefu sasa limeshatuchosha ondokeni ili tujue tunajipangaje maana halipati ufumbuzi acha tufe
 
3 Reactions
Reply
Back
Top Bottom