Madaktari 38 waondoka nchini

hivi hapa najiuliza swali moja, mtu aliyechukua mkopo kusoma alafu akajaribu kudai haki zake Mh. Pinda akamfukuza kazi na akaondoka nchini, ni nani anawajibika kulipa huo mkopo!?


kwa kutumia kanuni ya vicarious responsibility anawajibika Pinda.
 
hii si habari njema hata kidogo

JS, this habari si nzuri lakini ni kweli; last year alone we lost over 20 Drs. to various parts of the world, na kibaya zaidi hata walioondoka kwenda masomoni kwa nia ya kurudi sasa hawana dalili ya kurudi; na kuna wimbi kubwa sana la foreign job search kwa sasa... haiishii kwa drs. tu, kuna wale wenye degree za nursing (they are very valuable) na wafamasia... Kikubwa zaidi ni kwamba watanzania wanakubalika kutokana ha ile humble behaviour

THIS IS SOMETHING
 
Haya ndo matokeo ya kiburi na dharau ya hawa wanaojiita vigogo wa serikali. Hawako tayari kumsikiliza wala kufanya suluhu na mtumishi aliye chini yao. Kwa akili yao wanajua hawezi kuacha kazi kwa sababu atakufa njaa na familia yake. Hawajui kwamba hawa watumishi wanapothaminiwa tu kwa kusikilizwa kero zao na shida zao mbalimbali hata kama huwalipwi mishahara mikubwa, wako tayari kufanya kazi kwa imani kubwa kuliko kuwaona kama wenye njaa tu ambao hawana alternative.
 
Back
Top Bottom