mkuu karume hajaleta wala hajachangia mapinduzi yoyote yale-wakati mapinduz yanafanywa na kina okelo yeye hakuwepo kabsa-soma hapa
Zanzibar Revolution
nashukuru kwenye leaderz simuon karume
mkuu karume hajaleta wala hajachangia mapinduzi yoyote yale-wakati mapinduz yanafanywa na kina okelo yeye hakuwepo kabsa-soma hapa
Zanzibar Revolution
Ukishasema "mtoto akililia wembe mpe" ni kama umeona wewe unajua zaidi kinachoweza kuwadhuru Wazanzibar zaidi yao wenyewe, kama mtoto mdogo asiyejua madhara ya wembe.
Kabla ya Muungano, mbona wembe haukuwakata?
Ukisoma mienendo ya thread za Muungano unaona dhahiri Watanganyika tunalazimisha Muungano.
Hamjalalamika kwa sababu ndio mnaofaidi nchi moja kubwa kuikalia nyengine ndogo.
Wazanzibari watachukua kila hatua kuondokana na adha ya "muungano" huu feki.
[President Nyerere] managed half the work of a python He swallowed Zanzibar all right but he did not crush its fighting force first. The live animal is a long time digesting, and its kicks are being felt hurtfully, and possibly even fatally, deep inside Tanganyikas body politic.
- The Perils of Nyerere in The Economist of June 1964
unataka kusema hata mama Fatma Karume ameudanganya umma kwa miaka yote hii anaposema mumewe hayati mzee Karume ndiye aliyesimamia na kuongoza mapinduzi??
Vijana wa kizanzbar nyie ndio wengi mpo hapa na inaonyesha kua hamuupend muungano,anzishen makongamano muwahamasishe na wenzenu ili saut zenu zisiikike,tatizo hamtaki kwenda shuleee,wengi wenu atleast mkija bara ndio mnaambulia shule,maana hata mkipga kelele hapa haisaidii,
mimi ni mwalimu na nawafundisha watoto kutoka visiwani,wengi ni dead wood kama si slow learners,so kwanza vijana muwende darasan kisha anzshen harakat za kudai nchi yenu
Sio kila upande unaona mwenzake hafai! Tanzania Bara hakuna vipeprushi vya kususia sherehe na pia hawajawahi kupeleka kesi yoyote mahakamani dhidi ya Muungano kama walivyofanya Wazanzibari!
Haaa haaaa! Zanzibar iliyokuwa na kiti UN haikuwa ile ya Sultani wandugu? Mapinduzi tr 12/01/1964, Muungano tr 26/04/1964 baada ya kuhofia kurudi kwa Sultani, kwa hiyo ulikuwa ni muda mfupi kwa Zanzibar kufanya hayo yote!
Miaka 47 ndio wanadai hawataki kusherehekea Muungano! Kaaaazi kweli kweli!
Si kweli kwamba Wazanzibari hawapendi ushehe wa mtu, ndio maana chokochoko za Muungano huwa zinaanzia misikitini!
Ulishasikia mvamizi akalalamika?
Namwona Maalim Seif amehudhuria Sherehe za Muungano, Live TBC1, safi sana Hamadi!
Kwako wewe Zanzibar mikutano yote inafanywa msikitini? Una maana kuwa Samweli Sitta alisilimishwa na kuingia msikitini ili kuendesha mkutano wa Katiba?
Muungano bado upo na kama tunavyoiona Katiba kuwa ni mbovu huku tukiendelea kuitumia basi hali ni sawa na hili la Muungano!
Hakuna Mzanzibari aliyelazimishwa Muungano, naona hata kwenye Sherehe Wazenj wapenda Muungano wametulia tele kuufurahia Muungano! Kusema eti wanalazimishwa ni kuwadhalilisha Wazanzibari kama vile ni watu wanaopelekwa pelekwa tu!
Kuna kila sababu ya kukaaa na kujadili MUUNGANO, na si kudanganyadanganya watu kwa kufanya miafaka na mashirikisho ya kipuuzi ya vyama fulani VIWILI TU, ili kuwasahaulisha watu kwa muda!..hizi ni mbinu za kishetani ambazo tayari wazanzibar washazishitukia, na sasa wameona muafaka ni kusimamia jambo hili kwa matendo ya kushitua kidogo!
Mwisho wa kwepakwepa umefika, Hati za Muungano ziwekwe hadharani, ili ijulikane articles zilikuwa zinasemaje, na je bado zina mashiko kwa karne hii?
Mgonjwa wa Malaria haponi kwa Diclopar!
Nafikiri tusioshauriwa huu Muungano ni wengi kuliko hao unaowasema wewe! Ukweli ni kuwa iwapo hata viongozi wa juu wa Zanzibar wanaposema kuwa hawaridhiki na Muungano huo ni ushahidi tosha huko kupelekeshwa kumewatosha!
Hilo halitasaidia kwani Zanzibar imejaa wanaofaidi na kuutaka "muungano" kutoka Dar na Tanga walioletwa kwa maksudi. ikijuulikana Wazanzibari wengi hawashughulikii
Kwa Wazanzibari wengi, hii ni siku ya huzuni, siku walipopokwa nchi yao waipendayo.
Kwa Wazanzibari wengi, hakuna cha kusherehekea.