TIMING
JF-Expert Member
- Apr 12, 2008
- 24,891
- 11,288
uvivu wa fikra ni mbaya sanaNilimsikiliza siku hiyo Dr wangu ambaye mara zote nimekuwa niki-muadmire, lakini siku ile kidogo nilipata wasiwasi naye kutokana na aliyokuwa anayatamka. Nillishangaa kwa nini anaupigia debe saana muungano wa Bara na visiwani??? Kuna namna hapa, asije kuwa jamaa keshavalishwa Gamba!