Otorong'ong'o
JF-Expert Member
- Aug 17, 2011
- 38,907
- 28,079
Hakuna dawa inayotibu kirusi cha aina yoyote hata Flu(virus was mafua)
Ukiwa mfuatiliaji wa mambo raha sana huwezi kudanganywa kirahisi. Ukweli ni kwamba takwimu za corona za Madagascar wala sio za ajabu kuna nchi nyingine nyingi sana zina takwimu nzuri zaidi hakuna vifo na kesi haziongezeki. Hivyo yawezekana dawa sio sababu kubwa bali mambo mengine.Ni Sikh kadhaa sasa Madagascar wametangaza dawa inayotibu na kuzuia maambukizi ya corona. Tukumbuke kuwa nchi hio haina kifo chochote. Tangia wagundue hio dawa hakuna visa vilivyogundulika vipya. Dawa hio imegunduliwa na dakatri Wa kiafrica kabisa mzaliwa Wa Congo. Mpaka sasa Senagal, Guinnea, Ghana zimeshaanza kuweka order. Ila nchi zingine za kiafrica kimya. Ina maana sisi Wa Africa hatuaminiani? Madagascar atatengeneza historia. Namuasa Dr John Pombe Magufuli aweke order. Naamini hio dawa ni tiba.
Sent using Jamii Forums mobile app
Hahah sijui tuna viongozi wa aina gani?.week ya Nyungu( Chungu?) Tanzania
Wanafaa wakupigia picha na kuwa Wageni rasmiHahah sijui tuna viongozi wa aina gani?.
Sometimes najihisi kama tujiongoze wenyewe maana kama viongozi wenyewe ni hawa popoma ambao hata akili tunawashinda sasa wao wa kazi gani?
Sent using Jamii Forums mobile app
week ya Nyungu( Chungu?) Tanzania
Kwa Hisani ya Mzaramo wa Kisarawemkuu umetisha sana 🤣 🤣
Mbona limbwata,shuntama,kipapai,zongo nk zinafanya kazi na hazijasubiri kibali cha uhakiki toka WHO waafrica tuache uzembe turudi EdenTusiwapuuze Madagascar sana hoja ya msingi sana tofauti ya Madagascar na Rwanda ni kwamba Rwanda hawajatangaza siri wanayoitumiakuwaponyesha wagonjwa
Tukihoji ubora wa Tetradenia riparia tuhoji pia Artemisia plant inayotibu malaria
Tuhoji pia Remdisir ya Ebola
Tusiwapuuze Madagascar sana hoja ya msingi sana tofauti ya Madagascar na Rwanda ni kwamba Rwanda hawajatangaza siri wanayoitumiakuwaponyesha wagonjwa
Tukihoji ubora wa Tetradenia riparia tuhoji pia Artemisia plant inayotibu malaria
Tuhoji pia Remdisir ya Ebola
Wewe in maiti na ndugu zako wote wameoza kaburini woteAisee!!...tunapukutika
Kuwa mpole acha lugha kaliWewe in maiti na ndugu zako wote wameoza kaburini wote
Umejibu swali ambalo hujaulizwa wewe!Update km hizo ndo za kweli