Madagascar wapata dawa ya asili ya Corona

Madagascar wapata dawa ya asili ya Corona

Tetradenia riparia ina majina mengi ya kitanzania!

1. IYOOMBO -kwa kichagga
2. IKINGI - kwa Kibosho
3. OMUSHUNSHU -kwa kihaya
4....................
kwani ni kitu gani?
nimescroll nione hata picha nakutana na stress tu!
 
kwani ni kitu gani?
nimescroll nione hata picha nakutana na stress tu!
IMG-20200504-WA0000[1].jpg

Lakuambia changanya na zako!
 
Tetradenia riparia ina majina mengi ya kitanzania!

1. IYOOMBO -kwa kichagga
2. IKINGI - kwa Kibosho
3. OMUSHUNSHU -kwa kihaya
4....................
Mlavumba - kwa kiha (kigoma) dawa ya siku nyingi sana hii, wataalamu wetu wa Africa waendeleze walipoishia Madagascar tutapata kitu kizuri

Naamini kwa kutumia hizi dawa zetu tunaweza kupata dawa Bora kabisa tatizo wanaojiita wataalamu wamekariri vitabu vya wazungu hawataki kujiongeza

Inashangaza eti hata taasisi ya Afya Madagascar wanatilia mashaka hiyo dawa badala ya kuingia chimbo kuifanyia maboresho pale panapotia mashaka kwa kuongeza vikolombwezo vingine

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Kwahiyo sasa hivi ule Uwongo wenu wa Kujifukizia ( Nyungu ) mmeuweka Kando na Ngonjera zenu zimehamia Madagascar?

Hizi ni Robot mkuu hata zikiambiwa Mavi yanatibu zitakuja kuimba ngonjera za kusifu.
 
Aise mpuuzeni mtoa maada. Tetradenia Riparia ni dawa ya malaria na sio corona . 0Rais wa madagascar awewatangazia wapagani dawa ya Artemisa au Wormwood au Pakanga watu wasio heshimu vitabu biblia wanywe mitishamba .pia puuza uganga wa jadi. Hakika sitakuwa Pakanga
 
Back
Top Bottom