Madada Wenzangu wa JF Vipi?

Madada Wenzangu wa JF Vipi?

ngoja na mimi niwavizie usiku tuone kama kweli hawalali!
 
mmmh.....ndoto zingine kama nguvu za giza ati!! Nenda continental kwanza ukamuone AshaDii ametinga pensi nyanya huku mfukoni kajaza viloba vya ubuyu!! Lol!
heheeh dah! huyu ndo kipipi bana! wengi wanasema alizaliwa sept/11
 
ha ha ha happy new year shem,
hiyo kesi ina maslahi na mimi? client ni mwanamke?
Naomba nijibu kwa ufasaha shem
Haha Shem bwan , Client ni Mwanaume ila mtuhumiwa ni mwanamke!! Mwanamke anataka kutoa talaka mwanaume (ambaye atakuwa client wako) hataki kuipokea!!
 
Haha Shem bwan , Client ni Mwanaume ila mtuhumiwa ni mwanamke!! Mwanamke anataka kutoa talaka mwanaume (ambaye atakuwa client wako) hataki kuipokea!!

Huyo mwanaume anatakiwa atoe talaka haraka sana kabla lawyer sijakasirika. Halaf mwanamke aniPM ili nimpatie ushauri wa kuanza maisha mapya ya utalaka na kuepuka vishawishi.
Halaf huyu mtuhumiwa nishamjua lakini acha niuchune tu.
 
Najua nimeianzisha hii topic nitaogelea matusi kutoka kwa wadada mpaka basi, lakini kwangu haijalishi mtasema, mtaponda kimpango wenu.

Nawauliza wenzangu mnandoa, mnamajukumu? Usiku kucha kila topic ukiangalia saa 7 au 8 mpo tu wenzangu! Maana hata muda wa kushughulika na kazi nyie mko hewani tu, sijui hata hao mashemeji mnawapa haki yao saa ngapi?
Au wenzangu muda huo mnakuwa mko ofisini sasa wakati mnasubiria ******** mnazuga kwenye Internet??

Punguzeni basi, najua mtasema nimewatusi, kama limekugusa badilika. Naomba msamaha.

Eliza wa tegeta kwani alibadirisha lini ID?
 
Habari wana JF.
Jina langu ni Clemmy,....kama majina marefu haya kuchoshi basi niite Clement.
Ni mwana JF mdogo kuliko wote,usiulize nimejuaje.

2012,dunia yako chaguo ni lako.
Chagua kukesha JF upate unacho taka,au chagua kuingia JF na kutoka haraka
kama kufanya hivyo kunakupa amani ya moyo.

Lakini kumbuka,Kila mtu ana masaa 24 kwa siku moja.
Uyatumie,usiyatumie yakipita hayarudi tena.
 
Najua nimeianzisha hii topic nitaogelea matusi kutoka kwa wadada mpaka basi, lakini kwangu haijalishi mtasema, mtaponda kimpango wenu.

Nawauliza wenzangu mnandoa, mnamajukumu? Usiku kucha kila topic ukiangalia saa 7 au 8 mpo tu wenzangu! Maana hata muda wa kushughulika na kazi nyie mko hewani tu, sijui hata hao mashemeji mnawapa haki yao saa ngapi?
Au wenzangu muda huo mnakuwa mko ofisini sasa wakati mnasubiria ******** mnazuga kwenye Internet??

Punguzeni basi, najua mtasema nimewatusi, kama limekugusa badilika. Naomba msamaha.

Hayo ni matokeo ya mzunguko wa dunia. Wakati jibaba lako linajivinjari nawe hiyo saa 7 baada ya kutoka baa wengine ni mijibaba yao bado iko njiani au iko baa kwani pengine juwa ndio kwanza linazama.
 
Back
Top Bottom