Freema Agyeman
JF-Expert Member
- Mar 3, 2011
- 3,666
- 3,532
Madada wenzangu wa JF vipi??? Lol.....that's what is up Freema!!
sometimes dont take JF too serious to cross that line, you know it better.
Madada wenzangu wa JF vipi??? Lol.....that's what is up Freema!!
EMT, hawa hawajajiunga jana wala nini! !Ni watu tu wamekosa attention,kinawakera wenzao kupendwa na kina Babu ODM na kupewa attention basi waenda jifungulia ID mpya na kuja kuleta upupu wao....na watawashwa sana mpaka waingiziwe mabomba kwenye **** na ****** ndo wapate unafuu.....!!
Halaf kipipi nilikuota unanipigisha mswaki. hakyanani sitaniiTablet huyooo....! Mfundishe kuflirt yawezekana 'no kampani'...lol!!
Mbona posa yangu hamkuipokea? naloga mtuNatoka kidogo,nitarudi!
sometimes dont take JF too serious to cross that line, you know it better.
Hiyo ni ya kukaa na si kwenye daladala,asilete masikhara!
Hahah khaa... Na kupendwa na ODM ni bahati manake unakuwa umepata uhakika wa kwenda peponi siku uki-RIP. Wenye wivu wameze viwembe vyenye kutu...... AshaDii shem langu la ukweli hapo juu, hebu come this way nikupe ile haki yako fasta.EMT, hawa hawajajiunga jana wala nini! !Ni watu tu wamekosa attention,kinawakera wenzao kupendwa na kina Babu ODM na kupewa attention basi waenda jifungulia ID mpya na kuja kuleta upupu wao....na watawashwa sana mpaka waingiziwe mabomba kwenye **** na ****** ndo wapate unafuu.....!!
C'mon Lizzy.... Be a good girl. Umebaki wewe tu ujue. Wote wamenitosa.
Hahahaha. . . atakua amekusikia dearest.
Fellow tablet nipe hongera, Lizzy ana ujauzito wangu. ushahidi zaidi akijifungua nitampeleka DNA asje akaniuzia mimba ya figganigga. Mia
Ndo ukweli wenyewe....will be back to deal with this!
hivi wewe skudai kweli? fanya haraka sana nina nusu saa tu kabla press conference yangu ya kufafanua "athari za viwembe kwa unyoaji wa sehemu laini" haijaanza
Kloro. . . kama kawaida yako huwezi kunyamaza. Sasa unamwambia ili?
Missed you though.
Kheri ya mwaka mpya.
kwavile sredi inaruhusu kusalimiana naomba nikusalimie kipenzi FA
Hunidai, mimi ndo nakudai.
Habari njema fellow tablet. Breaking news ni kuwa Michelle amekubali ule mpango wetu. Mimba ya Husninyo nimembinafsishia Kaizer. BTW ushamwona ADI akiwa katinga pensi nyanya? Njoo continental leo kwenye khanga moko. Achana na Kaizer bana....Fellow tablet nipe hongera, Lizzy ana ujauzito wangu. ushahidi zaidi akijifungua nitampeleka DNA asje akaniuzia mimba ya figganigga. Mia
Heri ya mwaka mpya,You were missed, big. Asante kunitia macho nuru na heri ya mwaka mpya
heheeh nitatia timu aisee, niliwahi kumuona husninyo kalamba kitop cha mgambo na bukta oversize nazani kaazima kwa sweetlady, manake sweetlady akipanda daladala anadaiwa nauli ya mtu mbiliHabari njema fellow tablet. Breaking news ni kuwa Michelle amekubali ule mpango wetu. Mimba ya Husninyo nimembinafsishia Kaizer. BTW ushamwona ADI akiwa katinga pensi nyanya? Njoo continental leo kwenye khanga moko. Achana na Kaizer bana....
Ohhh ahsante laaziz.heri ya mwaka mpya iangaze kwako nje na ndani, pembeni na katikati, usoni na kifuani. Aaaaamen!
U r double missed here, naomba listi ya waliokutongoza haraka iwezekanavyo nianze kuwashuhulikia
heheeh njoo nikulipe haraka sana