Madada wa dar na madera/vijora vya chui chui

Madada wa dar na madera/vijora vya chui chui

Kuna miaka fulani tajiri fulani na mgonjwa wa ... alikuwa akishawalamba na kuhakikisha amewapa anawapa na zawadi ya kitambaa cha chui chui.Watoto mkalale
Kwaiyo unataka kusema hawa wanaovaa vijora vya chui ndio wanashona vile vitambaa walivyopewa na mzee?
 
[emoji16][emoji16] kama vinawapendeza acha wavae tu….NB. Sio mke wangu mtarajiwa nitamkata masikio…
 
Ukienda mjini unakuwa upo kama mbuga za wanyana kuna fisi duma na chui kina dada hii imeshakuwa sare ya jiji sijui mana hukuji mademu micharuko saa mbovu lazima utakuta wana hii sare

Kama demu wako hana dela la chui chui muoe haraka sana ni Wife material huyo hakuna mcharuko usio na hii sare hapa mjini [emoji1787] View attachment 2241411
Ushapigwa tukio
Unasambaza makasiriko
 
Ukienda mjini unakuwa upo kama mbuga za wanyana kuna fisi duma na chui kina dada hii imeshakuwa sare ya jiji sijui mana hukuji mademu micharuko saa mbovu lazima utakuta wana hii sare

Kama demu wako hana dela la chui chui muoe haraka sana ni Wife material huyo hakuna mcharuko usio na hii sare hapa mjini [emoji1787] View attachment 2241411
Mbona wanapendeza tu.Shida iko wapi.Kwani wewe ulitaka wavae nini mbona hamna shukrani nyie,wakivaa vusuruali,kelele,wakivaa hivi kelele ahhh waacheni.Endeleeni na mambo yenu.
 
Wenye hivo videra ukiwainamisha unakuta njia zote zimezinduliwa
 
Back
Top Bottom