Mgm-
JF-Expert Member
- Aug 15, 2019
- 6,034
- 8,703
Dodoma kuna wavaa vijora kweli? Hebu muulize vzurKuna mtu aliniomba nimnunulie mengi ya biashara nikamtumia huko dodoma ila sikuvutiwa nayo ila hii thread imenifanya nifikiri mara mbili
Dodoma kuna wavaa vijora kweli? Hebu muulize vzurKuna mtu aliniomba nimnunulie mengi ya biashara nikamtumia huko dodoma ila sikuvutiwa nayo ila hii thread imenifanya nifikiri mara mbili
Micharuko micharuko wote wana hii sare mkuu sijasema woteInamaana umewaona wadada na wamama wote wa dar almost 3mi
USSR
Mbona haina sura au kwa vile unamjua basi unatutambia ati na wewe unamjua kujikweza bana huyo humpati sasa kwa taarifa yako.DUWANZI KATIKA UBORA WAKO.
Wewe paka hiyo picha ya kitu yangu namfukuzia sana Hellen Touches pale kijitonyama unamdhalilisha kiboya? bwege...
[emoji16] Kama ww kuku wa kienyeji chukua tuu [emoji16]hiki kijora sijui imekuaje kimenipita [emoji3][emoji3][emoji3][emoji3]
Sema imekuw sare ya mjiniNa Vinawapendeza sanaaa
Unajisikiaje ukivaa unakutana na wengine kibao wamevaa [emoji3]Mie ninacho mwayaaa, kinigne cha mpauko pia. [emoji6][emoji6][emoji6][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
Unacho??Kitamu hasa
Alafu awe na trako sasaWavaa dera na vijora wengi wao hawavai pichu kwa ndani ,wakibananishwa tu kwenye ukuta na kuinamishwa kitu mwake
Hadi wadada wa jf na nyie mnakizimikia kijora cha chuiKijora cha chui chui kizuri kweli
Aisee munakivalia na pichu lakini?wivu tu
tuachie kijora chetu, mfyuuuu
wenyewe kinatupendeza balaa
Nunua kitakufaa hata kama huna kalioKuna mtu aliniomba nimnunulie mengi ya biashara nikamtumia huko dodoma ila sikuvutiwa nayo ila hii thread imenifanya nifikiri mara mbili
Najisikia poaaa, ni vizuri mnooo.Unajisikiaje ukivaa unakutana na wengine kibao wamevaa [emoji3]
Uniform [emoji28]Najisikia poaaa, ni vizuri mnooo.
Hahhahhahahah asanteNa kibegi kidogo kina mishikio mirefu
nishampigia dada anaekopesha anileteee[emoji16] Kama ww kuku wa kienyeji chukua tuu [emoji16]
me pia nilikua nikienda kariakoo nayaangalia tu 😀😀😀ila itabidi niwe naloKuna mtu aliniomba nimnunulie mengi ya biashara nikamtumia huko dodoma ila sikuvutiwa nayo ila hii thread imenifanya nifikiri mara mbili
tayari nimeagizaAcha tu kikupite maana hiyo avatar yako hapo juu inanitosha hasa hiko kitumbua