Madada wa dar na madera/vijora vya chui chui

Madada wa dar na madera/vijora vya chui chui

Sasa ulitaka wavae nini?
Mbona huwa yanawatoa. Tena ukikuta shape IPO na nyonyo kaziboost nyuma counterweight inasoma mbona hautakumbuka hii thread yako.
 
Kuna mtu aliniomba nimnunulie mengi ya biashara nikamtumia huko dodoma ila sikuvutiwa nayo ila hii thread imenifanya nifikiri mara mbili
hahaa mimi sikuwa kukiwazia lakini ni kama sare ya mji nifanye nijipatie changu na mm
 
hahaa mimi sikuwa kukiwazia lakini ni kama sare ya mji nifanye nijipatie changu na mm
Hahahaa yan hata mimi tena naona bora hii chui chui halisi kuna blue, njano pink na rangi zingin aliziitaji lkn hata wakti wa kuzinunua hazikunivitia kabisa
 
Hahahaa yan hata mimi tena naona bora hii chui chui halisi kuna blue, njano pink na rangi zingin aliziitaji lkn hata wakti wa kuzinunua hazikunivitia kabisa
kuna hio njano pia nimeielewa japo sjaona watu wengi kuvaa zaidi ya chui hii ntakitata kwa kweli
 
Ukienda mjini unakuwa upo kama mbuga za wanyana kuna fisi duma na chui kina dada hii imeshakuwa sare ya jiji sijui mana hukuji mademu micharuko saa mbovu lazima utakuta wana hii sare

Kama demu wako hana dela la chui chui muoe haraka sana ni Wife material huyo hakuna mcharuko usio na hii sare hapa mjini [emoji1787] View attachment 2241411
Kuna miaka fulani tajiri fulani na mgonjwa wa ... alikuwa akishawalamba na kuhakikisha amewapa anawapa na zawadi ya kitambaa cha chui chui.Watoto mkalale
 
Back
Top Bottom