Madada wa dar na madera/vijora vya chui chui

Madada wa dar na madera/vijora vya chui chui

Bani Israel

JF-Expert Member
Joined
May 27, 2016
Posts
2,214
Reaction score
4,412
Ukienda mjini unakuwa upo kama mbuga za wanyana kuna fisi duma na chui kina dada hii imeshakuwa sare ya jiji sijui mana hukuji mademu micharuko saa mbovu lazima utakuta wana hii sare

Kama demu wako hana dela la chui chui muoe haraka sana ni Wife material huyo hakuna mcharuko usio na hii sare hapa mjini [emoji1787]
FB_IMG_1653680116234.jpeg
 
hiki kijora sijui imekuaje kimenipita 😀😀😀😀
Kuna mtu aliniomba nimnunulie mengi ya biashara nikamtumia huko dodoma ila sikuvutiwa nayo ila hii thread imenifanya nifikiri mara mbili
 
Back
Top Bottom