Mada yenye ukakasi: Wanawake wenye kinyama njia ya haja kubwa

duuh
Kuna ukweli 89% niliyekuwa naye alikuwa nacho alikuwa na nyota ya pesa,ila alikuwa ameachana na wanaume kadhaa baadaye hata na mimi mwenyewe tukaachana,niliyenaye Sasa hivi naye anacho na kazalishwa na wanaume watatu nje ya ndoa nikibahatika kutia mimba Mimi nitakuwa mzazi mwenziwe wa nne

Sent using Jamii Forums mobile app
duuuh jamaa una zali la kukutana na hiyo sample
 
Kwa uzoefu nilioupata katika pitapita.....(usiniulize wapi)
Nilijifunza aina tatu ya vitu visivyo vya kawaida ambavyo hitokea/huwepo kwenye njia ya haja kubwa.

1: Bawasir, hii hutokea kwa ke na me kwenye njia ya haja kubwa na hutokea kama sehem ya ndani ya kinyeo inataka kutoka nje. Na nimeshuhudia ikitibiwa kwa kufanyiwa upasuaji wa kawaida.

2: Warts, hivi ni vinyama vidogo ambavyo vinamuonekano wa kuchongoka. Hivi hiota hasa kwenye sura, mikononi, miguuni, pembeni ya haja kubwa na pembeni ya uke. Hii inasemekana ikiwa pimbeni ya uke na ukajifungua mtoto kisha kikamgusa, huyo mtoto lazima akufe. Warts najua na nimeshuhudia ikitibiwa kwa kupakaa utomvu wa mti flani hata huisha kabisa.

3: Kimkia ambacho anakizungumzia mleta mada ni, kina muonekano kama kinyama chembene kilicho ishilizia kwa umbo la mchongoko. Kina muonekano laini sana kama kingozi kilicho tokezea kutoka ndani ya sehem ya haja kubwa, ingawa niliwahi kupenkenyua sehem na nikaona kimeungana na sehem ya mwisho wa mlango wa kinyeo. Hiki kinyama kimekaa kama salio ama mabaki ya haja kubwa kana kwamba hapaja safishwa sawaia.
Kinaponaje mkuu? Au mpaka operation?
 
Mkuu Mshana jr, ni lazima tukuulize, japo umejiwekea ulinzi mapema na kuuliza si ujinga, kuuliza ni kutaka kujua.

Hicho kinyama kitaalamu kinaitwaje??-- je haiwezi kukatwa kwa njia ya operation??

Je, umejuaje kwamba wanawake wenye hilo tatizo wanayo nuksi katika ndoa??

Je hakuna Wanaume wenye hiyo nyama huko mahala??-- kama kipo kwa wanawake tu je ni kwa nini??
Dah picha nilikuja kuweka baadae.. Kitaalam sijui jina lake... Nimetoa mifano halisi na wadau wengine pia.. Kuhusu wanaume kuwa nacho sijawahi kufanya huu utafiti

Jr
 
kwana ni uongo kuwa hiki kinyama kipo kwa wanawake tu,wanaune pia wanacho na kakina uhusiano wowote ule na kufirana.huu ni ugonjwa kama magonjwa mengine yoyote yale na huwa unatibiwa vizuri tu
Hiki kinyama ni tofauti na bawasiri kipo lakini hakiumi

Jr
 
Kwa uzoefu nilioupata katika pitapita.....(usiniulize wapi)
Nilijifunza aina tatu ya vitu visivyo vya kawaida ambavyo hitokea/huwepo kwenye njia ya haja kubwa.

1: Bawasir, hii hutokea kwa ke na me kwenye njia ya haja kubwa na hutokea kama sehem ya ndani ya kinyeo inataka kutoka nje. Na nimeshuhudia ikitibiwa kwa kufanyiwa upasuaji wa kawaida.

2: Warts, hivi ni vinyama vidogo ambavyo vinamuonekano wa kuchongoka. Hivi hiota hasa kwenye sura, mikononi, miguuni, pembeni ya haja kubwa na pembeni ya uke. Hii inasemekana ikiwa pimbeni ya uke na ukajifungua mtoto kisha kikamgusa, huyo mtoto lazima akufe. Warts najua na nimeshuhudia ikitibiwa kwa kupakaa utomvu wa mti flani hata huisha kabisa.

3: Kimkia ambacho anakizungumzia mleta mada ni, kina muonekano kama kinyama chembene kilicho ishilizia kwa umbo la mchongoko. Kina muonekano laini sana kama kingozi kilicho tokezea kutoka ndani ya sehem ya haja kubwa, ingawa niliwahi kupenkenyua sehem na nikaona kimeungana na sehem ya mwisho wa mlango wa kinyeo. Hiki kinyama kimekaa kama salio ama mabaki ya haja kubwa kana kwamba hapaja safishwa sawaia.
Jamani niutovu gani huo maana nahis ninacho pia
 
Back
Top Bottom