hearly
JF-Expert Member
- Jun 19, 2014
- 45,622
- 63,117
duuh
duuuh jamaa una zali la kukutana na hiyo sampleKuna ukweli 89% niliyekuwa naye alikuwa nacho alikuwa na nyota ya pesa,ila alikuwa ameachana na wanaume kadhaa baadaye hata na mimi mwenyewe tukaachana,niliyenaye Sasa hivi naye anacho na kazalishwa na wanaume watatu nje ya ndoa nikibahatika kutia mimba Mimi nitakuwa mzazi mwenziwe wa nne
Sent using Jamii Forums mobile app