Mada ya wanyama

WANYAMA NA TABIA ZA BINADAMU


1. PUNDA: anaposema "Siendi" haendi hata umpige na gogo la mbuyu. kuna watu ambao waking'ang'ania wazo moja hata aambiwe ukweli aje, habadilishi wazo lake.
PUNDA


2: SIMBA: Huyu ni mgomvi" watu wenye tabia za simba wapo tayari kupigana kwa vyovyote vile na yeyote yule anayeingilia mipango ama matakwa yao.


nachoende
















8: MBUNI: Huona kila kitu kipo sawa wakati wote, hawafikiri kama kuna tatizo kamwe. Wapo watu wenye tabia kama za Mbuni, mara nyingi huinamisha kichwa chake kwenye mchanga, hukataa kabisa kukubali kama kuna matatizo.
Anapumuaje alificha kichwa mchangani?
 
giphy.gif
 
Avideo of a snake attempting to eat itself has emerged online, with the cannibal reptile managing to swallow almost half of its own body before being rescued.

In a Facebook Live video, Jesse Rothacker, from the Forgotten Friend Reptile Sanctuary in Pennsylvania, is seen trying to free the kingsnake from its own jaws. However, the animal resists his attempts as it tries to eat even more of its own body.

Kingsnakes are nonvenomous, opportunistic predators that normally kill their prey by constriction. They are known to eat other snakes—including venomous rattlesnakes—and sometimes mistake their own tails for food. Normally, they take a bite then realize their error.
Katendwa na jinsia KE, ameona ni bora akatishe maisha...
 
WAJUE WANYAMA KWA SIFA ZAO ZA KIPEKEE.

1. Nyangumi.
Huyu ndio mnyama mkubwa kuliko wanyama wote, ukimuweka katika kiwanja cha mpira wa miguu, hubakiza mita chache ili kufikia nusu ya kiwanja hicho, mbali na ukubwa huo lakini ni mnyama mwenye macho madogo sana, ila sehemu za siri noma sana dume huwa na uume wenye futi 12.

2. Twiga.
Huyu ndiye mnyama mrefu kwenda juu kuliko wanyama wote unaowafahamu, anapenda amani, ni mpole lakini hapendi mizaha, miguu yake ndio silaha pindi anapovamiwa na hilo teke usiombe.

3. Kozi
Huyu ndiye kiumbe mwenye uwezo wa kukimbia kuliko mnyama yoyote, ni ndege mwenye ufanano sana na tai, ukimshitua akakimbia kama upo Dar es salaam usiendelee kumtafuta dar, wapigie ndugu zako moro kuuliza kama ametua huko au lah.

4. Nyegere.
Ndio anavunja rekodi kwa wivu alishawashangaza watalii hapo Serengeti baada ya jike wake kujikwaa, alichimba shimo refu kidogo kuhakiki kama ile ilikuwa ni ajali kweli, au kuna faulo alitaka kuchezewa kwa bae wake.

5. Kobe
Ndiye mnyama anayeishi miaka mingi duniani, pengine kuliko wanyama wengine wote hufikia miaka hadi 350, kwa Tanzania tunao wenye miaka 200+, kama nakuona raha za dunia zinavyokufanya utamani kuwa Kobe.

6. Kicheche.
Ndiye mnyama anayependa ngono kuliko kiumbe yoyote, wanapokutana jinsia tofauti kabla ya salamu huanza kusasambua kwanza, yaani hawa katika jamii zao hata msibani hukutana kwa mapenzi pia, inakadiriwa kwa siku ili walale usingizini mwororo auheni wapitiane mara 60 na zaidi ! Na ndio sababu hata mtu akiwa kiwembe huitwa kicheche.

7. Konokono.
Ndio kiumbe anayesafiri taratibu sana na hii ni kwa sababu hujitengenezea njia ya kupita kwanza ndipo apite.

8. Tai
Ndio kiumbe mkorofi kupita kiasi ni kawaida kunyang'anya watalii chakula, ni kawaida kusumbua ndege wenzie wanapoatamia, kupigana nk ili mradi fujo.

9. Nyati
Mnyama mwenye hasira na kisasi kuliko wanyama wengine wote, simba wanamwelewa vyema sana huyu kiumbe, wakithubutu kuua mtoto wake na wao huenda kukanyaga watoto wake vile vile au vipi bwana jicho kwa jicho, jino kwa jino tuone sasa.

10. Kipepeo.
Ndiye kiumbe mpenda amani pasina mfano, ukipita msituni umenuna usitegemee watakusogelea, ila mkipita na mwenza wako, mnacheka mna furaha, ahaa utashangaa wanawapamba !

11. Simba.
Pengine sababu ya kuitwa Mfalme ni ubabe, Dume la simba ndio mnyama pekee anayejijua kwamba anaogopwa na hata majike wake wanapopata dhahama, akipata taarifa hujitokeza mara moja na ukiona madume yameongozana mawili basi jua huo mziki mwamuzi ni Mungu.

12. Mbu
Ndio kiumbe aliyeweza kuua binadamu wengi sana kuliko mnyama yoyote yule unayemfahamu wewe, utapokaona tafadhari Katie kitasa.

13. Komba
Ndiye mnyama mlevi kuliko wanyama wote na akilewa hulia pasina sababu ya msingi, hata ukibahatika kumuona sura yake imekaa kilevi levi, hupendelea pombe za kienyeji kuliko bia, we watege kwa mnazi au ulanzi sio misosi hapo utawapata.

14. Popo
Pamoja kwamba mchoro wake hupendeza sana katika michoro, ila ni miongoni mwa viumbe wenye sura mbaya sana kuliko wengine wote.

15. Tembo
Ndiye mnyama mwenye uwezo wa kuhifadhi sana kumbukumbu katika kichwa chake, kama ulipojenga walihawi kupita tegemea kuna siku watakuwa wageni wako, wakati tunakazana kusema tembo wamevamia sehemu fulani tukae tukijua maeneo hayo wana historia nayo, sasa siku mpige jiwe mkutane baada ya miaka kumi ndio utajua ule mkonga ni bakora au pua.

16. Pomboo
Ndiye mnyama mwenye huruma sana kiasi kwamba akikuona una tatizo, huacha mambo yake na kutaka kukusaidia
Itaendelea...
Hii nimeipenda sana...
 
Omary Mohammed, Hamza Rajab na Mussa Juma wamekamatwa baada ya kukutwa wakimchuna mbwa ngozi kwa ajili ya kuandaa mishikaki katika kituo cha mabasi Msamvu mkoani Morogoro. Tukio hilo limewashitua wengi ambao wamekiri hununua mishikaki kwa wafanyabiashara hao.

HT: The Citizen.
IMG-20210428-WA0126.jpg
 
hivi hawa wanyama huwa hawsikii maumivu au vipi ,mana unaweza kukuta kaumia vibaya kama hapo lakin anaendelea kutembea ila hapo angekuwa binadamu ndio ana mdonda kama huo aisee hapo balaa lake si la kitoto hayo maumivu yake unaweza kujikuta hata kuinua kidole huwezi

Sent using Jamii Forums mobile app
Wanapata maumivu sana tu tatizo hawana mtu wa kuwajali na kuwahudumia
 
Back
Top Bottom