Kifaru86
JF-Expert Member
- Apr 22, 2017
- 1,734
- 3,802
Moja kati ya maswali watu wengi huwa tunajiuliza siku zote huyu mzee au huyu mama alikuwa wapi miaka yote hiyo leo ndo anaibuka akitaka atambulike rasmi yeye ndo mzazi halali au biological father au mama.
Haya yote nimeyaleta kwenu tuweze kujadili baada ya kusikia mada hii ikijadiliwa redio moja kuhusiana na swala la wazazi wengi kujitokeza kudai watoto wao kipindi watoto wameshafanikiwa ktk maisha moja katika mijadala hio nilisikia wachangiaji wakizungumza.
1. Kuna mtoto bila kutaja jina mmoja yeye alidai kwa mara ya kwanza alivyojiunga Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, baba yake ambaye alipotezana naye muda mrefu aliposikia yupo pale alimtafuta na kumuelezea hali halisi.
2. Mwingine yeye yupo Benki Kuu jina hakutaja ila alimfahamu mama yake akiwa na miaka 31 ambapo alimtafuta kwa juhudi kubwa wafahamiane lakini huyu kijana alidai yeye miaka yote ya utotoni alilelewa na bibi yake, mama hakumfahamu.
3. Mwingine yeye bila kutaja jina lake yupo Uhamiaji; yeye baba yake mzazi alikuwa mstaafu serikalini wa miaka mingi ndo juzi juzi kamtafuta mwanaye.
Lakini, je tatizo liko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app
Haya yote nimeyaleta kwenu tuweze kujadili baada ya kusikia mada hii ikijadiliwa redio moja kuhusiana na swala la wazazi wengi kujitokeza kudai watoto wao kipindi watoto wameshafanikiwa ktk maisha moja katika mijadala hio nilisikia wachangiaji wakizungumza.
1. Kuna mtoto bila kutaja jina mmoja yeye alidai kwa mara ya kwanza alivyojiunga Chuo Kikuu cha Dar es Salaam, baba yake ambaye alipotezana naye muda mrefu aliposikia yupo pale alimtafuta na kumuelezea hali halisi.
2. Mwingine yeye yupo Benki Kuu jina hakutaja ila alimfahamu mama yake akiwa na miaka 31 ambapo alimtafuta kwa juhudi kubwa wafahamiane lakini huyu kijana alidai yeye miaka yote ya utotoni alilelewa na bibi yake, mama hakumfahamu.
3. Mwingine yeye bila kutaja jina lake yupo Uhamiaji; yeye baba yake mzazi alikuwa mstaafu serikalini wa miaka mingi ndo juzi juzi kamtafuta mwanaye.
Lakini, je tatizo liko wapi?
Sent using Jamii Forums mobile app