Mada: Sekeseke Bungeni - StarTv

Mada: Sekeseke Bungeni - StarTv

yahaya hussein ndio alikimudu hiki kipindi,hawa watanagaji wanaokota watu stand na kuwapeleke studio...poor kabisa
 
Last edited by a moderator:
Huyu Moses Methew Nadhani ana Matatizo la Kutojua Mada Zinahitaji nini; Nimekuwa Nikifuatilia Sana Mijadala Mingi ya Star TV, Wanawaalika Wanafunzi wa SAUT na Kwa kweli Wanafunzi Wale Wanauelewa Mkubwa. Wanafunzi walioalikwa Mfano Jana Jumamosi Walikuwa Wazima na ni Critical thinkers.

Leo Hapo Mwanza Walialkwa Rutta (Huyu ni Mzima na Amekiendea Haki Kipindi); Huyu Moses Methew ( Majanga tupu), anajadli Nje ya Mada na utulivu Zero na Kingereza cha Shule za Kata.

Ni Vema Star TV, wakadhamini muda Wetu Watazamaji na Wapenzi wa Kipindi Hiki Kizuri Wasituleee Watu Kama awa. Kwa ujumla Huyu Jamaa Haeleweki nadhaini hata Mada uwa Haielwi. Huyu ni Mgeni ambaee Star TV Kipindi Tuongee si size yake Kwa Uelewa anaotuonyesha. "Kiswahili cha siku hizi Mtu kama huyo Wanasema Hajitambui"

Hapo saut kuna vijana wako vizuri sana,mfano ikuwepo jamaa anaitwa Rashid,na yule Mwandishi Odero kama sijakosea,pia kuna jamaa sijui alikuwa sauti pia maana sijui yuko wapi siku hizi bonge bonge hivi black anavaa miwani,pia yupo jamaa mmoja ni mwl pia ni mwanasheria somebody mwita jamaa huwa ni shida hao jamaa huwa very smart
 
Back
Top Bottom