Aljazera
JF-Expert Member
- Feb 11, 2015
- 637
- 224
Wanabodi kwa ambao mnaangalia StarTv kuna mjadala unaendelea juu ya yaliyojiri Bungeni, kuna huyo mwandishi anaitwa Moses sijui anaandikia chombo gani cha habari mi hua simuelewi kabisa hoja anazotoa kwenye mijadala yote inayofanyika StarTv, kwa mnaomfahamu au ambao mshamuona kwenye mijadala huyu mtu mnamuelewaje?