sabuwanka
JF-Expert Member
- Apr 11, 2015
- 690
- 751
Du nakutakia kazi njemaMuda Ni huuView attachment 2106332
Du nakutakia kazi njemaMuda Ni huuView attachment 2106332
Aisee.......mkao wa Kuzinywa kwa hasira.............View attachment 2106805
View attachment 2066236
Reminiscing
Kaladha flani ka chocolate...hatari sana
Mimi si Mchaga ila napenda sana mbege.Ila mnachofanya nije niache mbege huko mbeleni ni yale makopo tunayotumia kunywea mbege,ukienda maliwatoni unalikuta kopo km hilo huko,sasa sisi wateja tutajua vipi km ikitokea mjinga mmoja akachanganya kopo la chooni akalileta kaunta?Ebu tafuteni namna ya kuheshimu kifaa hichi kwan kwa mimi mgeni napata walakini
Huo uhuni unaweza kufanywa huku mijini kwa watu wasiojitambua na sio UchaganiMimi si Mchaga ila napenda sana mbege.Ila mnachofanya nije niache mbege huko mbeleni ni yale makopo tunayotumia kunywea mbege,ukienda maliwatoni unalikuta kopo km hilo huko,sasa sisi wateja tutajua vipi km ikitokea mjinga mmoja akachanganya kopo la chooni akalileta kaunta?Ebu tafuteni namna ya kuheshimu kifaa hichi kwan kwa mimi mgeni napata walakini
The kilimanjaro bia yangu pendwa hii
Duuuh!
Jana nimezipiga kili kuanzia saa sita mchana mpaka nane usiku.Leo hiyo hangover yake na mateso niliyopata najua mwenyewe. Sijatoka hata ndani.Jioni hii angalau nimekuwa sawa daaah! Chupa sio nzuri kwakweliThe kilimanjaro bia yangu pendwa hii
😂😂😂 pole Mkuu siku nyingine ukinywa bia nyingi hakikisha kabla ya kulala una kunywa maji kama lita moja hivi.Jana nimezipiga kili kuanzia saa sita mchana mpaka nane usiku.Leo hiyo hangover yake na mateso niliyopata najua mwenyewe. Sijatoka hata ndani.Jioni hii angalau nimekuwa sawa daaah! Chupa sio nzuri kwakweli
Duu Hilo hips sasa
Ni sawa Mshana kwa Moshi na viunga vyake ambavyo nimewahi kwenda sijawahi kuona hilo but mistake hii nimeikuta Arusha mjini,hasa maeneo ya mitaa ya Disemba kuna vibaa vingi vinauza mbege,ebu nenda maliwatoni!!!!Glass yetu pendwa utaikuta huko kwa ajili ya kuchambia,ndo nikasema akitokea mhudumu mmoja mjinga akachanganya bi matumizi bila kujua itakuaje?Huo uhuni unaweza kufanywa huku mijini kwa watu wasiojitambua na sio Uchagani
Minji!Please msaada kwenye tuta please
Hata huku Dar tu unazipata baadhi ya maeneo. Imekuwa adimu sana yani.Hiz ndovu zipo wap huku kahama hakuna kbx hiz