Umerud kwenye Mixer na Energy drink mkuu.
nini kilitokeaNilijaribu juzi valuer, nyagi na hiyo energy ...SITARUDIA TENA
Nn kimekukuta mwenyekiti?Nilijaribu juzi valuer, nyagi na hiyo energy ...SITARUDIA TENA
Kiwanja gan hiki mkuu
Mkuu naona ile material imeanza kutafuna kucha
true bro...!! hasa k vnt na nyagi..yaan inaogopeshaJamani hawa jamaa wanaotengeneza pombe feki inabidi tuungane kupambana nao, juzi hapa nimekunywa konyagi yaani hapa koo langu limepata vidonda na linawaka moto, nimedhamilia kuacha kabisa kunywa pombe kali kwani kuna jamaa anasema karibu kila mkoa kuna kiwanda cha kutengeneza hizi pombe kali feki
Kweli kabisa, mimi ilinitokea miezi miwili iliyopita, nilipata kiu ya kunywa maji isiyoisha baada ya kunywa konyagi.Jamani hawa jamaa wanaotengeneza pombe feki inabidi tuungane kupambana nao, juzi hapa nimekunywa konyagi yaani hapa koo langu limepata vidonda na linawaka moto, nimedhamilia kuacha kabisa kunywa pombe kali kwani kuna jamaa anasema karibu kila mkoa kuna kiwanda cha kutengeneza hizi pombe kali feki
Za kupima mmh..Nataka nianze kuuza pombe ya kupima hapa chuoni na sigara. Ushauri wowote kabla sijaanza wakuu maana wanachuo wenzangu naona wanalewa sana.Mtaji mdogo kabisa wa kuanza nao ni kiasi gani.
Katibu nakusalimia sana.Pia nakukaribisha sana kwenye nyuzi nyingine za JF kwa sababu wewe huwa hubanduki kwenye huu uzi wa walevi.Furahi dayView attachment 1911470