Mzigua90
JF-Expert Member
- Sep 23, 2014
- 38,251
- 88,177
Mambo ka hayo ndo mtu unakiri kwamba Yesu ni Bwana..
Mambo ka hayo ndo mtu unakiri kwamba Yesu ni Bwana..
Poa mkuuMzigua mambo vipi?
Ukisikia watu wanaonewa ndio hiviZa nyumbaniView attachment 1119851
Kiaje mkuu?Ukisikia watu wanaonewa ndio hivi
Hivi unajua kutamanisha watu ni dhambi?Kiaje mkuu?
Hivi unajua kutamanisha watu ni dhambi?
Nisameheni mkuu
Hapa ni Arusha?Unakunywa beer huku unavuna ndiziView attachment 1119606
Hapa ni Arusha?
Tupo tunalewa mkuuView attachment 1122856
Nilipiga jana K-Vant ndogo 4 na bia 8. Yawning acha tu. Ndio nimeamka mda so mrefu kutoa lokiLeo wote mmelewa hata simu zenu hamuwezi kuzishika
We acha tu maana hata siwezi kuelezea.Ulifika kuzimu briefly... Tupe mrejesho....