Mkuu upo maeneo haya usiniongopee nishakusoma...
Ulivyonistua ndio nikaelewa ila bila kuniambia nisingejuaPale nlikuwa bati Baya Sema nkiwaga tungi mtu hajuagi hata niveshe vp maana siyumbi
Ova
Gejiii iko tight ila uzoefu tu!Ulivyonistua ndio nikaelewa ila bila kuniambia nisingejua
Nimeshatimua hapo, nipo kwenye kibanda Cha Mangi uswahiliniGejiii iko tight ila uzoefu tu!
Bado uko hapo
Ova
Yule bia 8 tu hoimama nakufa... Mama faya...
Mm niko kwa mangi bado ila nyumba ya pembeni alafu mpemba ila ashatuzoeaaaNimeshatimua hapo, nipo kwenye kibanda Cha Mangi uswahilini
Ngufu ya mwanaume kumfuko... Ngufu ya mwanamke kumai
Duh hhh ngoma bado.....3:15Sorry ni ngufu ya mamba kumai (kumaji)