nelvine
JF-Expert Member
- Nov 8, 2015
- 1,109
- 1,855
Panaonekana patamu hatari, mbona sioni kachumbari pembeniLocation safi ndani ya ifakara View attachment 1536128
Sent from my 5023F using JamiiForums mobile app
Panaonekana patamu hatari, mbona sioni kachumbari pembeniLocation safi ndani ya ifakara View attachment 1536128
MhhhhhhhWazee wakuda..
Leo nimeibukia juliana
Mhhhhhhh
Njoo upige majiMhhhhhhh
Kumekucha sheikheHebu kukipambazuka tuwasiliane
Kushika shika barmad baada ya kulewaKwa heshima kubwa. Hii kaliba itambuliwe rasmi kama mdau mkubwa wa maendeleo hasa kwenye eneo la ulipaji kodi. Ndio mshindi wa kwanza kila mwaka ikizishinda taasisi nyingine kwa mbali mno.
Pamoja na sifa zote hizo lakini pia kaliba hii inakabiliwa na changamoto mbalimbali hasa
. Kushindwa kufanya migomo kila bei inapopanda
. Vituko baada ya kulewa
. Vibweka vya kila aina
Kupitia mada hii hebu tuweke matukio yote yanayojiri kwenye uwanja wetu huo. Tusisahau kutupiamo vyupa vyetu tukiwa viti virefu na vifupi. Zile za ofa na hata za kwenye sherehe.
Tupiamo hata zile sura zilizoharibiwa na ngumu kumeza.
CC: mrangi mzee wa OVA! YURE MUPE YURE MURUKE...!!!
Wanaukoo wa Urio mna mambo nyie!
View attachment 1538850