DiasporaUSA
JF-Expert Member
- Aug 27, 2016
- 23,291
- 29,485
Hapo nimekusoma vizuri sanaSechaba ana mama ake ambaye kazaa na matabane,yule seipati kawalea tu na pia elias hakufanikiwa kumpa seipat mimba na mwanamke kuona hivyo akaamua kukatisha mahusiano ila elias hakukubali akaamua kumuua. Sasa wazee wameamua kumpendelea sechaba kama ishara ya kumlipa seipat fadhila