Asante kwakutuletea hii tamthilia hapa jukwaani , Mimi ni mfuatiliaji mzuri na Leo ningependa nikuchallenge hapo morogwa aliporudi ghetto protection alimaanisha yaan uwepo wa thabang hapo ni a blessing kwa sababu ni mwanaume so kama vile itasaidie kwenye ulinzi\usalama wa hapo ghetto maana jamaa ni mmwanaume wa shoka ! Ila we umeandika watatumia kinga hiyo sentence ni tata ningependa kuweka hii pm unfortunately pm yako imefungwa.
Hadi huruma ila atapewa ofa nyingine kubwa ya kurud kazin ataikataa. Ego mbaya sana
ThanksWednesday
Wachimbaj bado wapo boardrum wakiimba na kucheza sechaba anawanyamazisha. Kgotha anawapa maneno ya kuwapa matumaini mengine ya ajira na kusema keshamchagua mtu atakayewasimamia na kumtaja sechaba jamaa wanafurahia
Kwa hendrik wakiwa sebulen na rafik zake zandre,hendrik anawauliza kwann hawakumzuia mwenzao kuharibu gar jamaa wanajibu hawakuweza na pia wanasema zandre kaonewa
Morogwa anarud geto kwake,thabang anamwambia hadhan kama ni wazo zuri wote kuishi humo,wakiwa wanaongea anaingia gatanga,morogwa anajitetea kaenda angalia kama thabang anahitaj chakula na kuondoka,gatanga anamongea na mwanae akimwambia amfundishe ujanja wa kumsaidia kumpata morogwa,jamaa anabak kapigwa butwaa
Sechaba anamwambia lerato kuwa kapata ajira kwa kgotha
Rafiki wa zandre wanarud home kwa hendrik na kumkuta zandre peke yake,zandre anawauliza wamefata nini wanamjibu kwa kejel na kutaka kumpiga,anja anaingia na kuuliza kulikon
Paparaz anamhoji kiongoz
Ofentse anaenda ofisin kwa sechaba na kumwambia kuhusu kufaham ukweli wote wa mgomo wa wafanyakaz na kwamba sechaba ndo chanzo na kumtaka ahudhulie kikao cha kumpa adhabu sechaba anakataa na kusema ameshaacha kazi,ofentse anamwambia asipoenda kikaon hatapata mafao yake
Anja anajiandaa kutoka nje,mara anamkuta rafiki wa zandre kakaa sebulen peke yake,anja anaamua kukaa na huyo rafik na kumhoji kuhusu ishu ya zandre,zandre anatokea na kuhisi jamaa anamtongoza anja na kuanza kufoka na kuropokoka kuwa wanam bully.
Mgodin,sechaba anaenda mlaum matlala kwa kumsaliti kumwambia ofentse kuwa kawaambia watafukuzwa kazi,matlala anajitetea,sechaba anahisi sibiya au gatanga,matlala anakataa,wakiwa wanajiuliza ni nani hendrik anaingia wanamhisi ni yeye
Kgotha akichukua oda yake ya chakula the rec, huku akimuuliza morogwa kuhusu biashara,wendy anatokea,kgotha anamuuliza maendeleo ya penthouse,wendy anajibu pako shwar,kgotha anasema afadhal maana nikiwe ana wasi wasi mpaka akaweka kamera za ziada,kgotha anaondoka,wendy anapata wasiwasi hasa kwa kitendo cha morogwa kulala penthouse na vile vituko chumban kwa nikiwe. Morogwa anasema hayamhusu maana alimfukuza mwenyewe
Kgotha anajadili jambo la kikaz na sechaba na kumwambia aongezee bidii amshawishi zaid maana bado hajampa ajira kamili,sechaba anashangaa na kumuuliza mbona alimtangaza mbele ya wachumbaj ,kgotha anajibu alikua anawanyamazisha wachimbaji
Zandre anakutana na rafiku zake njian ambao wanamzingua kwa kuwafokea kuhusu anja,jamaa wanampiga,wendy anatokea na kuwatishia kisu wanakimbia
Aunt na lerato wapo the rec aunt anamshawish lerato kwa pamoja nae wawasuluhishe sechaba na ofentse
Thabang anapokea simu ya kuitwa interview nzinga,kisha anasema hana suti na kumuomba gatanga amuazime suti yake,gatanga anasema haina haja anampa kadi na kumtaka akanunue suti ila abakishe hela maana anataka kumhonga morogwa,gatanga anaondoka,morogwa anaingia anaiona kadi mezan na kumdanganya thabang kuwa hio kadi gatanga kaiacha kwa ajili yake akakae duncan,thabang anajikuta anamuamin,morogwa anaichukua na kuondoka
Sechaba akiwa busy sebulen na masuala ya kazi,lerato anamuongelesha kuhusu masuala ya familia,mara aunt anaingia na mizigo yake akisema anarud humo na lerato kamkubalia. Sechaba anabaki akishangaa
We nae una kimbele front watu tunataka update za isidingo kwa wanaofatilia itv.Sechaba anamiliki the Duncan! Mighty barker is gone rajesh is gone, papa g is gone yani ni kizazi kipyaa ila cha ukweli. Pitia youtube
Nakupa ofa ya ndoa,nitafuteWe nae una kimbele front watu tunataka update za isidingo kwa wanaofatilia itv.
Hayo yako kaa nayo hatujafikia huko wala kuulizia itakuaje aghgrrrr....!!!!!
Khaaaa!!!!Nakupa ofa ya ndoa,nitafute
mweeehNakupa ofa ya ndoa,nitafute
Njooo tuyajengeKhaaaa!!!!
Kuna watu wakiondoka pengo lao huwa sio rahisi to cover,like Frank mpaka leo hakuna wa ku cover nafasi yakeNimemmiss Gabrie tayari,bila Gabi isidingo haivutii kwa kweli. Pia kuna wageni wengi kabisa wameingia kwa mkupuo. Hivi wale waliokuwa wanamhoji waziri ni walewale wa ON TV ama ni ingizo jipya nao?
Nimemmiss Gabrie tayari,bila Gabi isidingo haivutii kwa kweli. Pia kuna wageni wengi kabisa wameingia kwa mkupuo. Hivi wale waliokuwa wanamhoji waziri ni walewale wa ON TV ama ni ingizo jipya nao?
Ni kweli mkuu,hata yale makeke ya Cherel na Katlego hayajapata mtu sahihi hadi leo. Gabi akikuwa anachangamsha sana.Kuna watu wakiondoka pengo lao huwa sio rahisi to cover,like Frank mpaka leo hakuna wa ku cover nafasi yake