Nafikiri haufai kuwa hapa,Uzi unatuhitaji wapenz na wafatiliaji wa isidingoMiaka yote tamthiliya hai ishi endeleeni tu kuangaliaa
Ebwana ya Leo nimeona Linc anamzika Kat mwenyewe,sijui sehemu gani ile.Haya bana naona hii inaweza kuwa ndio basi ila sidhani kama linc ataenda jela maisha maana ni kama anataka kuplot na ndio maana kaacha kupiga simu emergency au pia inaweza kuwa ni bahati mbaya
Ila hii drama katlego ndiyo chanzo mwanamke muda wote anapayukaaa tu tena amemchelewesha sana, ilibidi ameshamzabua kitambo, wanawake wa aina ya katlego ni jinamizi kwenye ndoaLinc amemkanumba katlego! Kamsukuma kandoka kwa nyuma
Hahahahha ni kuishi nae kwa akili tuIla hii drama katlego ndiyo chanzo mwanamke muda wote anapayukaaa tu tena amemchelewesha sana, ilibidi ameshamzabua kitambo, wanawake wa aina ya katlego ni jinamizi kwenye ndoa
et kamcheleweshaIla hii drama katlego ndiyo chanzo mwanamke muda wote anapayukaaa tu tena amemchelewesha sana, ilibidi ameshamzabua kitambo, wanawake wa aina ya katlego ni jinamizi kwenye ndoa
Ebwana ya Leo nimeona Linc anamzika Kat mwenyewe,sijui sehemu gani ile.
Duh! basi na ITV nao wakeketwe maana ndipo nilipoona.una kimbelembele wewe.....bora ukeketwe tu unaweza tulia kidogo
Ebwana ndiyo inaanza.Nimekaa kitako nasubiri
Ebwana ya Leo nimeona Linc anamzika Kat mwenyewe,sijui sehemu gani ile.