Kadada
JF-Expert Member
- Jan 11, 2007
- 201
- 203
Shida yake ni kuwa karibu na BradSam ndo kaenda kuomba ajira kwa kina Rajesh au sijaelewa? If yes nadhan anatafuta kuwa karibu na b
Shida yake ni kuwa karibu na BradSam ndo kaenda kuomba ajira kwa kina Rajesh au sijaelewa? If yes nadhan anatafuta kuwa karibu na b
Kupenda kunaweza kukupelekesha mpaka basi,Sam hajakubaliana na alichoambiwa na BradShida yake ni kuwa karibu na Brad
Hahaa sidhaniHivi calvin kapendea nn kwa Aphiwee amaaaa mzigoooooo
Kupitia ile midoli yenye kamera uligundua nini Calvin alipomtembelea Catleho?Ni kweli mimi hata sipendi yaani! Leo eti ameweka midoli yenye tukamera! Anawa spy wanachokiongea! Dah Katlego kazi anayo! Mwanaume hana ladha mgumu kama jiwe la baharini hana furaha yaan! Dah maisha ya hivyo heri uolewe na fundi viatu muishi kwa amani
Why pole badala ya Hongereni? Tuna enjoy kweli...Poleni bd mwafatilia mi nimeacha baada tu kufa letti matabane
Hajajua na ndo maana alimuambia shankupe Nina kwamba nahisi Lincoln amegundua mpango wake.Nahisi Katlego anajua kuwa kawekewa camera huko chumbani na anamfanyia kusudi Lincoln
Kweliii basi mm kinacho nikera na wivuHahaa sidhani
Ila Aphiwe ndo anampenda zaidi Calvin
Yaani... Ngoja tuone next week itakuwajeKweliii basi mm kinacho nikera na wivu
Mm mwenyewe cjaelewa badoSijaelewa kilichotokea kwa Aphiwe mpaka akapata bruises ktk tumbo lake.. Plzz mtu aniambie what happend
Sijaelewa kilichotokea kwa Aphiwe mpaka akapata bruises ktk tumbo lake.. Plzz mtu aniambie what happend