connections
JF-Expert Member
- Apr 27, 2013
- 1,736
- 2,297
ITV ipo DSTV?Hatimaye tumememaliza sasa safari yetu kwa miaka 21 dah isidingo umenipa talaka mke wangu
Safi sana ITV wamesema wanaleta uzalo soon inaanza yaani bampa to bampa kmk ITV juu..!
Halafu Lincoln pale alikufa au?
Sijajua nadhani ipoITV ipo DSTV?
Haipo.ITV ipo DSTV?
Yan scandal ni nzuri, hlf kidogo iwe kama isidingozipo nying mbona za huko huko south africa,,, , kuna scandal , rhythm city na nyinginezo
Wameshasema wataleta UZALO soonYan scandal ni nzuri, hlf kidogo iwe kama isidingo
Ni bora walete hiyo
..nzuri sana hiyo.Yan scandal ni nzuri, hlf kidogo iwe kama isidingo
Ni bora walete hiyo
Mnoo,lkn nashangaa channel ya etv haishiki kwangu..nzuri sana hiyo.
Nilianza kuifutatilia ila nikaona haifai kabisa. Haiwezi kufikia viwango vya ISIDINGO. Lungi Byela na ZEB Mathabane wapo kuleHivi hiyo tamthilia ya sijui Uzalo mnaifuatilia?
Mimi toka mwanzo nilipanga kutokuangalia ila ilikuwa siku nikiikuta najaribu kuiangalia ila nimeona kama ulivyosema kuwa sio viwango vya Isidingo kabisa.Nilianza kuifutatilia ila nikaona haifai kabisa. Haiwezi kufikia viwango vya ISIDINGO. Lungi Byela na ZEB Mathabane wapo kule