Mwana
JF-Expert Member
- Aug 6, 2010
- 5,440
- 1,962
Ni kweli itaondoa utamu jamani!hatuhitaji kusimuliwa mambo ya mbeleni....
Ni kweli itaondoa utamu jamani!hatuhitaji kusimuliwa mambo ya mbeleni....
Sorry my dear ya jana sikuionaNumbisa come this way! Leo vp mamy? Nakusubiria
Mama vp tena? Usiachie mwezi huu please! Nani hao wasiojielewa jamani wanatuchokozea Numbisa wetu?
neno wewe mjinga,huna akili kisa sina mawazo sawa na nyie majukwaa mengine nimeshalizoea tafuteni jipya(ujumbe huu ni kwa wote wasiopenda ninachochangia majukwaa mengine)
Mnanipa kiki sana huko kunitangaza natoa update za isidingo,soon nawaachia jukwaa lenu nivumilieni tu mwisho mwezi huu.
Mama vp tena? Usiachie mwezi huu please! Nani hao wasiojielewa jamani wanatuchokozea Numbisa wetu?
Duh pole mamy sema watu hatufanani potezea tu washavurugwa hao! Btw asante kwa updates!Wengi tu,wanajiona wajuaji sana. Kujuana jukwaa hili isiwe mwanzo wa kupangiana cha kupost comment majukwaa mengine.
Daah kuna watu hawana ustaarabu kabisa,ni vizuri kubishana bila kuitaja isidingo.
Sante dear kwa updatesAphiwe ana wasi wasi kuhusu afya ya obakeng mpaka anakosa umakin katika kumtengeneza kucha mteja,lerato anampa moyo asiwe na wasi wasi ila kamo anamshangaa kuwa kwwnye hali hio wakati siku ya tukio aphiwe hakuwapa sapoti pale walipofukuzwa ukumbini
Eddie ana wasi wasi juu ya afya ya obakeng na kujilaumu kwa yote yaliyotokea,mkewe anampa moyo kuwa hana kosa hapo kosa ni la obakeng kwa kufanya fujo. Bado eddie hana amani
Gabriel anaenda mtafuta nina nyumban kwao na kumkuta papa g,gabr anamchongea matlala kwa papa g kuwa anamzibia nafasi kwenye kampen ya zama zam. Papa g anaahidi kumsaidia ila kwa shart faida ionekane
Baada ya kutoka kwa papa g,akiwa room kwake,gabriel anamdanganya morogwa kuwa papa g anamfaham na anajua ni mtu wake,kisha anamtumia morogwa kumtisha matlala,morogwa bila kujua kuwa anadanganywa anajiapiza kumshughulikia matlala
Morogwa anamkuta matlala shebeen na rafiki zake,anamtaka matlala waongee chwmba,jamaa anawatoa wenzake kisha morogwa anakaa na kuanza mwambia kuna spy kwwnye team yake,matlala ili kutaka kujua zaid anamsogelea morogwa,bidada anamchoma kisu cha mbavu sijui tumbon pale na kuondoka,matlala akiwa na maumivu anainuka akilalamika,watu wake kuona hivyo wakaanza mkimbiza morogwa.
Lerato anawaza harusi matawi juu,talk of the town,ana mipango wageni wakija wafikie sehemu nzuri kama hotelin,chakula kiwe cha juu,magauni ya kuvaa siku hio yawe kama sita,pia anataka wedding planner sio kila kitu apange yeye,zukisa na kamo wanabaki hawana cha kumshauri maana kila wakimshauri anawaona washamba.
Kamo anamfata aphiwe na kumuomba msahama kwa kumsema salun ila aphiwe anakataa na kumlaum kamo kuwa kasababisha yote mpaka obakeng kaishia hosp
Lerato anaangalia kwa simu picha za harus ya parson na kutaman mengi hasa gauni,sechaba anatoa angalizo harusi ni harusi tu ila bajeti yao isiongezeke,wakati huo huo kamo anamwomba sechaba ampeleke hosp,both sechaba na lerato wanamshut kwa kumwambia jamaa yupo na ndugu zake hivyo kamo hana umuhimu huko.
Nina yupo wodin kwa obakeng,beth anampa matumain kuwa kijana wake ataamka ndani ya masaa 24 ila wanahitaji kujua mengi hasa magonjwa ya obakeng utotoni,nina anasema hajui kitu. Dokta anaondoka.
Nina yupo busy kutake care kwa kijana wake ambaye hana fahamu,mara anakaa kitandan hapo na kuanza kutoa story hizi na zile mara obakeng anafumbua macho,nina anafurah na kumuuliza kama anajua hapo ni wapi,obakeng anajibu kwa kuangalia mazingira ni hosp,nina anauliza swali jingine kuwa kama kwel karudiwa fahamu je yeye(nina)ni nani kwake,obakeng anajibu my crazy mother,nina anafurahi sana na kumkumbatia kijana wake kisha anaita dokta
Matlala na gang yake kwa fujo wanaingia geto kwa gabriel na kuanza msaka gab na morogwa mara papa g na gabr wanaingia,papa g anampa vitisho matlala na kumtaka anapatane na gabriel kwa kushake hands(wanashikana mikono)kisha matlala anaondoka. Gabriel akizan kawa juu,papa g anamuonya atamtimua na yeye
Pole lkn naomba usiache kutupa updates plzWengi tu,wanajiona wajuaji sana. Kujuana jukwaa hili isiwe mwanzo wa kupangiana cha kupost comment majukwaa mengine.
Daah kuna watu hawana ustaarabu kabisa,ni vizuri kubishana bila kuitaja isidingo.
Ungelizoea usingetoa povu hapa
neno wewe mjinga,huna akili kisa sina mawazo sawa na nyie majukwaa mengine nimeshalizoea tafuteni jipya(ujumbe huu ni kwa wote wasiopenda ninachochangia majukwaa mengine)
Mnanipa kiki sana huko kunitangaza natoa update za isidingo,soon nawaachia jukwaa lenu nivumilieni tu mwisho mwezi huu.
Asante sana....Aphiwe ana wasi wasi kuhusu afya ya obakeng mpaka anakosa umakin katika kumtengeneza kucha mteja,lerato anampa moyo asiwe na wasi wasi ila kamo anamshangaa kuwa kwwnye hali hio wakati siku ya tukio aphiwe hakuwapa sapoti pale walipofukuzwa ukumbini
Eddie ana wasi wasi juu ya afya ya obakeng na kujilaumu kwa yote yaliyotokea,mkewe anampa moyo kuwa hana kosa hapo kosa ni la obakeng kwa kufanya fujo. Bado eddie hana amani
Gabriel anaenda mtafuta nina nyumban kwao na kumkuta papa g,gabr anamchongea matlala kwa papa g kuwa anamzibia nafasi kwenye kampen ya zama zam. Papa g anaahidi kumsaidia ila kwa shart faida ionekane
Baada ya kutoka kwa papa g,akiwa room kwake,gabriel anamdanganya morogwa kuwa papa g anamfaham na anajua ni mtu wake,kisha anamtumia morogwa kumtisha matlala,morogwa bila kujua kuwa anadanganywa anajiapiza kumshughulikia matlala
Morogwa anamkuta matlala shebeen na rafiki zake,anamtaka matlala waongee chwmba,jamaa anawatoa wenzake kisha morogwa anakaa na kuanza mwambia kuna spy kwwnye team yake,matlala ili kutaka kujua zaid anamsogelea morogwa,bidada anamchoma kisu cha mbavu sijui tumbon pale na kuondoka,matlala akiwa na maumivu anainuka akilalamika,watu wake kuona hivyo wakaanza mkimbiza morogwa.
Lerato anawaza harusi matawi juu,talk of the town,ana mipango wageni wakija wafikie sehemu nzuri kama hotelin,chakula kiwe cha juu,magauni ya kuvaa siku hio yawe kama sita,pia anataka wedding planner sio kila kitu apange yeye,zukisa na kamo wanabaki hawana cha kumshauri maana kila wakimshauri anawaona washamba.
Kamo anamfata aphiwe na kumuomba msahama kwa kumsema salun ila aphiwe anakataa na kumlaum kamo kuwa kasababisha yote mpaka obakeng kaishia hosp
Lerato anaangalia kwa simu picha za harus ya parson na kutaman mengi hasa gauni,sechaba anatoa angalizo harusi ni harusi tu ila bajeti yao isiongezeke,wakati huo huo kamo anamwomba sechaba ampeleke hosp,both sechaba na lerato wanamshut kwa kumwambia jamaa yupo na ndugu zake hivyo kamo hana umuhimu huko.
Nina yupo wodin kwa obakeng,beth anampa matumain kuwa kijana wake ataamka ndani ya masaa 24 ila wanahitaji kujua mengi hasa magonjwa ya obakeng utotoni,nina anasema hajui kitu. Dokta anaondoka.
Nina yupo busy kutake care kwa kijana wake ambaye hana fahamu,mara anakaa kitandan hapo na kuanza kutoa story hizi na zile mara obakeng anafumbua macho,nina anafurah na kumuuliza kama anajua hapo ni wapi,obakeng anajibu kwa kuangalia mazingira ni hosp,nina anauliza swali jingine kuwa kama kwel karudiwa fahamu je yeye(nina)ni nani kwake,obakeng anajibu my crazy mother,nina anafurahi sana na kumkumbatia kijana wake kisha anaita dokta
Matlala na gang yake kwa fujo wanaingia geto kwa gabriel na kuanza msaka gab na morogwa mara papa g na gabr wanaingia,papa g anampa vitisho matlala na kumtaka anapatane na gabriel kwa kushake hands(wanashikana mikono)kisha matlala anaondoka. Gabriel akizan kawa juu,papa g anamuonya atamtimua na yeye
Asante sana....Aphiwe ana wasi wasi kuhusu afya ya obakeng mpaka anakosa umakin katika kumtengeneza kucha mteja,lerato anampa moyo asiwe na wasi wasi ila kamo anamshangaa kuwa kwwnye hali hio wakati siku ya tukio aphiwe hakuwapa sapoti pale walipofukuzwa ukumbini
Eddie ana wasi wasi juu ya afya ya obakeng na kujilaumu kwa yote yaliyotokea,mkewe anampa moyo kuwa hana kosa hapo kosa ni la obakeng kwa kufanya fujo. Bado eddie hana amani
Gabriel anaenda mtafuta nina nyumban kwao na kumkuta papa g,gabr anamchongea matlala kwa papa g kuwa anamzibia nafasi kwenye kampen ya zama zam. Papa g anaahidi kumsaidia ila kwa shart faida ionekane
Baada ya kutoka kwa papa g,akiwa room kwake,gabriel anamdanganya morogwa kuwa papa g anamfaham na anajua ni mtu wake,kisha anamtumia morogwa kumtisha matlala,morogwa bila kujua kuwa anadanganywa anajiapiza kumshughulikia matlala
Morogwa anamkuta matlala shebeen na rafiki zake,anamtaka matlala waongee chwmba,jamaa anawatoa wenzake kisha morogwa anakaa na kuanza mwambia kuna spy kwwnye team yake,matlala ili kutaka kujua zaid anamsogelea morogwa,bidada anamchoma kisu cha mbavu sijui tumbon pale na kuondoka,matlala akiwa na maumivu anainuka akilalamika,watu wake kuona hivyo wakaanza mkimbiza morogwa.
Lerato anawaza harusi matawi juu,talk of the town,ana mipango wageni wakija wafikie sehemu nzuri kama hotelin,chakula kiwe cha juu,magauni ya kuvaa siku hio yawe kama sita,pia anataka wedding planner sio kila kitu apange yeye,zukisa na kamo wanabaki hawana cha kumshauri maana kila wakimshauri anawaona washamba.
Kamo anamfata aphiwe na kumuomba msahama kwa kumsema salun ila aphiwe anakataa na kumlaum kamo kuwa kasababisha yote mpaka obakeng kaishia hosp
Lerato anaangalia kwa simu picha za harus ya parson na kutaman mengi hasa gauni,sechaba anatoa angalizo harusi ni harusi tu ila bajeti yao isiongezeke,wakati huo huo kamo anamwomba sechaba ampeleke hosp,both sechaba na lerato wanamshut kwa kumwambia jamaa yupo na ndugu zake hivyo kamo hana umuhimu huko.
Nina yupo wodin kwa obakeng,beth anampa matumain kuwa kijana wake ataamka ndani ya masaa 24 ila wanahitaji kujua mengi hasa magonjwa ya obakeng utotoni,nina anasema hajui kitu. Dokta anaondoka.
Nina yupo busy kutake care kwa kijana wake ambaye hana fahamu,mara anakaa kitandan hapo na kuanza kutoa story hizi na zile mara obakeng anafumbua macho,nina anafurah na kumuuliza kama anajua hapo ni wapi,obakeng anajibu kwa kuangalia mazingira ni hosp,nina anauliza swali jingine kuwa kama kwel karudiwa fahamu je yeye(nina)ni nani kwake,obakeng anajibu my crazy mother,nina anafurahi sana na kumkumbatia kijana wake kisha anaita dokta
Matlala na gang yake kwa fujo wanaingia geto kwa gabriel na kuanza msaka gab na morogwa mara papa g na gabr wanaingia,papa g anampa vitisho matlala na kumtaka anapatane na gabriel kwa kushake hands(wanashikana mikono)kisha matlala anaondoka. Gabriel akizan kawa juu,papa g anamuonya atamtimua na yeye
Asante sana....Aphiwe ana wasi wasi kuhusu afya ya obakeng mpaka anakosa umakin katika kumtengeneza kucha mteja,lerato anampa moyo asiwe na wasi wasi ila kamo anamshangaa kuwa kwwnye hali hio wakati siku ya tukio aphiwe hakuwapa sapoti pale walipofukuzwa ukumbini
Eddie ana wasi wasi juu ya afya ya obakeng na kujilaumu kwa yote yaliyotokea,mkewe anampa moyo kuwa hana kosa hapo kosa ni la obakeng kwa kufanya fujo. Bado eddie hana amani
Gabriel anaenda mtafuta nina nyumban kwao na kumkuta papa g,gabr anamchongea matlala kwa papa g kuwa anamzibia nafasi kwenye kampen ya zama zam. Papa g anaahidi kumsaidia ila kwa shart faida ionekane
Baada ya kutoka kwa papa g,akiwa room kwake,gabriel anamdanganya morogwa kuwa papa g anamfaham na anajua ni mtu wake,kisha anamtumia morogwa kumtisha matlala,morogwa bila kujua kuwa anadanganywa anajiapiza kumshughulikia matlala
Morogwa anamkuta matlala shebeen na rafiki zake,anamtaka matlala waongee chwmba,jamaa anawatoa wenzake kisha morogwa anakaa na kuanza mwambia kuna spy kwwnye team yake,matlala ili kutaka kujua zaid anamsogelea morogwa,bidada anamchoma kisu cha mbavu sijui tumbon pale na kuondoka,matlala akiwa na maumivu anainuka akilalamika,watu wake kuona hivyo wakaanza mkimbiza morogwa.
Lerato anawaza harusi matawi juu,talk of the town,ana mipango wageni wakija wafikie sehemu nzuri kama hotelin,chakula kiwe cha juu,magauni ya kuvaa siku hio yawe kama sita,pia anataka wedding planner sio kila kitu apange yeye,zukisa na kamo wanabaki hawana cha kumshauri maana kila wakimshauri anawaona washamba.
Kamo anamfata aphiwe na kumuomba msahama kwa kumsema salun ila aphiwe anakataa na kumlaum kamo kuwa kasababisha yote mpaka obakeng kaishia hosp
Lerato anaangalia kwa simu picha za harus ya parson na kutaman mengi hasa gauni,sechaba anatoa angalizo harusi ni harusi tu ila bajeti yao isiongezeke,wakati huo huo kamo anamwomba sechaba ampeleke hosp,both sechaba na lerato wanamshut kwa kumwambia jamaa yupo na ndugu zake hivyo kamo hana umuhimu huko.
Nina yupo wodin kwa obakeng,beth anampa matumain kuwa kijana wake ataamka ndani ya masaa 24 ila wanahitaji kujua mengi hasa magonjwa ya obakeng utotoni,nina anasema hajui kitu. Dokta anaondoka.
Nina yupo busy kutake care kwa kijana wake ambaye hana fahamu,mara anakaa kitandan hapo na kuanza kutoa story hizi na zile mara obakeng anafumbua macho,nina anafurah na kumuuliza kama anajua hapo ni wapi,obakeng anajibu kwa kuangalia mazingira ni hosp,nina anauliza swali jingine kuwa kama kwel karudiwa fahamu je yeye(nina)ni nani kwake,obakeng anajibu my crazy mother,nina anafurahi sana na kumkumbatia kijana wake kisha anaita dokta
Matlala na gang yake kwa fujo wanaingia geto kwa gabriel na kuanza msaka gab na morogwa mara papa g na gabr wanaingia,papa g anampa vitisho matlala na kumtaka anapatane na gabriel kwa kushake hands(wanashikana mikono)kisha matlala anaondoka. Gabriel akizan kawa juu,papa g anamuonya atamtimua na yeye
Ungelizoea usingetoa povu hapa
Kafie mbele uko!! Cheap popularity ndo unatafta huna lolote..... so kulileta humu ndo unatafta huruma ya watu au...?Ukisikia yalaa ujue limempata mhusika naona umejileta,bado genious mwenzio hajajileta ila anasoma kimya kimya
Sina haja ya kuzoea,nizoee upuuzi wako pole sana kijana kama ulidhan unanifahamu sana basi umekosea
Kafie mbele uko!! Cheap popularity ndo unatafta huna lolote..... so kulileta humu ndo unatafta huruma ya watu au...?
akili ndogo
Kusifiwa na viji qpdate vyako ushajiona star ?
Mmeo ndo anapaswa akubembeleze sio .....
hahaha something called throwbackUsiache mkuu j3 naenda porini so ntakua naingia humu nkipata mda na network ntaktegemea kwa apdates plzzzzz