witnessj
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 28,839
- 47,747
Unataka kuniambia kuwa hajioni kama anajiharibu mpaka mimi nimwambie? Ndani kuna vioo kila sehemu, chumbani, vyooni, bado tu mpaka mimi nimwelekeze what to do? Wanawake walivyo wa hajabu, mimi kama mumewe ninaweza kumuambia what to do ili asijiharibu shepu, yeye ataanza kufikiri labda nina nyumba ndogo au kuna mwanamke mtaani namtamani alingane naye, ndiyo maana unakuta sie wanaume hatuwaambii chochote wake zetu kuepuka malumbano ya kijinga. Unamwacha ajiharibu zaidi ili upate kisingizio ama kigezo cha kutafuta nyumba ndogo. Endeleeni kujiharibu tu na kutukata stimu ya kutowapenda.







wee jamaa mke wako anapata shida daaaah!Yaan ni unamtaftia kila aina ya sababu haahaaa
Sent using Jamii Forums mobile app



