watambi
JF-Expert Member
- Dec 7, 2011
- 335
- 267
BoraNgoja nipige pafu 3 nikalale.
We muache apendane na mume wa mtu tu, mie asinijie na vilio.Huo ni ukweli, mi nawaangalia tu
Unasalimiwaa
Kwahiyo umerudi tena nikajua ukimaliza video kolu unalalaOhooo
Hujaona mepoteaa
Ila mfikishie ujumbe wangu, ila jibu usinipe maana kwa mashushu mkurya yule hajamboBora

Na nani?Unasalimiwaa
Acha ukali dadaHebu hukooo
Ndoa itamshinda huyu hata hajaiingia.Kwahiyo umerudi tena nikajua ukimaliza video kolu unalala
Ujumbe nadhani ataupata soonIla mfikishie ujumbe wangu, ila jibu usinipe maana kwa mashushu mkurya yule hajambo![]()
Nikioa mke afanye yooote ila sio Kuchepuka, akipigwa nje au uhusiano usioeleweka na mtu namuonya kwa upole akizingua atapata kipigo tu na kurudishwa kwao.







Sawa dadaAcha ukali dada
Yaan huyu mapema mahali ya watu msiimalizeNdoa itamshinda huyu hata hajaiingia.