Luushu
JF-Expert Member
- Apr 8, 2012
- 812
- 468
Nina shamba limepakana na mnada huko Singida kila tar sita huwa na mnada,wakiondoka naachiwa plastiki nyingi kuliko hizo zilizopigwa marufuku hadi zinakera watu wa mazingira tutembeleeni na sisi wa vijijini
Sasa wanazuia mifuko ya plastic, ilihali kuna bidhaa nyingi ambazo vifungashio vyake ni plasric, swali ni je, zikishatumika kwani hazitaacha plastic kibao zikizagaa mtaani?