Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kulekea vyuo vikuu 2016/17

Hongera, umeandika hii thread kisomi kabisa yaani kama mwanachuo mwenye akili anayejua anachokifanya.
 
Game lilianza pale tuliposikia uteuzi mpya wa waziri wa Elimu akapitishwa mama yetu (waziri wa Elimu). Siku moja nipo shule nilishtuka taarifa ya Waziri huyo akihoji GPA ni nini mashuleni? Baada ya mda kidogo tulisikia tetesi kuwa zimefutwa mpaka tulipoletewa Grade mpya shuleni kwetu. Ikumbukwe sie Form four 2013 tulipita kwa GPA ikatakiwa tujifue ili mradi tufikie Grade hizo mpya.

Baada ya hapo tulisikia tetesi kuwa wenye one na two pekee ndio watakaopata chuo na mikopo vilevile. Hili jambo lilituumiza sana, si Science wala Arts tu. Baadae kidogo tulizoea hizo grade kwa misuli ya kukesha usiku na mchana (popo) si unajua shule zetu za kata bila msuli unaweza ukaambulia patupu.

Mungu si Athuman tulifanya vizuri tulio wengi katika Grade zinazotakiwa na kujipa Imani Chuo lazima. Tumeanza sakata la kutafuta pesa kulipia TCU na HESLB binafsi nilifanikiwa na kutuma fomu zote kwa wakati. Baadae Wanachuo wenzangu(ndotoni) tulitemwa katika round ya kwanza japo kuna wengine walipata. Tukaapply awamu ya pili na wengine mpaka ya tatu.

Hatimaye Bodi ya mikopo ikaja na vigezo vipya vya utoaji wa mikopo huku ikitanguliza majina 3000+ tu. Tukaachwa tena, no direct cost. Ila nauli tu mkononi ya kwenda kutalii chuo.

Ndugu zangu wanachuo(ndotoni) mkopo umekua kama mchezo wa Ku-Bet
hasa mbaya kwa ndugu zangu wa Arts. Je Tanzania ya viwanda haihitaji kabisa wana-Art?

Si hayo tu ndugu zangu wa science pia Full death and disability attachment ila wametupwa kule. Eti wanaangalia "means test" ila sisi binafsi tunajua sana hali zetu za maisha kuliko hiyo means test.

Ikumbukwe hiyo ni mikopo sio msaada na ni haki yetu kwani ni kodi za walalahoi wa Tanzania.

Mungu atusaidie katika hili kama si hivyo tutakua tulifaulu tu kwenda vyuoni na tukabaki kuwa wanavyuo waliopo nyumbani.

Mwisho kabisa tujipe imani na tuendelee kusugua bench!

Nyie ndo mliopiga kura na tarumbeta...we told you that with time everybody will recorganize that he messed up....
 
Mnaolalamika mkopo kumbukeni lowasa alisema kipaumbele cha kwanza elimu ..cha pili elimu. cha tatu elimu....halafu mkamwona boya .....kufeni dhiki yenu...
Umenikumbusha mbali Sana mi nimejiendea diploma ya medicine laboratory bora njilipie tuu
 
Ambaye ameripoti st John Dodoma jana atujuze mambo yanavyokwenda maana wengine boom limegoma
 
Basi iwekwe marufuku kufungua chuo kabla ya bodi kutoa majina ya waliopata mkopo kwa ukamilifu ili kuepusha usumbufu. Vyuo viwe vinafunguliwa kuanzia novemba.
 
Kwa wanafunzi mlioripoti jana pale sua, hasa wale wanaotegemea bodi ya mikopo, je mnapata usumbufu gani hapo chuoni uliosababishwa na bodi kutokutoa majina kwa wakati?
Je chuo kimewasaidiaje wanafunzi ambao hata hela ya guest hawana? Je ubinadamu umetumika kuwasaidia au ndo hivyo tena japo chuo kipo watu walale nje japo mabweni yapo ili mradi tu hawajalipa bado?
 
Usajili unaanza leo, Ratiba ya orientation utaikuta chuo. Chelewa kwa risk yako mwenyewe, ila ujue kuna kudisco huwa hatulembi mwandiko
 
We kwel ******,,,,,wabebwe female af vidume nao????unajua hi kaul mbiu ya girls first inawaduza nyie wakike??sas wakufavour ww wakike kwakua unamavuzi ya stil waya??acha uduanz wew kila mtu apewe haki yake...kama unataka wakufavour wew njo geto kwang nikufavour mim,,,maninaaa.....nakama we ni dume umetoa hili oniiiii naona upimwe oil wew
Duuu... We mtu umenichefua
 
Mimi nahitajii chumba chenye choo ndan,,,kama unacho au unajua mtu anacho ila kisiwe mbagala wala tegeta na viunga vyake,,,either mabibo,,,,tabata au mbez mwisho,,,,nicheki kupita namba...0655184593 wasap namb au bip ntakupigiaa


Njoo mabibo vipo dalali mimi mwenyewe
 
Akuna kitu kama io..watu kudisco kisa kumis orientation koz...mjue watu atuna hela cc atuji ad tupate uhakika..ada unaweza kuwa nayo ila pesa ya kujikimu ndio nying zaid.so mwaka uu kuna hatar ya kukosa wanafunz kama vp
 
Back
Top Bottom