Mada maalum: Karibu tujadili masuala yote kuhusu Mikopo ya Elimu ya Juu

Informer

JF-Expert Member
Jul 29, 2006
1,582
6,627
Habari waungwana,
Kama tujuavyo, Bodi ya mikopo nchini imeanza kutoa majina ya waliobahatika kupata mikopo ikiwemo na tangazo linaloelezea mikopo inatokaje mwaka huu.

Wengi wamekumbwa na sintofahamu, wengine wamekata tamaa na kadhalika. Naamini humu kuna wazoefu wengi ambao wameshapitia, wengine ni wadau wa elimu hivyo kuwa na uelewa wa kinachoendelea na wengine wadau wa bodi ya mikopo.

Kwa pamoja tujadili kilichopo na kitachofata kupitia mada hii, Asanteni.
 
Habari wakuu,

Kama yupo mtu aliyeoona percent ya mkopo aliopata atufahamishe sie wengine tujue kama ndo tumeambulia zero.

Asanteni.
 
Mkuu nimejaribu kucheki majina mengi na kila niliyecheki nakuta kawekewa zero tu. Ni kama wote wamewekewa hivyo. Ni dhahiri bodi wamekurupuka
 
Mkuu nimejaribu kucheki majina mengi na kila niliyecheki nakuta kawekewa zero tu. Ni kama wote wamewekewa hivyo. Ni dhahiri bodi wamekurupuka
wanatupa wakati mgumu sana.....leo hawajaja chuo kwa excuse kuwa wana calculate percentage ila mpaka sasa zeroö
 
Bodi wanafanya siasa zisizokuwa na msingi wowote, zaidi zaidi ni kuendelea kuwanyanyasa watoto wa masikini. Shule inakwenda kuwa ngumu sana kwa watoto wa masikini.
Sijaona umuhimu wowote wa kuwa na mzigo wa vigezo vya kupata mkopo! Kila mwanafunzi analiyefanikiwa kuingia Elimu ya juu alipaswa kupewa mkopo ili kuondoa figisu za aina yoyote! Hili ni tatizo kubwa sana, kama kweli huyu ni rais wa masikini alipaswa kulitizama hili kwa hicho la karibu sana.
 
umechaguliwa course gan na chuo gani,,nambie nikusaidie,,please do not pm
 
ahaaa bado muvi zina endelea noma sana ebu nipe namba tumpigie mama yetu hii elimu mbona imekuwa kama kismat kupata chuo hadi mkopo noma sana ila sijuhinaishaje mana hapa bado tukio moja tu muvi iishe......
 
mimi ba education with mathematics and information technoligy ya nit bt not secured
 
Bodi wanafanya siasa zisizokuwa na msingi wowote, zaidi zaidi ni kuendelea kuwanyanyasa watoto wa masikini. Shule inakwenda kuwa ngumu sana kwa watoto wa masikini.
Sijaona umuhimu wowote wa kuwa na mzigo wa vigezo vya kupata mkopo! Kila mwanafunzi analiyefanikiwa kuingia Elimu ya juu alipaswa kupewa mkopo ili kuondoa figisu za aina yoyote! Hili ni tatizo kubwa sana, kama kweli huyu ni rais wa masikini alipaswa kulitizama hili kwa hicho la karibu sana.
umenena mkuu
 
kama tumelamba zerooo ndo basi tenah........ishu ni kwamba hata hao watu wao wa science waaowataka nao wamewalambisha zeroooo hatari.
 
Back
Top Bottom