si uwape software au siteAnayetaka kufunguliwa Modem tajwa hapo juu anicheki...0766140561
jaribu modemunlocker.net tatizo ads masharti mengi kama kamati ya roho mbaya vile.Zantel walituweza
Habari ndugu zangu ni siku nyingine tena leo tunakutana kwaajili ya kupeana maujuzi
yale mungu aliyotujaalia leo tuzungumzie hili juu la ku-unlock l modem yoyote bila ya kutumia software fuatana nami mpaka
mwisho wa makala hii
Zamani ilizoeleka ku-unlock Modem hadi udownload Software kwenye Pc yako kisha ya watu ndo waweze kugenerate MODEM
UNLOCK CODE. Lakini kwa sasa imekuwa rahisi kwa sababu kuna tovuti kibao ambazo zinatoa MODEM UNLOCK CODE ambayo wewe unahitajika kutoa IMEI ya
MODEM tu.
Hatua za ku-unlock Modem
1.Angalia IMEI ya modem yako kisha iandike chini au kwenye karatasi
2.Fungua link hii A-ZGSM.COM - ONLINE UNLOCK CODE CALCULATOR
3.Baada ya kufungua hiyo link utaonasehemu ya iliyoachawa wazi hapo uwekaIMEI ya Modem kisha utabofya kwenyekitufe cha CALCULATE
4.Baada ya ku-calcute utapata Unlock Codezako, Mfano: Unlock: 37661250 or NCK =
37663240
Hatua zinazofuata
1.Baada ya yote unatakiwa kutoa Sim card
na Kuweka Sim Card tofauti kwa mfano
kama ulikuwa unatumai ya Tigo unatakiwauweke Airtel kisha chomeka kwenye PC
yako .
2.Subiri kidogo , utaona Pop Up imekujakisha itaku-request for Unlock Code, KishaUtaingiza Code ulizo Generate , mfano
37661250 alafu click kwenye OK.
3.Hongera!, Modem yako isha-unlockiwahapo utaweza kutumia kwenye Sim Card Yoyote!
Note:
Njia hii ni kwa Modem za Huawei tu
Kwa habari mbalimbali za teknolojia maujanja......Tembelea BONGO TECHNO
Hapo bado unatumia software ya huko kwenye severHabari ndugu zangu ni siku nyingine tena leo tunakutana kwaajili ya kupeana maujuzi
yale mungu aliyotujaalia leo tuzungumzie hili juu la ku-unlock l modem yoyote bila ya kutumia software fuatana nami mpaka
mwisho wa makala hii
Zamani ilizoeleka ku-unlock Modem hadi udownload Software kwenye Pc yako kisha ya watu ndo waweze kugenerate MODEM
UNLOCK CODE. Lakini kwa sasa imekuwa rahisi kwa sababu kuna tovuti kibao ambazo zinatoa MODEM UNLOCK CODE ambayo wewe unahitajika kutoa IMEI ya
MODEM tu.
Hatua za ku-unlock Modem
1.Angalia IMEI ya modem yako kisha iandike chini au kwenye karatasi
2.Fungua link hii A-ZGSM.COM - ONLINE UNLOCK CODE CALCULATOR
3.Baada ya kufungua hiyo link utaonasehemu ya iliyoachawa wazi hapo uwekaIMEI ya Modem kisha utabofya kwenyekitufe cha CALCULATE
4.Baada ya ku-calcute utapata Unlock Codezako, Mfano: Unlock: 37661250 or NCK =
37663240
Hatua zinazofuata
1.Baada ya yote unatakiwa kutoa Sim card
na Kuweka Sim Card tofauti kwa mfano
kama ulikuwa unatumai ya Tigo unatakiwauweke Airtel kisha chomeka kwenye PC
yako .
2.Subiri kidogo , utaona Pop Up imekujakisha itaku-request for Unlock Code, KishaUtaingiza Code ulizo Generate , mfano
37661250 alafu click kwenye OK.
3.Hongera!, Modem yako isha-unlockiwahapo utaweza kutumia kwenye Sim Card Yoyote!
Note:
Njia hii ni kwa Modem za Huawei tu
Kwa habari mbalimbali za teknolojia maujanja......Tembelea BONGO TECHNO
Msaada tafadhaliyeah na mimi nimefanikiwa asante sana Jagood kwa kuazisha hii thread imekuwa msaada sana kwangu
namshukuru pia sana sana
Stonebank kwa msaada mkubwa ulionipatia
msaada wa nini?Msaada tafadhali
Nilikuwa naomba msaada wa Ile firmware maana link ni mfu.msaada wa nini?
Poa.ok poa
mimi ninayo kwenye pc yanguPoa.
Nilipata firmware kwenye site nyingine ila zote zilikuwa zinadunda kuingia download mode ila kwa msaada wa DC unlocked sekundu chache tu kitu kimekubali
Anayetaka apige simu...site miyeyusho...si uwape software au site
Mkuu mbona hazina mbwembwe nyingi hizo!!Anayetaka apige simu...site miyeyusho...
OkMkuu mbona hazina mbwembwe nyingi hizo!!
ni kiasi cha kudownload firmware HAPA na kuflash tu kilaini wala hazina pass code
ni huawei mkuuNi aina gani hiyo mkuu?
Huawei au zte?