Machungu ya kukosa ajira

Machungu ya kukosa ajira

Wengi tulipitia huko, ila Mungu alivyo mkubwa baada ya muda utajikuta una kazi nzuri, ghetto kali na account inahata visenti mbili tatu. I am a living testimony.

Ushauri wangu kwako ni USIACHE KUSALI. MUNGU ANAJIBU
 
Kipindi kama hiki sio cha kupoteza muda, kama ukipata sehemu ya kujiingizia kipato ni vizuri, ukikosa basi tafuta sehemu ya kufanya internship hata usipolipwa kitu, muhimu upate uzoefu ambao utakusaidia kupata ajira bdy
Nakumbuka kipindi hiko nilikutana na ndugu yangu mmoja akanambia "tatizo mnataka muajiriwe moja kwa moja, tafuta internship kwanza ujitolee". Lakin mkuu nikwambie tu hata internship sio kirahisi hivyo. Unaweza ukatafuta na ukakosa vilevile. Japo mara kadhaa naona kuna makampuni yanatoa internship kwa graduates wenye GPA ya 3.5 and above sasa wenzang wa lower second na zile GPA za ilimradi niendelee kubaki chuoni sijui twende wapi.
 
Nakumbuka kipindi hiko nilikutana na ndugu yangu mmoja akanambia "tatizo mnataka muajiriwe moja kwa moja, tafuta internship kwanza ujitolee". Lakin mkuu nikwambie tu hata internship sio kirahisi hivyo. Unaweza ukatafuta na ukakosa vilevile. Japo mara kadhaa naona kuna makampuni yanatoa internship kwa graduates wenye GPA ya 3.5 and above sasa wenzang wa lower second na zile GPA za ilimradi niendelee kubaki chuoni sijui twende wapi.
intership nazo za moto siku hizi
 
Nakumbuka kipindi hiko nilikutana na ndugu yangu mmoja akanambia "tatizo mnataka muajiriwe moja kwa moja, tafuta internship kwanza ujitolee". Lakin mkuu nikwambie tu hata internship sio kirahisi hivyo. Unaweza ukatafuta na ukakosa vilevile. Japo mara kadhaa naona kuna makampuni yanatoa internship kwa graduates wenye GPA ya 3.5 and above sasa wenzang wa lower second na zile GPA za ilimradi niendelee kubaki chuoni sijui twende wapi.
G.P.A ni muhimu lakini sio lazima, pambana usichoke. Vyeti ni kwa ajili ya attachment tu, muhimu ni wewe mwenyewe, either una connection au ujipambanie mwenyewe
 
Katika harakati za kupambana na ujobless nilipitia mpaka utangi boy, nimelala sana geti namba tano bandari. Pigwa sana vumbi pale na baridi mpaka sio poa na usiombe kipindi cha mvua kifike.

Kimbiza sana kontena, nilikuwa na howo moja hivi linasumbua gia ngumu balaa, nilipambana nalo mpaka nikaishia kupata maumivu ya mkono yasiyoisha.
Kipindi hiko nilikuwa na pisi moja hivi hata hajui nafanya nini, ikifika usiku mkali tunaagana vizuri naenda kulala kumbe ndio zamu yangu ya kushika usukani imefika na yeye babu dere akae kushoto.

Ikitokea siku chuma limezingua unasema asante maana ndio siku unarudi nyumban kupumzika, kubadilisha nguo, kuoga vizuri, kusalimia ndugu, jamaa na marafiki mtaani na kulala vizuri kitandani kwa amani sio chini tena.
 
Katika harakati za kupambana na ujobless nilipitia mpaka utangi boy, nimelala sana geti namba tano bandari. Pigwa sana vumbi pale na baridi mpaka sio poa na usiombe kipindi cha mvua kifike.

Kimbiza sana kontena, nilikuwa na howo moja hivi linasumbua gia ngumu balaa, nilipambana nalo mpaka nikaishia kupata maumivu ya mkono yasiyoisha.
Kipindi hiko nilikuwa na pisi moja hivi hata hajui nafanya nini, ikifika usiku mkali tunaagana vizuri naenda kulala kumbe ndio zamu yangu ya kushika usukani imefika na yeye babu dere akae kushoto.

Ikitokea siku chuma limezingua unasema asante maana ndio siku unarudi nyumban kupumzika, kubadilisha nguo, kuoga vizuri, kusalimia ndugu, jamaa na marafiki mtaani na kulala vizuri kitandani kwa amani sio chini tena.
Duu hatari sana
 
Kuna mzungu moja alisema....
USA, Russia, Europe, Ukraine,na Germany ni mataifa pekee ambayo yalituletea elimu ya kuwa CONSUMER NA SIO PRODUCER ili watucontrol vizuri angalia leo kila kitu ni wao ..hata ukizalisha ,utapangiwa bei,utaambiwa ukaweke benk hela ili mrad tu wakusumbue...inaumiza hii elimu sio
 
Ni nouma sana, ila kuna muda na sisi tunachangia kukwama wakuu. Mfano tu juzi kuna graduate fresh hawa waliohitimu mwaka huu nilisoma gap mahali nikampenyezea akaanza yale mambo ya anataka alipwe 800K.

Aisee, jamaa hawakuongea naye sana wakamwambia watamjulisha, asa hivi ananisumbua vipi wale jamaa, nkaona nimchane tu ulizingua mwenyewe na 800K yako. Akaanza niambia mauza uza nkamwamjibu simple tu, dogo mtaasio unavyoufikiria. Kila kitu ni hatua.

Sahivi naona ananiuliza mambo ya kujiunga na Law School.

Jambo nataka kusema hapa ni, wakuu tusichague mshahara wala kazi, kikubwa tujiulize tunataka kuwa nani na hiyo kazi inatujenga kuwa wale tunaotaka tuwe?, sio habari za nalipwa shilingi ngapi.

Tukumbuke hakuna pesa ila kazi zipo, na tukiwa productive itapatikana pesa yakutulipa pia.
 
Back
Top Bottom